Who is Christina Shusho historically?

huu ndiye wimbo bora zaidi katika nyimbo zake. Laiti angeendelea kumtumikia Mungu kwa kiwango hiki ooooh angekuwa mbali zaidi, kwasasa hana tofauti na bongo fleva
Wamemchakachua dada wa watu. Mbaya sana.
 
afu rubisi anywe nani?
 
mimi nimeuona leo boss
Na Mimi nimeuona Leo

In short Shusho alikuwa level moja na Upendo Nkone ila mpaka tunaingia mitamboni mwaka huu Upendo Nkone atabaki kuwa juu saana. Shusho kachakachua kila kitu kuanzia maisha yake binafsi, injili na myimbo. Yule mzee aliyemuokota katika makambi ya wakimbizi akamuoa amekuwa hana thamani tena
 
Rais lowasa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kuna tetesi kuwa Christina Shusho atachukua fomu za kuomba ubunge wa viti maalum CCM.

Kwa sasa Christina Shusho ni mpigaji wa kawaida sana, injili ni kuzugia tu, anatafuta pesa kwa hali, mali na hila.
Yuko busy kujipendekeza kwa jiwe, na nahisi hata anaweza kupigwa miti kimasihara ili kuvuna cheo.
 
Duuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…