Ufahamu duni! Unaelezwa ya magonjwa na chanjo na dawa wewe unarukia condom, ili iweje. Zinakusaidia sana?We ndo bwege mtozeni.... mbona unaambiwa ukimwi unaua na unakubali? Dawa unaletewa na mzungu wkt kwenu ndo umejaa?? Anakuletea condom ujikinge nayo mbona hukatai ?? Au yenyewe inaua kidogo? Hivyo hvyo kwa chanjo za TB, surua, polio, homa ya manjano... wapi umesikia inawasumbua wazungu sasa hivi? Dawa zote za malaria unaletewa na hao na unakunywa... kama mnajua sana si mtengeneze chanjo zenu. Mpuuzi jazz band!!!
Halafu unawezaje kucompare maambukizi ya malaria na corona???
Unalaumu taasisi za kimataifa kufanya corona politics wakati wewe unafanya kitu kile kile.Kuna unafiki sana kwenye hii pandenic ya corona na namna inavyoshughulikiwa na hizi taasisi za kimataifa. Mtu mwenye fikra huru atakwambia "to hell with corona na politics zake" maana ukichunguza kwa kina kuna ubinafsi na uongo uongo mwingi uliojificha nyuma ya mwamvuli wa "sayansi".
Ok, vaccine za kwanza kuhusiana na corona ni zile za China na Urusi. Ila dunia pamoja na WHO imetuaminisha kwamba zile hazipaswi kupewa air time mpaka tusubiri za Ulaya na Marekani. Magu akitilia mashaka hizi motives anakuwa amekosea?
Haya, wakati wa maelekezo ya kupambana na corona - social distancing, kuvaa mask, bla bla... - WHO walikuwa wanasifia nchi flani flani za kiafrika zilizokuwa zinatekekeza maagizo hayo kama marobot. Sasa hivi kuna vaccines za corona ila tunaambiwa kwamba nchi za kiafrika zitaanza kupata dose zake kuanzia labda mwishoni mwa mwaka 2021.
Nchi inayojitambua na kama unajitambua huwezi kuweka tumaini lako kwenye vaccine za corona ili kupambana na corona. Magu kashasoma hilo gemu lote na yupo sahihi kusema kwamba maisha ya watanzania kwenye corona version 1 hayakusubiri vaccine, na pia hayatasubiri vaccine kwenye corona version 2. Ni upuuzi kutegemea corona vaccine unayoweza kuipata mwaka 2022. Ina maana basi maisha hayataendelea hadi tusubiri vaccine ya 2022 tena wanayotuchagulia wao? Umaskini wa fikra ni umaskini mbaya sana.
Mkuu kwa uelewa wangu finyu, chanjo uwa ni kwa magonjwa yanayosababishwa na virus, TB inasababishwa na bacteria, Malaria inasababishwa na plasmodium nacho siyo kirusi.Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?!
Katika kutekeleza Sera yao ni lazima waue nguvu kazi ya wanyonge wao lzm waue uwezo wa kufikiria wa wanyonge wao ni lzma watengeneze mazingira nyonyaji kwa wanyonge wao.
Ndio maana sasa Ukimwi hautakaaa uishe malaria Tb nk lengo to control our reproductive potential.
Nikuelewa, sitarudia mkuuHuyu anayo PhD fulani akitokea mtu anahoji anapotea
Ni kweli kaka.Sasa kwa nini msitengeneze hizo chanjo?
Mnangoja mabeberu wawatengenezee halafu mseme chanjo si nzuri ni za mabeberu hamzitaki?
Gonjwa la Malaria ni la kwenu tropiki, unataka kutengenezewa chanjo na watu wa Ulaya na Marekani?
Ongeza Ebola. Jibu ni kuwa haiwasumbui wazungu. Laiti ingewasumbu wangeshatoa chanjo. Afterall ni biashara ya makampuni makubwa ya dawaShirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?!
Katika kutekeleza Sera yao ni lazima waue nguvu kazi ya wanyonge wao lzm waue uwezo wa kufikiria wa wanyonge wao ni lzma watengeneze mazingira nyonyaji kwa wanyonge wao.
Ndio maana sasa Ukimwi hautakaaa uishe malaria Tb nk lengo to control our reproductive potential.
Muulize mheshimiwa kwanini NIMRI haitafiti chanjo za maradhi yanayotukabili badala ya kusubirl wasioyapata watutengenezee chanjo.Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?!
Katika kutekeleza Sera yao ni lazima waue nguvu kazi ya wanyonge wao lzm waue uwezo wa kufikiria wa wanyonge wao ni lzma watengeneze mazingira nyonyaji kwa wanyonge wao.
Ndio maana sasa Ukimwi hautakaaa uishe malaria Tb nk lengo to control our reproductive potential.
Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?!
Katika kutekeleza Sera yao ni lazima waue nguvu kazi ya wanyonge wao lzm waue uwezo wa kufikiria wa wanyonge wao ni lzma watengeneze mazingira nyonyaji kwa wanyonge wao.
Ndio maana sasa Ukimwi hautakaaa uishe malaria Tb nk lengo to control our reproductive potential.
Well said mkuu [emoji120][emoji120] kwanza mimi hakuna kitu nachukia kama kulaumu wengine for my failure or my mistakes, Sana sana nitajaribu kuwa close na huyo mtu ili nijue amefanikiwaje na mimi nakwama wapi?? Kabla ya uhuru lawama ilikuwa ni kwa wakoloni, sasa bara zima la Afrika tuko huru bado lawama ni kwa wazungu, sasa wanaitwa mabeberu (mbuzi dume), sijui mbuzi jike ndiyo sisi au vipi yaani. Mbaya zaidi na sisi tunao wasomi na maprofesa lakini bado tumekomaa tuu kulaumu eti chanjo mbaya, mara dawa feki etc kwa nini sisi hatufanyi hizo tafiti sasa na kuja na chanjo zetu??Yaani!tatizo letu waafrika kila tatizo linalotukabili , tunamsingizia mzungu!!wakati matatizo mengi chanzo ni sisi wenyewe, tunajiamini tuna wasomi wengi, barani afrika, wameshindwa kuungana, kwa kupata ufadhiri wa nchi za kiafrika, na kutafuta chanjo ya ukimwi!!??
Hao incoming superpowers wako afrika?ambako viongozi wake ni warafi kupita kiasi, wao matatizo ya wananchi sio kipaumbele chao!!yaani miaka 60 toka uhuru hadi leo kiongozi anakuja kukuahidi maji safi?!!tumekubaliana mfumo wa demokrasia, lakini viongozi hawaheshimu maamuzi ya wananchi.
Hao wazungu wakisema inakuwaje wanapewa majina mabaya!!ila huyo huyo akikupa msaada jina linabadirika!!hata vita vinavyoua watu wengi barani afrika, chanzo kikubwa sio wazungu, ni ubinafsi tu wa viongozi wetu , humo ndio wakati mwingine wazungu wanajipenyeza!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji120][emoji106][emoji106][emoji106]Sasa kwa nini msitengeneze hizo chanjo?
Mnangoja mabeberu wawatengenezee halafu mseme chanjo si nzuri ni za mabeberu hamzitaki?
Gonjwa la Malaria ni la kwenu tropiki, unataka kutengenezewa chanjo na watu wa Ulaya na Marekani?
Umeongea vema sana mkuu. Mimi kinachonikera ni mtu mmoja kupangia watu 50 milioni, nina imani kabisa kuna watu wako tayari kupata hiyo chanjo ili iwanusuru na hili balaa but kwa sababu za kutafuta ujiko wa kisiasa watu watakosa hii chanjo.Moja ya nguzo tano za medical ethics ni ‘autonomous’ haki ya mgonjwa kuchagua aina ya matibabu given the options.
Jukumu la Dr ni kukuelezea ugonjwa wako na madhara yake katika mwili na dawa sahihi and other available options.
Swala la kukubali tiba ni lako mwenyewe awawezi kukulazimisha kutumia dawa mtu mwenye akili zako timamu (huo ndio utaratibu nchi za wenzetu).
Pamoja na kwamba awawezi lazimisha mgonjwa kufuata tiba, wana elewa pia kuna ‘psychological barriers’ kama sababu zinazochangia kwenye maamuzi ya kukataa tiba zikiwemo misinformation kuhusu hizo dawa, woga usio na uthibitisho wa side effects za dawa, woga wa kuchomwa sindano etc; na excuses huwa kama zile alizozitoa Magu (ata huko makwao wana changamoto hizo).
Kazi ya wataalamu pia ni kuhakikisha wanajaribu as much as possible to change the mind set ya mgonjwa pale inapowezekana kupitia elimu.
Kwa ivyo ni jukumu la wizara ya afya na wataalamu wake wa maswala ya madawa, virus infections, etc kuongoza hii vita kwa namna sahihi; ata kama nchi aitaki lockdown kumuendekeza Magufuli kwenye kila kitu wakati hiyo sio fani yake kutaleta madhara.
WHO wameshawaambia portion ya Tanzania ipo na hizi chanjo sio trial ni medical approved by science.
Ila tukumbuke tu WHO awawezi tulazimisha kuchukua in respect of medical ethics. Si ajabu tamko lao ni kwenye kujitoa kimaso maso tu mbele ya dunia maana demand ni kubwa.
Kwanini WHO watoe kauli yao one day baada ya speech. If you ask me tukatae wapeleke kwingine zinakohitajika baadae kama ikitokea mambo yakaenda mrama Tanzania wawe na ushahidi they did their part but we refused their services.
HAPA NI JAMBO LA FOCUS TU.Shirika la Afya Duniani ni kibara na chombo muhimu cha kutekeleza Sera za mabeberu moja wapo ya ajenda muhimu ya mabeberu ni kuitawala mifumo ya Dunia kwa ku-centralize mamlaka ili hii sera ifanikiwe ni lazima kwanza wajiimarishe kichumi waendelee kuwa superpowers na ili waendelelee super powers ni lazima wawazime incoming super powers system?!
Katika kutekeleza Sera yao ni lazima waue nguvu kazi ya wanyonge wao lzm waue uwezo wa kufikiria wa wanyonge wao ni lzma watengeneze mazingira nyonyaji kwa wanyonge wao.
Ndio maana sasa Ukimwi hautakaaa uishe malaria Tb nk lengo to control our reproductive potential.
Ni Tanzania tu raisi wa nchi anaweza waongoza medical professionals katika taaluma yao na wakamuachia. Kwingine kote kiongozi akijaribu anajibiwa bila ya uoga.Umeongea vema sana mkuu. Mimi kinachonikera ni mtu mmoja kupangia watu 50 milioni, nina imani kabisa kuna watu wako tayari kupata hiyo chanjo ili iwanusuru na hili balaa but kwa sababu za kutafuta ujiko wa kisiasa watu watakosa hii chanjo.