Who is Fatma Karume? | Fatma Karume ni nani?

Who is Fatma Karume? | Fatma Karume ni nani?

Ni Mjukuu wa Abeid Amani Karume na mtoto wa Amani Abeid Karume
Kwa hiyo kwa taarifa ya wengi humu ni kuwa kazaliwa ndani ya ccm, kaifaidi ccm kuliko maelfu ya mavuvuzela hata waliopo humu JF na bado ana ulinzi wa ccm kupitia baba yake.
Lakini bado anaiona ccm ni kimeo na anaipinga wazi wazi matendo yake.
Sasa tuwaulize hawa waliozaliwa nanjilinji na kuwa wameijua ccm walipokuwa sekondari na wanachofaidika ni fulana, kofia na buk7 jee wamejiuliza kwa nini Fatuma hapendi matendo ya ccm pamoja na fursa zote apatazo?
 
Bara na pwani wapi na wapi labda sema wote wana taalum moja ya sheria na sidhani kama undugu au chama kwa mambo ya kisheria ni issue, kikubwa kama mtu ameona kwa taalum yake anaweza saidia na labda kujisaidia na pengine utawala haufuati sheria au kuna malipo basi taalum na msukumo ndo vina m 'drive' mtu
Umejibu lkn hujaelewa mleta mada alichouliza ingekuwa upo kwenye chumba cha mtihani basi ungeruka na zero
 
Kwa hiyo kwa taarifa ya wengi humu ni kuwa kazaliwa ndani ya ccm, kaifaidi ccm kuliko maelfu ya mavuvuzela hata waliopo humu JF na bado ana ulinzi wa ccm kupitia baba yake.
Lakini bado anaiona ccm ni kimeo na anaipinga wazi wazi matendo yake.
Sasa tuwaulize hawa waliozaliwa nanjilinji na kuwa wameijua ccm walipokuwa sekondari na wanachofaidika ni fulana, kofia na buk7 jee wamejiuliza kwa nini Fatuma hapendi matendo ya ccm pamoja na fursa zote apatazo?
Kuna majitu humu yanatumia tecno,tena hata kununua hiyo tecno yamejinyima kweli lakini yanajifanya yanafia chama kwa kutetea ujinga
 
Naomba kujua wanabodi kama Wakili Fatma Karume ana undugu na familia ya Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Karume.

Na Je ni mwanachama wa CHADEMA?

View attachment 547337

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu. huyu binti ni mjukuu wa marehemu mzee Abeid Karume - nadhani waliotangulia tayari wamekupa jibu hili.

nyongeza yangu - huyu ni mmoja wa CCM kindakindaki lakini ni miongoni mwa wawili watatu tu waliobaki ndani ya chama hicho ambao akili zao bado zinafanya kazi sawa sawa kama binadamu aliyeumbwa na Mungu!
 
mkuu. huyu binti ni mjukuu wa marehemu mzee Abeid Karume - nadhani waliotangulia tayari wamekupa jibu hili.

nyongeza yangu - huyu ni mmoja wa CCM kindakindaki lakini ni miongoni mwa wawili watatu tu waliobaki ndani ya chama hicho ambao akili zao bado zinafanya kazi sawa sawa kama binadamu aliyeumbwa na Mungu!

nini tafri ya maneno yako mki itwa mahakamani mnalilia.
 
Kuna majitu humu yanatumia tecno,tena hata kununua hiyo tecno yamejinyima kweli lakini yanajifanya yanafia chama kwa kutetea ujinga
....watetee nini ile wapate iPhone ?
 
hizi zama nyingine sio za kipindi kile cha wazeee wa bandari.
 
Back
Top Bottom