morning dew
Member
- Jun 7, 2017
- 42
- 11
Kumbe sie wenye kutumia techno tumepitwa na wakati na hatuna haki kuitwa watu twaitwa MAJITUKuna majitu humu yanatumia tecno,tena hata kununua hiyo tecno yamejinyima kweli lakini yanajifanya yanafia chama kwa kutetea ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app