Who is Christina Shusho historically?

hiyo story mi niliipata kwa rafiki wa huyo kigogo kwamba alienda nae hotel kwa dau Fulani bidada akakubali. na aliyeanza kusema ni huyo kigogo kwa rafiki zake na rafiki zake wakaanza kutangaza
 
Jamani wote mlioanza kumchafua huyu dada nyie ni wasafi? au ni unafiki na uzandiki, wivu ndio umewajaa..!? mnamsema Lowassa kisa ndiye rais ajae mnamchafua makapurwa nyie, kila mwimbaji wa injili Lowassa au mmetumwa kuchafua watu nini..!? shame on u..!!
 
Ninavyo mfahamu shusho Ni mchanganyiko was makabila mawili baba mcongoman mama Ni mrundi kwan Ni familia ya askofu mlenda wa kanisa la t.a.g. msufini kigoma.
 

eti unasemaje? Bhbm
 
Last edited by a moderator:
duu ila mtt ni mzur yule jamani na ile dentali formula yake ana sura ya upole tabasamu la kinyenyekevu saut ya .........
 
mmmh! mamvi naye na waimbaji wa nyimbo za injili yupo wapi BEATRICE MUHONE
 
napenda sana kazi zake Mungu ambariki, nilimuona moshi ni mnyenyekevu sana na aliimba ule wimbo "inuka uangaze"
 
U
Ushindwe na ulegee. Kwa uzuri wa sura ya Christina, mguso wa nyimbo zake, maisha mazuri aliyo nayo na kibali alicho nacho lazima ukose usingizi kwa wivu. Hata kama unayosema ni kweli hayaondoi ukweli tunaouna sisi kwake. Mimi nitachukulia ni vita kwani mguso wake si wa kawaida, na mwenye haki Christine ajapoanguka mara 7 atainuka tena.
 
Nyimbo zake zina upako. Huchoki kuzisikiliza na ukizisikiliza unahisi uwepo wa MUNGU na kutiwa nguvu mpya.
Burudikeni na wimbo wake huu wa kuabudu.

huu ndiye wimbo bora zaidi katika nyimbo zake. Laiti angeendelea kumtumikia Mungu kwa kiwango hiki ooooh angekuwa mbali zaidi, kwasasa hana tofauti na bongo fleva
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…