mpandaone
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 518
- 290
Haya ANGALIA mijutumingine inavyoitea ccm wakatinichokambaya huyo babayakenababuyake Nimarais hatakiatakuisikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
???????????HUYU NI MTOTO WA RAIS MSTAAF WA Z'BAR NDG ABEID AMAN KARUME. Mama yake ni bi Shadia Himid Karume mke wa mstaafu. Mjombaake ni Mansour Himid galacha la CUF huko Unguja. upande wa mama yake ni purely Arabs (mama na Babu yake) na upande wa Baba ni Purely Bantus (baba,bb,babu) thats y ni shombshombe. Babu zake kiumeni ni aliyekuwa Rais wa kwanza wa Z'Bar na M/kiti wa BM na kikeni ni Mwanajeshi aliyeshiriki ktk Mapinduzi ya Z'Bar.
Shuleni sijui ulikuwaje!Bara na pwani wapi na wapi labda sema wote wana taalum moja ya sheria na sidhani kama undugu au chama kwa mambo ya kisheria ni issue, kikubwa kama mtu ameona kwa taalum yake anaweza saidia na labda kujisaidia na pengine utawala haufuati sheria au kuna malipo basi taalum na msukumo ndo vina m 'drive' mtu
Muhimu kukoleza line of defence na a puff of cigar.
Inasemekana ana uCuF CUF yeye na mjomba wake Mansour Himid aliyeasi Ccm na kuingia CuF na kugombea uwakilishi na kushinda kwenye uchaguzi wa uliomfanya Jecha kuwa kifutio!Mtoto wa Karume amshauri Dk. Shein Ampishe Maalim Seif
Siku nyingine jishughulishe hata kwa kugugo tu Mkuu. Kwa wakati wa sasa, si kila kitu ni cha kuuliza.Kiufupi,Wakili Msomi Fatma Karume ni mtoto wa Rais Mstaafu Amani Abeid Karume na mjukuu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Amani Karume. Kuhusu uanachama wa CHADEMA, sijawahi kuiona kadi yake hivyo siwezi kulisemea.
Wajukuu wa Karume kwa ku mix hawajambo wote wameoa au kuolewa na watu wa mgharibi majority ItaliansOngeeni yote..ameolewa?
Ni mtoti wa Amani Abed karume na mjukuu wa Abeid Aman KarumeHUYU NI MTOTO WA RAIS MSTAAF WA Z'BAR NDG ABEID AMAN KARUME. Mama yake ni bi Shadia Himid Karume mke wa mstaafu. Mjombaake ni Mansour Himid galacha la CUF huko Unguja. upande wa mama yake ni purely Arabs (mama na Babu yake) na upande wa Baba ni Purely Bantus (baba,bb,babu) thats y ni shombshombe. Babu zake kiumeni ni aliyekuwa Rais wa kwanza wa Z'Bar na M/kiti wa BM na kikeni ni Mwanajeshi aliyeshiriki ktk Mapinduzi ya Z'Bar.
Una umri gani? Samahani mkuuLowassa alishafikishwa mahakamani akapewa adhabu ya kufukuzwa uwaziri mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa swali lakini?Bara na pwani wapi na wapi labda sema wote wana taalum moja ya sheria na sidhani kama undugu au chama kwa mambo ya kisheria ni issue, kikubwa kama mtu ameona kwa taalum yake anaweza saidia na labda kujisaidia na pengine utawala haufuati sheria au kuna malipo basi taalum na msukumo ndo vina m 'drive' mtu
Ni mtoto wa Abeid Karume na ni mwanachama wa chama cha CUFNaomba kujua wanabodi kama Wakili Fatma Karume ana undugu na familia ya Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Karume.
Na Je ni mwanachama wa CHADEMA?
View attachment 547337
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe mh. saaaana Row wa sir ashakuwa mchezaji wa akibaRais Lissu,Makamu Fatma Karume,Zenj Maalim Seif patamu hapo balaa
Ndiyo big Fatma huyoAnakuwa na mbwembwe nyingi sana akiwa huko mahakamani, utamkuta anatembea na Hanger, katundika Koti lake na beeb.
Mahakama ikianza anaweka hanger pembeni anatoa koti anavaa beeb anajifunga; akimaliza anarudishia kwenye hanger yake anasepa. Mbwembwe za mawakili hizo.