Who is Christina Shusho historically?

Membe alishaosha Rungu sana hapo huyo maza.
 

Asante kwa taarifa, binafsi napenda sana nyimbo zake hilo kwangu linatosha... ila kuhusu kanisa kwamba naye anamiliki lake sipo huko!

Watu hawapo siriazi, wanapotuletea maisha yao binafsi tunaona madhaifu yao mengi.

Kuwa mtumishi kisha marafiki ni kina Wema, inabidi nguvu kuwaokoa hao kondoo au kuvutwa upande wao!
 
Kumbe ni mrundi ndio mana anamsifu mrudi meko
 
Angalia pua ndio utajua katoka wapi,Wanyakyusa hawako hivyo
 
Hata Chibalonzo wengi walijua ni Mkenya kumbe ni Mcongo,kwa hiyo inatosha
 
Umemsoma mdau mmoja mmoja aliyeandika kuwa alimtosa jamaa aliyemtoa kule kwenye makambi ya wakimbizi ?Wanawake wana siri nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…