witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Huyu Dena ni RIP?...jamani[emoji24]Nimekutana na hii comment nikashidwa kupita kimya kimya R.I.P Dena na msela mmoja alikuwa anajiita Ibra87 kama sijakosea wa Kigamboni
Namkumbuka Ibra87
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Dena ni RIP?...jamani[emoji24]Nimekutana na hii comment nikashidwa kupita kimya kimya R.I.P Dena na msela mmoja alikuwa anajiita Ibra87 kama sijakosea wa Kigamboni
Sawa sawandio mkuu
Tunaishi kwenye kizazi ambacho kimekeweza imani kwa wachungaji na wahubiri badala ya kuwekeza imanj yao kwa YESU KRISTO mwana wa MUNGU aliye hai.
Ndio keshatangulia mbele ya hakiHuyu Dena ni RIP?...jamani[emoji24]
Namkumbuka Ibra87
hili nalo nenoLicha ya pazia kupasuka vipande viwili, bado tumetengeneza middle men
RIP[emoji24]Ndio keshatangulia mbele ya haki
Wamemchakachua dada wa watu. Mbaya sana.huu ndiye wimbo bora zaidi katika nyimbo zake. Laiti angeendelea kumtumikia Mungu kwa kiwango hiki ooooh angekuwa mbali zaidi, kwasasa hana tofauti na bongo fleva
alilewaafanikio, kwasasa anatoa burudani ya bongo fleva na sio injili tenaWamemchakachua dada wa watu. Mbaya sana.
afu rubisi anywe nani?Naomba Mungu na mme wake Christina wanisamehe.......... hata Sir God anajua nilishamtamani sana kwenye video loH!!. Kuna wimbo wake unaitwa Songa Mbele.Yaani huu wimbo ukipigwa na nikianza kuusikiliza naandika proposal si chini ya nne kwa siku moja nausikiliza wenyewe aghhh basi tu . Mungu ambariki, amzidishie, amwinue, atuombeee na sisi wanywa Viroba na Rubisi na Dompo na Valeur na Regency tuokokeeeee.
AiseeNi moja ya wanawake watulivu sana, ni mzuri sana. Sijawahi kabisa kumsikia kwenye scandal yoyote.
Na Mimi nimeuona Leomimi nimeuona leo boss
Hatimaye christina ameku prove wrong. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ni moja ya wanawake watulivu sana, ni mzuri sana. Sijawahi kabisa kumsikia kwenye scandal yoyote.
Rais lowasa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Jamani wote mlioanza kumchafua huyu dada nyie ni wasafi? au ni unafiki na uzandiki, wivu ndio umewajaa..!? mnamsema Lowassa kisa ndiye rais ajae mnamchafua makapurwa nyie, kila mwimbaji wa injili Lowassa au mmetumwa kuchafua watu nini..!? shame on u..!!
Shusho kwa sasa anaimba nyimbo za kumsifu yesu wa lugolaHivi huu Uzi bado unatrend tuu?
DuuuKuna kipindi Mchungaji Shusho ambaye ni mumewe Christine alikwenda nje ya nchi kwa muda kidogo. Huku nyuma dada akampata Zakayo Wa TRA, jamaa akapanda dau baada ya kuzuzuka na uzuri wa dada akamnunulia ndinga moja ya ajabu, dada kwa tamaa na ulimbukeni akajaa ilihali yeye na mumewe nyumbani wana gari nne tayari.
Pastor kurudi kakuta mtoto ana ndinga mpya, kuuliza na kumbana dada akakiri kuwa kuna Zakayo wa TRA ndio kamhonga, Pastor kukasirika ndio kumpigia simu bwana Zakayo na kumrudishia ndinga yake, then mguu kwa mguu hadi kwa yadi ya magari na kumwambie dada achague gari kali kuliko ile ya Zakayo wa TRA, dada kachagua na Pastor kazama kumfuko ili kunusuru ndoa yake asije poteza mtoto mzuri ilihali angali akimpenda na amemtoa mbali.
Kumbuka hiyo yote ni wakati bado dada hajakutana na Pedezhee bwana mamvi aliyepata kuwa waziri nkubwa enzi ya utawala wa mwanzo kabisa wa ------. Nimeamua kutake risk kumwaga uozo huo anaofanya Christine ili kuwaonyesha tu jinsi hawa wasanii wa injili wanavyojinafikisha kwa mgongo wa YESU ilihali wakifanya ushehetwani mkubwa.
Ameyaishi maneno yako she's still pretty karibu kanisani kwake Manzese!kweli she is pretty bana, mungu kamjaalia na autunze uzuri kwa mme wake
Ameyaishi maneno yako she's still pretty karibu kanisani kwake Manzese!