Pundo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 2,390
- 3,308
Nadhani Ujasoma Biblia Kinagaubaga
Yesu Anaitwa Mtetezi Au Wakili
( Advocate) Soma Kitabu Cha Waebrania ( Hebrews) Utaelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani Ujasoma Biblia Kinagaubaga
Hussein Mwinyi, mrithi wa Dr SheinMtoto bora kabisa wa marais kuwahi tokea Tanzania ,huwezi mlinganisha na hao wengine kina Rizone wanaobebwa bebwa kichwani hakuna kitu, au Makongoro sijui.
Anaye mfahamu mtoto yoyote wa marais waliowahi shika bara na visiwani anayemshinda kiupeo huyu Fatma Karume ,na amtaje hapa
Mbwembwe za chadema hizo !
Lowassa mmemtua kwenye list !?Rais Lissu,Makamu Fatma Karume,Zenj Maalim Seif patamu hapo balaa
Habinder, Manji na Ruge waneoelejwa chooni?Kwani mbowe ni rais wa tanzania?
Ivi Tanzania kuna mafisadi kumbe?? Mbona hawakamatwi? mbona hawapelekwi mahakamani??
Thabit Kombo Jecha, swahiba mkubwa wa Nyerere yeye alijichukulia mhindi kabisaa !Na wala hajui kwanii wale wazee waliamua kuwaoa machotara wa kiarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Makame Mbarawa next president.Maoni yangu lkn hayoHussein Mwinyi, mrithi wa Dr Shein
Dogo (Hussein) kakaa sana kwenye dockets muhimu kwa muda mrefu, zichunguze.Makame Mbarawa next president.Maoni yangu lkn hayo
Tombatomba idevice Model TH 45
Inawezekana mkuu,ingawa na mbarawa ni kipenzi cha Mzee.Remember rule no.1 "NEVER OUTSHINE YOUR BOSS".Hata akipewa hio chance hawezi mu outshine mzee wetu huku.Dogo (Hussein) kakaa sana kwenye dockets muhimu kwa muda mrefu, zichunguze.
.....si unaona jamaa alivyo mtulivu, awamu ya tatu sasa anafit ! Pia anaweza kuwa stand by asset/option. Katika mtiririko wa watu wa visiwani, mtu aliyelazimisha king ni makamu aliyepita.Inawezekana mkuu,ingawa na mbarawa ni kipenzi cha Mzee.Remember rule no.1 "NEVER OUTSHINE YOUR BOSS".Hata akipewa hio chance hawezi mu outshine mzee wetu huku.
Tombatomba idevice Model TH 45
Moja kati ya mambo ya ajabu kabisa katika hii dunia ni pale mtu anapotaka kila mtu awaze kama anavyowaza yeye!Akili za ki ukawa hizo, hata Lowassa mliona anafaa after years of hatred
Sent using Jamii Forums mobile app
Raisi wa kwanza wa Zanzibar, ni babu yake, yeye ni mtoto wa raisi wa sita Zanzibar, amani abedi karumeBinti bora kabisa,mtetezi wa haki za wanyonge.
Ni mtoto wa rais wa kwanza Zanzibar
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwezo huo wanao ukawa tu, kuweza kumtathmini mtu kwa siku tatu kwa kuhangaika na kesi ya mtu kuropoka ropoka.Moja kati ya mambo ya ajabu kabisa katika hii dunia ni pale mtu anapotaka kila mtu awaze kama anavyowaza yeye!
Mkuu hata mama yako mzazi kama angelikuwa na uwezo alionao Bi Fatma Karume ningekwambia anafaa kwa maana sidhani kama mimi ama Fatma ni wana ukawa!
Wakili Murtaza Lakha.Uwezo huo wanao ukawa tu, kuweza kumtathmini mtu kwa siku tatu kwa kuhangaika na kesi ya mtu kuropoka ropoka.
Yupo Wakili alihangaika na kesi ya uhaini enzi za Nyerere, TISS na waendesha mashtaka jasho liliwatoka. Muulize Hans Pope.
Mkuu, nikupongeze sana kwa kufanikiwa kijibiwa na lukesamUwezo huo wanao ukawa tu, kuweza kumtathmini mtu kwa siku tatu kwa kuhangaika na kesi ya mtu kuropoka ropoka.
Yupo Wakili alihangaika na kesi ya uhaini enzi za Nyerere, TISS na waendesha mashtaka jasho liliwatoka. Muulize Hans Pope.