WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

WHO inatakiwa izijibu hoja za Rais Magufuli kwa umakini mkubwa. Tropical diseases kama TB, Malaria kwanini hazina chanjo na zinaua sana?

Kwanini usione China ndiyo walio tengeneza na kushindwa kukidhibiti kirusi maabara maana kwajinsi walivyo Pambana ni kama alikijua vizuri na mgunduzi wa kwanza wa kirusi walimnyamazisha kwa kumfunga na kisha alikufa kwa Corona baadaye kwa madai ya
Mkuu China hawezi kukwepa lawama,hasafishiki kwa hilo.Anachojua zaidi China ni kutulisha mchele wa plastic na kuunda vitu fake.
 
Tuondolee upumbavu wako. Umezaliwa umechoma chanjo kibao, watoto wako wamechoma chanjo. Kama kutuuwa wazungu wangeshatuliza, tuache ufiki wa enzi za ujima
Naona wewe umepania ku-derail mada, kinacho zungumziwa hapa ni chanjo ya COVID-19 ugonjwa ambao WHO imeutangaza ugonjwa huo kwamba hivi sasa umekwisha kuwa pandemic - hii maanake nini? Wanadamu wote Duniani watalazimika kudungwa chanjo watake wasitake, hapo ndipo kwenye mgogoro - zoezi hili kama Big Pharma Companies zikielekezwa na baadhi ya mabillionea kupenyeza ajenda zao za siri kwenye chanjo ili ziwadhuru binadamu wenzao wenye asili ya Africa na Asia wana sayansi watafanya kile wanacho elekezwa na matajiri wanao wafadhili - hilo ndilo linafanya baadhi ya Mataifa Duniani kukataa mashikizo ya W.H.O yanayo lazimisha chanjo kutoka kwenye source moja as if Makampuni ya Mataifa mengine hayana uwezo wa kuzalisha chanjo na dawa za kudhibiti Kovid-19, hapo ndipo kunako sababisha bone of contention.

Sasa Viongozi wenye maono/akili ndefu kama Dk. Magufuli wakishtukia mchezo huu mchafu akatoa tahadhali kwa Wizara ya afya na Watanzania kwa ujumla baadhi ya Watanzania wana muona ni mbishi na hivyo hatufai kama kiongozi wa nchi.
 
Naona wewe umepania ku-derail mada, kinacho zungumziwa hapa ni chanjo ya COVID-19 ugonjwa ambao WHO imeutangaza ugonjwa huo kwamba hivi sasa umekwisha kuwa pandemic - hii maanake nini? Wanadamu wote Duniani watalazimika kudungwa chanjo watake wasitake, hapo ndipo kwenye mgogoro - zoezi hili kama Big Pharma Companies zikielekezwa na baadhi ya mabillionea kupenyeza ajenda zao za siri kwenye chanjo ili ziwadhuru binadamu wenzao wenye asili ya Africa na Asia wana sayansi watafanya kile wanacho elekezwa na matajiri wanao wafadhili - hilo ndilo linafanya baadhi ya Mataifa Duniani kukataa mashikizo ya W.H.O yanayo lazimisha chanjo kutoka kwenye source moja as if Makampuni ya Mataifa mengine hayana uwezo wa kuzalisha chanjo na dawa za kudhibiti Kovid-19, hapo ndipo kunako sababisha bone of contention.

Sasa Viongozi wenye maono/akili ndefu kama Dk. Magufuli wakishtukia mchezo huu mchafu akatoa tahadhali kwa Wizara ya afya na Watanzania kwa ujumla baadhi ya Watanzania wana muona ni mbishi na hivyo hatufai kama kiongozi wa nchi.
Wale wale
 
Tuondolee upumbavu wako. Umezaliwa umechoma chanjo kibao, watoto wako wamechoma chanjo. Kama kutuuwa wazungu wangeshatuliza, tuache ufikiri wa enzi za ujima
Huelew tuu, anamaanisha n biological war ya uchum, coz rate ya ukuaj wa uchumi wa China utaipita marekan soon, we Unaleta hisia zako hapa hata hujaelewa🙈
 
Great
Naona wewe umepania ku-derail mada, kinacho zungumziwa hapa ni chanjo ya COVID-19 ugonjwa ambao WHO imeutangaza ugonjwa huo kwamba hivi sasa umekwisha kuwa pandemic - hii maanake nini? Wanadamu wote Duniani watalazimika kudungwa chanjo watake wasitake, hapo ndipo kwenye mgogoro - zoezi hili kama Big Pharma Companies zikielekezwa na baadhi ya mabillionea kupenyeza ajenda zao za siri kwenye chanjo ili ziwadhuru binadamu wenzao wenye asili ya Africa na Asia wana sayansi watafanya kile wanacho elekezwa na matajiri wanao wafadhili - hilo ndilo linafanya baadhi ya Mataifa Duniani kukataa mashikizo ya W.H.O yanayo lazimisha chanjo kutoka kwenye source moja as if Makampuni ya Mataifa mengine hayana uwezo wa kuzalisha chanjo na dawa za kudhibiti Kovid-19, hapo ndipo kunako sababisha bone of contention.

Sasa Viongozi wenye maono/akili ndefu kama Dk. Magufuli wakishtukia mchezo huu mchafu akatoa tahadhali kwa Wizara ya afya na Watanzania kwa ujumla baadhi ya Watanzania wana muona ni mbishi na hivyo hatufai kama kiongozi wa nchi.
thinker in Jf, hata mbumbumbu watelewa sema tuu wataleta ushabiki 😂😂, mm Simba ili nilikubal yanga alichukua kombe , nawarahisishia wanaowekaga ushabik hata vitu vya seriously wao n siasa tuu kisa hajasema Lisu 🤔
 
Jifunze kuangalia zama kwa zama wakati kwa wakati Awake ngoja waje sasa wakuletee kifaa ya kupunguza uwezo wa hiyo melanin unayoringa nayo uone cha moto
Brother naona unajibu conspiracy theory tu hapa. Shida ya conspiracy theorist kama ww ni huwa hamna concrete evidence.. or scientific proof inayodhibitisha madai yenu.
Oh jifunze kuangalia alama za nyakati.. unafikiri wazungu wa kipindi hiko na wa sasa wanatofauti gani?
Kwamba hawa wa sasa ni wabaya sana kuliko wazamani?
 
Brother naona unajibu conspiracy theory tu hapa. Shida ya conspiracy theorist kama ww ni huwa hamna concrete evidence.. or scientific proof inayodhibitisha madai yenu.
Oh jifunze kuangalia alama za nyakati.. unafikiri wazungu wa kipindi hiko na wa sasa wanatofauti gani?
Kwamba hawa wa sasa ni wabaya sana kuliko wazamani?
Je una access ya kuangaliaga BANNED VIDEO ndio utawajua plan zao future yao ni kuja kuishi AFRICA
 
Brother naona unajibu conspiracy theory tu hapa. Shida ya conspiracy theorist kama ww ni huwa hamna concrete evidence.. or scientific proof inayodhibitisha madai yenu.
Oh jifunze kuangalia alama za nyakati.. unafikiri wazungu wa kipindi hiko na wa sasa wanatofauti gani?
Kwamba hawa wa sasa ni wabaya sana kuliko wazamani?
N walewale walowakata babu zetu mikono wasitengeneze majembe ili watuuzie yao, ila dunia inavyobadrika lazma waangalie njia mpya za kutudominate haswaaa wakiona Mchina ana mbio sana na anawafukuzia wanapagawa, watafanya kila waliwezalo hata Hilo la kutupandikizia wayajuayao
 
Sijui nikupongeze vipi, kuhusu uchambuzi wako wenye mshiko, mengi uliyo eleza hapa ndio watanzania tuna wajibu wa kuji hoji kwa kina na kumuunga mkono JPM katika juhudi zake za kulivusha Taifa letu Rubicon na sio kumbeza beza.

Pamoja na mapungufu yake ya hapa na pale kama binadamu wote tulivyo lakini ukweli utabaki kwamba JPM ni binadamu mbunifu,mwenye uthubutu na mwenye akili sana za kuchambanua /baini mengi ambayo kwa wengi wetu si rahisi kuyaona mapema zaidi kabla mambo hayaja haribika,I know maoni yangu haya yatawafanya baadhi yenu m
kunijia juu na kunisema mambo ya kutunga tu - lakini hakuna anaye jihoji hivi inakuwaje huyu binadamu akabuni almost Seven major projects za kuletea maendeleo Taifa letu, anazisimamia na kuzifatilia to the letter - ndani ya miaka minne amefanya mambo ya kuishangaza Dunia pamoja na viongozi wakuu wa Taifa letu walio mtangulia,one may ask sasa haya ninayo yasema hapa yana uhusiano gani na chanjo za COVID-19 - uhusiano hupo sana,kama aliweza kubuni na kupanga masuala ya meandeleo yenye uhakika na akafanikiwa against all odds which means ni binadamu muona mbali anaye chambua mambo kwa kina kabla haja tekeleza, sasa anapo tahadhalisha kuhusu matumizi ya chanjo zinazo zalishwa kutoka kwenye source moja bila ya kuwachia Mataifa ya decide kama ikibidi wanunue chanjo kutoka kwenye alternative sources na siyo WHO kuwekea Mataifa shinikizo la kununua chanjo kutoka makampuni fulani or else, ukiangalia kiundani chanjo zinazo pigiwa debe na WHO mtu anaona ni unafiki mtupu - sina shaka hayo Dk.Magufuli ameyabaini mapema sana ndiyo maana katoa tahadhali kwa Wizara ya afya na Watanzania wote - wanao mbeza wana lao jambo, wengi wetu tupo pamoja nae, narudia kukumusha tena kwamba JPM amekwisha soma mchezo mzima akagunduwa jamaa hawa wanatuchezea akili, korona hipo kweli, lakini si kwa kiwango cha kutisha kivile.

Ni kweli kabisa kwamba Taifa lililo gunduwa chanjo kwa mara ya kwanza Duniani ni Urusi, lakini cha ajabu uvumbuzi huo ulipokelewa in luke warm na makampuni shindani ya magharibi wakaanza kampeini zao za kuipiga vita eti Warusi wali cut corners ndio maana wamefanikiwa in a record time, Trump kasema Warusi wali-hack data base za maabara tafiti za USA na Ujerumani na kuwaibia siri za chanjo ya korona ndio maana Warusi wamefanikiwa!

Afisa mmoja katika Serikali ya Trump alikwenda mbali zaidi kwa kusema kwamba chanjo ya Urusi hawezi kumchanja hata mbwa wake - just imagine.

China ilikuwa na kampuni tatu zilizo jihusisha katika tafiti za chanjo za korona, wamefanikiwa na wanasema chanjo zao kama zilivyo chanjo za Urusi zina uwezo wa kuwa effective dhidi ya korona by 95.5% hilo halisemwi na MSM za magharibi, tukija WHO nayo ugusia kidogo kuhusu chanjo za kichina, WHO wanajidai kuweka chanjo za China kwenye list ya potential vaccines za korona lakini stori inaishia hapo,badala yake nguvu kubwa za Uongozi wa WHO kupigia debe chanjo za makumpuni ya Merikani na Ulaya specifically Pfizer/Oxford-Zeneca/Moderna - cha ajabu Uongozi wa WHO hawazungumzii chochote kuhusu chanjo zinazo zalishwa na Kampuni za Urusi na China - hii inaleta picha gani,binafsi nafikiri mifano kama hiyo ndiyo inamfanya JPM anajiulize maswali mengi na kuguduwa kinacho endelea nyuma ya pazia, semeni lolote kumuhusu yeye,lakini siku moja niliwahi kumsikia Trump akimuunga mkono Dk. Magufuli kuhusu kushtukia kwake mashine zilizo kuwa zinapima virus vya korona, alisema baadhi ya mashine zinatoa tawimu za kugushi/zimechezewa ili ku-inflate idadi ya maabukizi, wahusika wakiwa na malengo mawili - lengo la kwanza ni Political, walitaka kuleta taharuki kwa raia ili Trump hasichaguliwe tena for a second term in office for failing to deal with Corona effectively - lengo la pili ni kutisha tisha Serikali za mataifa mbali mbali Duniani kwa takwinu za maambukizi nchini mwao ili yakimbilie kununua chanjo za Makampuni ambayo yalikwisha kuwa earmarked na WHO kuuza chanjo zao ili Makampuni hayo yavune fedha ndefu big time.
Yaani ndugu yangu mambo mengi umeyaweka vizuri zaidi. Pungufu kubwa la President wetu ni kutoweza kuwasilisha hoja zake kwa lugha flani flani za kisiasa. Yeye kila kilicho moyoni mwake anakitamka hivyo hivyo bila kuchujwa na chujio la kisiasa. Na wabaya wake wanashikilia hapo hapo.

Sasa tukija kwenye matamshi yake kuhusiana na "kama wazungu wana uwezo wa kutengeneza kinga, basi wangetengeneza za HIV, malaria, etc", alichomaanisha hapo ni kwamba hayo magonjwa ndio yanaongoza kwa kuua waafrika wengi, lakini kwa vile sio kipaumbele cha pharma giants ndio maana hata kinga za hayo magonjwa hazijapatikana. Kwa maana nyingine ni kusema waafrika wasijidanganye kusubiri msaada kutoka WHO, tutafute utatuzi wa matatizo yetu from within.

Sasa sijui wanaompinga Magufuli wanampinga kwa sababu gani maana anachojaribu kutwambia ndio ukweli wenyewe. Kama tulichelewa hiyo haimaanishi hatuwezi kuanza sasa. Na hatua sahihi ya kuanzia ni kusema, no misaada, tutapambana na hali yetu mwisho tutapata ufumbuzi wetu. Magu anatupandikizia hiyo mbegu ila bado kuna wapuuzi wengi sana wasiotaka hiyo mbegu iote.
 
Kama kawaida yao walikaa wakajifungia wakaangalia projections ya ukuaji wa uchumi wao wakaona mchina anawatimulia vumbi kila walichokuwa wanamtishia anacho na vingine anavyo vya ziada yaani ana mtaji wa rasilimali watu,

Iko hivi walipoona viashiria vyote vya Ufalme wa China kwenye uchumi wa Dunia walijipanga kumdhibiti mchina kwa kumharibia taswira yake kiuchumi ndio maana wanajeshi wa Marekani wakishirikiana kwa karibu na Taasisi za kijasusi za Marekani walifanikiwa kuisambaza Corona iliyorutubishwa China

Mapema sana baada ya kuusambaza WHO ilishinikizwa itoe maelekezo ya kuiblock China na kuitangaza kwa mitazamo hasi

China kupitia kampuni yake ya HUAWEI ilisaidia majasusi wa kichina kuujua mpango kamili, China wakamuita Mkurugenzi mkuu WHO wakampanga mapema kabla ya Trump hajailazimisha WHO kuiblock China
.
Mkurugenzi WHO walikuwa na kiburi cha kutofuata maagizo ya marekani kwa sababu aliahidiwa murungura maradufu
.
Haya mambo sisi Waafrika tuko kwenye mkumbo tu lkn wababe wanaogombania Ufalme wa Dunia ndio wanaopigana kuhakisha kwamba wanzimana waendelee kutawala
..
Oh so its a conspiracy theory..
Let me ask you tz tumepokea chanjo ngapi mpaka sasa?
Madawa mangapi tunachukua kutoka kwao?

Why wasituangamize na hizo ? Watuangamize na covid?

Wana science wetu hapa nyumbani wanafanya nini kudhibit covid?
Au wamekaa tu wanasuiri chanjo ya mzungu?
Chanjo zetu hawatengenezi?

As kelele unazopiga hapa hazitosaidia chochote. Mpaka hapo tutakapokuwa na uwezo wa kutengeneza chanjo zetu za magonjwa mbali mbali na madawa yetu ya magonjwa mbali mbali.

Otherwise unaweza ukakunja mada yako .. take it to dustbin bro
 
Yaani!tatizo letu waafrika kila tatizo linalotukabili , tunamsingizia mzungu!!wakati matatizo mengi chanzo ni sisi wenyewe, tunajiamini tuna wasomi wengi, barani afrika, wameshindwa kuungana, kwa kupata ufadhiri wa nchi za kiafrika, na kutafuta chanjo ya ukimwi!!??

Hao incoming superpowers wako afrika?ambako viongozi wake ni warafi kupita kiasi, wao matatizo ya wananchi sio kipaumbele chao!!yaani miaka 60 toka uhuru hadi leo kiongozi anakuja kukuahidi maji safi?!!tumekubaliana mfumo wa demokrasia, lakini viongozi hawaheshimu maamuzi ya wananchi.

Hao wazungu wakisema inakuwaje wanapewa majina mabaya!!ila huyo huyo akikupa msaada jina linabadirika!!hata vita vinavyoua watu wengi barani afrika, chanzo kikubwa sio wazungu, ni ubinafsi tu wa viongozi wetu , humo ndio wakati mwingine wazungu wanajipenyeza!!!
Chief , unazungumzia hao wazungu ambao end of the day wanajifanya kutupenda kwa masalhi yao!?

Tazama,..umesema wanasayansi waungane watoe dawa...unadhan wanashindwa ama wameshindwa!? Big no..pengine wameshajaribu na kujaribu wanakutana na vizingiti chungu laki..bro..mtu mweupe anapotaka lake ..haji kwa sura ya kutisha..watu wanasema mbona Kuna chanjo zingine tumepewa..ingekuwa kufa tungeshakufa ..but wanahsindwa kujua..hizo machanjo tunazopewa zinareduce miaka ya kuishi plus uwezo wa kufikiria ..tazama now's day africans life expectancy ni miaka 45..while wao wako miaka 70 na kwenda juu, tazama viwango vya IQs zetu..ni dumafu na ndogo mmo kuwaliko wao...

Ndugu..haya mambo yalikuwa planned miaka mia na zaidi iloyopita...

Africans tumearibiwa na tunazidi kuaribiwa kiuwezo,kiakili nk.

Wametuletea demokras Ili watupangie viongozi wao..viongozi watakao wasikiliza kwwnza wao kabla ya wanamnchi wao,..wametuletea demokras..alafu hapo hapo wanatuzunguka..hatujiulizi mbona wakati ule wa machifu..na wafalme wa kiafrika hakukuwa na ujinga huu..watu walikuwa wakiishi vyema...pamoja na kwamba kulikuwa na matatizo lakn jamii zao zilikuwa vyema kiasi.

Ndugu, utabisha Sana lakini Najua ukweli unaujua ..
 
Je una access ya kuangaliaga BANNED VIDEO ndio utawajua plan zao future yao ni kuja kuishi AFRICA
Ww una access na hizo video? Video zinaweza kuwa real or fake. Kwenye stream meadia world ww mwenyewe unaweza make video ukuwatuhumu wazungu kwa kila kitu.

Video to me is not an evidence. Evidence is one that are approved by trusted sources. Documents.. contracts.. labs real test result.. na mambo mengine

Sio hizo propaganda vids huko online.
 
IFIKE HATUA WAZUNGU WATUACHE NA SISI WAAFRIKA TUJE NA SULUHISHO LA MATATIZO YA MAISHA YETU. WAJE NA MAELEZO HIYO CHANJO IMEVUMBULIWA WAPI? IMETOA MATOKEO WAPI???

TULIANZA NA NYUNGU TUNAMALIZA NA NYUNGU
 
Big No.

We are free, even when we are not free at 100% hakuna anayewazuia madaktari wetu kujifungia maabara na kubuni au kutengeneza chanjo yoyote ile

Mbona kujifukiza na kutumia local medicine hakuna anayetuzuia?

Hakuna Mzungu yeyote anayemwondolea Mtu mweusi hali ya kutojiamini, kutojiamini kupo ndani ya Mtu mweusi tu tangu awali.

''Blacks are not curious'' ''Blacks are not aggressive''

Nilishahoji humu kuwa hivi SUA ina umuhimu gani kwa wakulima wa Tanzania ambao ni zaidi ya 70% ? Ikiwa:-

Mbegu bora za mazao zinatoka nje mostly S.Africa, Netherlands, Brazil, Kenya na USA

Pembejeo zinatoka nje kuanzia trekta ya kulimia na mashine za kupandia, kupalilia na kuvunia

Mbegu bora ya mifugo zinatoka nje mostly Israel, Uholanzi na Uingereza

Dawa za mimea na mifugo zinatoka nje ya Tanzania

Sasa kwa miaka yote SUA ipo pale graduates wa kutoka pale wanagundua au kubuni nini wao????


Watu weusi tusitafute kujitetea bure.
Ndugu siwezi kujua umri wako lakini kama ni mtu mzima kidogo na uliyewahi kufuatilia historia ya kisiasa ya nchi yetu mara tu baada ya uhuru utajua kuwa our nation founding fathers walikuwa na maono bora sana kuhusiana na nchi yetu, waliweka mikakati bora kuhusiana na nchi yetu na walianza kupiga hatua sahihi kwa maendeleo ya nchi yetu.

Kitafute kijitabu cha "Ujamaa" cha mwalimu Nyerere ukisome halafu utaona jinsi ambavyo usije kudanganywa na propaganda kwamba ndani ya mtu mweusi hakuna uwezo wa uthubutu wa kupanga na kufanya mambo makubwa.

Uwezo huo upo, unahitaji kupaliliwa kukuzwa. Nikutie moyo tu kwamba usijikatie tamaa wewe binafsi, na usiikatie tamaa nchi yako na watu wake. Na pia nikwambie nchi zote hizo unazosifia watu wake wana uzalendo wa ajabu juu ya nchi zao. Si kwamba hawana mapungufu, bali wanatazama zaidi potential walizo nazo katuja kukabiliana madhaifu na mapungufu yao.
 
Talking without proof or reference.

Chanjo za surua, ndui, ukoma, polio umezisahau?
Mababu zetu walidungwa hizo chanjo..!? Walikufa!?..haya machanjo toka yameanza kutumia hapa tz..mitoto mingi inayodungwa inakuja kuwa mijinga..isiyo na uwezo wa kuchangamsha bongo na kufafanua Mambo.. unakuta lijitu limesoma mpaka chuo..lkn hata kuunda kigoda hajui...mtu anasoma kwa kukariri...walimu wanasahihisa kwa kukariri...hio haikuja kwa bahati mbaya

Plus hata rate ya kiwango cha umri kwa mwafrika kimeshuka..kulinganisha na watu weupe...kiwango cha kuishi wastani ni miaka 45 kwa mwafrika..while wazungu ni kuanzia miaka 70 nakuendelea..

Tukubali tukatae...haya machanjo yamekuwa most suitable poison kwetu wa Afrika ... Hilo haliihitaji elimu ya chuo kikuu kutumbua.
 
Kuna chanjo inaitwa BCG ambayo ni chanjo ya kifua kikuu na watoto wachanga wote wanachanjwa... au TB na kifua kikuu ni tofauti?

Njia kujikinga na malaria zinajulikana na pia inatiba. Na kukosa chanjo ya magonjwa mengine haimaanishi basi na hili lisipatiwe solution. Mbona hatuachi kupokea dawa za ukimwi mkasema kwa kua haziponyeshi basi zisitumike? Lakini zinasaidia kufubaza na leo mwenye ukimwi anaeza ishi na asiyenao na asimuambukize.

Kifua kikuu kina tiba na mtu akianza kutumia dawa hakiambukizi tena huwezi fananisha na korona. So yes chanjo inaweza saidia wale ambao hawana maambukizi kutokupata means rate ya watu kuugua itashuka sawa na pandemic diseases zote lazma itafutwe njia ya kupunguza maambukuzi then huko mbele studies nyingine zikifanyika zitaweza kuleta majibu bora zaidi.

Usiombe ikakukuta, utakua wa kwanza kwenda kupanga mstari. Iliku huwezi kusafiri mpk uwe umepata chanjo ya yellow fever, mbona hamhoji hizo??
Asante.
 
Acha kukurupuka!Aliekuambia kuwa Malaria haina chanjo ni nani?Unafikiri ya kuwa kila anachoongea Magufuli ni fact?Magufuli ni MATAGA tu kama yalivyo MATAGA mengine,yaani kukurupuka!Kwa taarifa yako Malaria ina chanjo na pia kifua kikuu nayo ina chanjo!Uwe unafanya kwanza literature review kabla ya kuleta mada hapa.Siyo kila analosema Magufuli ni sahihi.Magufuli ni nasty leader ambae huwa hajui hata huwa anaongea nini!Huwa anaongea upupu kama mtoto mdogo alievaa pampasi.
View attachment 1688663
Guy....hii malaria kwani situlikuwa tunaish nayo ...tunaitibu kwa mitishamba yetu!?..hizi chanjo ni yammy poison aisee..sio tu zinauma taratibu..(wastani wa umri wa kuish waafrika) plus zinadumaza akili za watoto na kufubasha miili ...Kama hujaelewa now utaelewa miaka 29 ijayo..pindi Taifa zima tukiwa na vijana na watu wazima ambao ni mazombi
 
N walewale walowakata babu zetu mikono wasitengeneze majembe ili watuuzie yao, ila dunia inavyobadrika lazma waangalie njia mpya za kutudominate haswaaa wakiona Mchina ana mbio sana na anawafukuzia wanapagawa, watafanya kila waliwezalo hata Hilo la kutupandikizia wayajuayao
Ww unamponda mzungu. Halaf unamsifia mchina.
Hawa wote ni wakoloni.
China iliachia hiki kirusi makusudi ili ku collapse uchumi wa nchi mbali mbali.
Na amefanikiwa.
Still unadhan mchina ni mzuri? Umeangalia trend ya mikataba anayoingia mchina na nchi za africa?

You dont know shit man. Hawa wote ni wakolononi.. china ndio mkoloni mpya.

Africa inatakiwa ijetegee yenyewe. Sio kubadilisha wakoloni.
 
Back
Top Bottom