WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

Si unajua akili za kiafrika , zimekaa kichawi chawi tu!!unasema eti chanjo hizo hazitibu, ya kwako inayotibu iko wapi?!!eti mbona hawaleti ya malaria, nani alikwambia kuwa wazungu malaria kwao ni tatizo?
 
Vip kuhusu Common cold?, Russian flu, na magonjwa mengine ya virusi?.mbona haikuwa tishio kwa afrika. Kwann common cold haipo afrika haiko ?.mbona kama magonjwa mengi ya virusi hayawashambulii zaidi afrika. Afrika amka acha kujinyima hewa ya oksijeni uliyopewa na Mungu, kwa mabarakoa?. Ona wanaovaa na lockdown wanavyokufa kama kuku. Lockdown na mabarako ni zuri nchi za baridi sio za joto
 
Vip kuhusu Common cold?, Russian flu, na magonjwa mengine ya virusi?.mbona haikuwa tishio kwa afrika. Kwann common cold haipo afrika haiko ?.mbona kama magonjwa mengi ya virusi hayawashambulii zaidi afrika. Afrika amka acha kujinyima hewa ya oksijeni uliyopewa na Mungu, kwa mabarakoa?. Ona wanaovaa na lockdown wanavyokufa kama kuku. Lockdown na mabarako ni zuri nchi za baridi sio za joto
 
Na Mimi nikuulize kwanini NIMRI imeshindwa kuleta chanjo ya TB, surual, Malaria, Hepatitis, Mafua, HIV- AIDS, vitamini A nk je inamaana wao wapo kula pesa tu?
 
WHO hawasemi njia za kupambana na corona afrika(tropical) au nchi zenye joto. Wanasemea tu ulaya na marekani nchi baridi, kweli wanamuambia mtu dar ajifungie na joto za dar kweli,barakoa zenyewe sehemu za joto unyevu na joto hewa inapungua. Kujifungia kwenye joto na unyevu joto barakoa ,tuko salama?
 
Kwanini JPM asiagize wataalamu wake kutafuta chanjo? Hiki kichaka cha karanga hakiwezi kuwaficha. Sisi Tanzania tumewahi kutoa chanjo gani hapa duniani kabla hatujawanyooshea vidole wazungu? Yaani unatumia kipaza sauti alichotengeneza mzungu kumtuhumu kwamba katengeneza vibaya wakati wewe hata net ya kuzuia mbu unapewa msaada?
 
Na Mimi nikuulize kwanini NIMRI imeshindwa kuleta chanjo ya TB, surual, Malaria, Hepatitis, Mafua, HIV- AIDS, vitamini A nk je inamaana wao wapo kula pesa tu?
Yaani wanatuhumu wazungu kwann hawajaleta chanjo. Mpaka hapo wanaonyesha jinsi gani mzungu anategemewa hapa duniani
 
Wanasiasa karibu wote duniani wanafanana tofauti zao zinatokana na upana wa democractic value za nchi husika.

Ingelikuwa up to Donald Trump whilst president angeshaamuru na yeye marufuku kutoa takwimu za COVID but that’s not how things work in the West. Uwezi zuia takwimu kutoka na uwezi waziba midomo professionals kuongea; contrary to China, Russia na nchi nyingine duniani.

Kwa ivyo kusema China imefanikiwa sababu ya chanjo that is not entirely true, kwanza wao wamekuwa na restriction za muda mrefu ambazo kali duniani kushinda nchi yeyote hilo limechangia kupunguza kasi ya maambukizi.

Vinginevyo ingekuwa spread imepungua kwa sababu ya chanjo sasa hivi wangekuwa washaifungua nchi yao wanaogopa nini kama watu wana immune.

Hizo chanjo za West nchi tajiri wananunua sana ndio maana nikakueleza it’s not in the interest of western and rich nations kwa sasa kusaidia africa. Nchi nyingi zina huge strain za ku control COVID walau warudi kwenye some form of normality and they need huge stocks of those doses to inject vulnerable groups ili maisha yaendelee.

Ata wao hawana mpango wa kumpa chanjo kila mtu ni wazee tu, key workers wa health services and those living with other medical conditions which puts them at risk. Wakimaliza hao maisha yanaendelea.

Kufikia azma hiyo mataifa tajiri sio tu wanatumia chanjo wanazozalisha wao bali wanaagiza pia za nchi zingine (zenye utaratibu wa kufanya research kama wao) au kutoka viwanda vya nje vilivyonunua hizo patent zao kuzalisha just to meet their immunisation targets.

Kwa ivyo WHO aifanyi promotion ya nchi yoyote kuzipata hizo dawa isipokuwa ni makubaliano ya awali chanjo ikipatikana percent fulani ya uzalishaji itengwe kwa nchi maskini, lakini as far as the West is concerned if it were up to them ingekuwa wao kwanza all the way.
 

Migogoro mingi kwenye nchi za dunia ya tatu, hasa zenye utajiri mkubwa wa natural resources, ina upande unaofadhiliwa na mzungu!
 
Sidhani una akili timamu
Kiongozi WHO ni Mhabeshi toka Ethiopia naye ni beberu?
Akili za kiChato ni janga la taifa
Sio kigezo cha kusem kuwa ndio hajatawaliwa kifikra kam sio kwann toka aend ulaya akidai kurud kwao ethiopia hawakubal mkuuu angalia
 
Migogoro mingi kwenye nchi za dunia ya tatu, hasa zenye utajiri mkubwa wa natural resources, ina upande unaofadhiliwa na mzungu!
Ndio maana nimesema kutokana na tabia kwanza za ubinafsi za viongozi wetu, hapo inawezwkana wazungu wakaitumia nafasi hiyo, lakini sio kila tatizo la afrika ni wazungu!!viongozi wengi wa afrika hawakuwa tayari na demokrasia, , bali mifumo ya kifalme!!ndio shida inaanzia hapo, wewe rais tangu 1979, hadi leo bado yupo madarakani!!
 

Mzungu hapendi stability kwenye hizo nchi. Haoni shida kupandikiza watu ili kuleta instability. Pale alipofanikiwa kuweka pandikizi wake madarakani, amemlinda huyo pandikizi kwa gharama yoyote bila kujali misingi ya haki na democracy. Mifano ipo mingi na moja ya hiyo mifano ni Zaire ya Mobutu!
 
Mkuu kwani waafrika mmekatazwa kutengeneza hizo chanjo za TB na Malaria?
Uoni kuwatengemea hao watu ni udhaifu kabisa!
Yaani tuwalaum wao kwa shida zetu!!
Unapoelekea utasema wazungu wanatengeneza ARV ili kutumaliza lakini huku ukisahau kua hamna alielazimishwa kuzichukua hizo ARV kwa Wazungu
 
Hawana cha kujibu, watabaki kuongea hila tu na ghiliba kama ilivyo kawaida yao..
 
Hapa kwetu waliweka pandikizi gani??mbona mali wamekuwa wakijichukulia tu kama za kwao??kabla ya uhuru kila lawama zote zilikuwa ni mzungu, haya amewaacha ni miaka 60 za kujitawala wenyewe, mbona bado matatizo, ni mengi tu!!, narudia sio kila tatizo la afrika chanzo ni mzungu!!!mfano botswana mbona husikii migogoro, si kuna madini?hata meko jitihada anazofanya ni kujaribu ili tuwe tunaambulia kidogo, lakini sio kama anavyodai eti 50-50?!! Mikataba mlishasainishana nao na kuwapa mali kwa tamaa zenu bila kuangalia maslahi ya wananchi wenu.gadafi alijitahidi sana kadri ya uwezo wake, ndio maana nchi aliifikisha pale, kwakuwa toka mwanzo hakuwapa wazungu mali!leo hii kila kwenye mali ni
Kwani hawajui?!ni kujifyatua akili tu, kwakuwa mungu mtu wao, ameshasema nayo hayana budi kufuata upepo, ila atasanda tu, hapo tena yatakuja na kuanza kumpongeza!!
 
Watanzania ni brainwashed,wanachekelea kila anachosema jiwe. nani atamzuia,hii korona inaniangusha ingemtoa mropokaji mmoja ili iheshimiwe
 
Hakuna sababu ya kuwalalamikia WHO au wazungu kuwa, kwanini hawajapata chanjo ya malaria na TB. Wewe tumia huo mwanya kutengeneza chanjo yako kam unadhani ni jambo rahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…