Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Samahani kwa kutoka nje ya reki. Inaonekana enzi za usichana wake alikuwa kisu balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajulikane kwa nani kama wewe umeishamjua??
Waambie, wamebaka fani.Mkuu, hakuna kitu tunachovaa Mawakili kinachoitwa beeb. Tuna bibs and robes. Usizungumze usivyovijua
Kweli yupo kimkakati zaidiNa kwa taarifa yako Wakili Msomi Fatma Karume kwenye kesi hii sio wakili tu, anamsimamia Lissu kwenye hili kimkakati. Tulizana uone.
Tundu Lissu ni habari nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kijana hapa anauiza kama kaoewa.Binti bora kabisa,mtetezi wa haki za wanyonge.
Ni mtoto wa rais wa kwanza Zanzibar
Sent using Jamii Forums mobile app