Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakawii kumuweka kiti moto baba yake kama alivyomgombeza baba yake halimaNaona mnampandisha hasira anko Magu
Labda amekosea spellings.Mimi hayo mambo siyajui mara beeb mara bibsMkuu, hakuna kitu tunachovaa Mawakili kinachoitwa beeb. Tuna bibs and robes. Usizungumze usivyovijua
Kwamba "mzee mtoto akuavyo ndivyo aleavyo" hasira zote kwa mzeehakawii kumuweka kiti moto baba yake kama alivyomgombeza baba yake halima
Pale sidhani yule mheshimiwa alisha waambia watu akili zao ni kama za samaki. Sijui alimaanisha nini.hakawii kumuweka kiti moto baba yake kama alivyomgombeza baba yake halima
Hela , kitu pesa , angekuwa hohehahe kama akina sie azingeyafanya hayoAnakuwa na mbwembwe nyingi sana akiwa huko mahakamani, utamkuta anatembea na Hanger, katundika Koti lake na beeb.
Mahakama ikianza anaweka hanger pembeni anatoa koti anavaa beeb anajifunga; akimaliza anarudishia kwenye hanger yake anasepa. Mbwembwe za mawakili hizo.
Umejibu lkn hujaelewa mleta mada alichouliza ingekuwa upo kwenye chumba cha mtihani basi ungeruka na zero
HUYU NI ANATAKA MJOMBA WAKE MAALIM SEIF ...ili warudishe UFALME...anajua kila kitu huyo, ila hataki kuamini kwamba Lissu anaweza kutetewa na Wakili msomi tena mtoto wa Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzaibar, pia mjukuu wa Rais wa kwanza wa Zanzabar.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]ni mtoto wa aman karume...na ni mjukuu kwa abeid karume (hiyo sura shadya mtupu)....
Sigara wanaruhusu mahakamani?Anakuwa na mbwembwe nyingi sana akiwa huko mahakamani, utamkuta anatembea na Hanger, katundika Koti lake na beeb.
Mahakama ikianza anaweka hanger pembeni anatoa koti anavaa beeb anajifunga; akimaliza anarudishia kwenye hanger yake anasepa. Mbwembwe za mawakili hizo.
Kusoma raha.Anakuwa na mbwembwe nyingi sana akiwa huko mahakamani, utamkuta anatembea na Hanger, katundika Koti lake na beeb.
Mahakama ikianza anaweka hanger pembeni anatoa koti anavaa beeb anajifunga; akimaliza anarudishia kwenye hanger yake anasepa. Mbwembwe za mawakili hizo.
Lowassa alishafikishwa mahakamani akapewa adhabu ya kufukuzwa uwaziri mkuuKwani mbowe ni rais wa tanzania?
Ivi Tanzania kuna mafisadi kumbe?? Mbona hawakamatwi? mbona hawapelekwi mahakamani??
Umelewa?Lowassa alishafikishwa mahakamani akapewa adhabu ya kufukuzwa uwaziri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu hata bia wanaruhusu.