gwa myetu
JF-Expert Member
- Aug 18, 2014
- 4,473
- 4,666
Mtoto bora kabisa wa marais kuwahi tokea Tanzania ,huwezi mlinganisha na hao wengine kina Rizone wanaobebwa bebwa kichwani hakuna kitu, au Makongoro sijui.
Anaye mfahamu mtoto yoyote wa marais waliowahi shika bara na visiwani anayemshinda kiupeo huyu Fatma Karume ,na amtaje hapa
Anaye mfahamu mtoto yoyote wa marais waliowahi shika bara na visiwani anayemshinda kiupeo huyu Fatma Karume ,na amtaje hapa