Who is Fatma Karume? | Fatma Karume ni nani?

Who is Fatma Karume? | Fatma Karume ni nani?

B40

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2016
Posts
820
Reaction score
537
Naomba kujua wanabodi kama Wakili Fatma Karume ana undugu na familia ya Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Karume.

Na Je ni mwanachama wa CHADEMA?

IMG_0400-webb.jpg


======

Fatma Amani Karume

Brief biography:

Age: Born June 15, 1969 in Zanzibar, Tanzania

Advocate: Admitted, 1994 in Tanzania

Education:

Middle Temple, Temple, London, Degree of the Utter Bar, 1998

Inns of Court School of Law, Postgraduate Diploma in Professional Legal Skills, 1998

London School of Economics, LL.M, 1997

Universite de Strasbourg, Diplome de Sciences Juridiques, 1991

University of Sussex, LL.B (Hons), 1992

Work experience :

Merger between Karume & Co and IMMMA 2007
Founder of Karume & Co, Advocates 2004

Junior Partner, Mkono & Company, Advocates 2000 until 2003

Pupil, 5 Raymond Building, Gray’s Inn, London 1998 Of the Middle Temple, Barrister since 1998
Associate, Mkono & Company, Advocates, 1996
Advocate, High Court of Zanzibar since 1994
Apprenticed as State Attorney, Attorney General’s Chambers, Zanzibar, 1993

Apprenticed as State Attorney, Attorney General’s Chambers, Dar es Salaam, 1992

Member:

Bar Council of England and Wales
Law Society of Zanzibar
Tanganyika Law Society

Languages:

English, Swahili & French.

Email: karume at immma.co.tz

=====

Fatma Karume ni nani?

Fatma Karume alizaliwa Juni 15, 1969 Zanzibar.

Ni mtoto wa Rais Mstaafu wa Zanzibar (awamu ya sita), Amani Abeid Karume.

Ni mjukuu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Sheikh Abeid Amani Karume.

Ni mwanasheria katika kampuni ya uwakili ya IMMA Advocates

Ni mwanzilishi wa kampuni ya uwakili ya ‘Karume and Co Advocates 2004.’
 
Bara na pwani wapi na wapi labda sema wote wana taalum moja ya sheria na sidhani kama undugu au chama kwa mambo ya kisheria ni issue, kikubwa kama mtu ameona kwa taalum yake anaweza saidia na labda kujisaidia na pengine utawala haufuati sheria au kuna malipo basi taalum na msukumo ndo vina m 'drive' mtu
 
Anakuwa na mbwembwe nyingi sana akiwa huko mahakamani, utamkuta anatembea na Hanger, katundika Koti lake na beeb.

Mahakama ikianza anaweka hanger pembeni anatoa koti anavaa beeb anajifunga; akimaliza anarudishia kwenye hanger yake anasepa. Mbwembwe za mawakili hizo.
 
Anakuwa na mbwembwe nyingi sana akiwa huko mahakamani, utamkuta anatembea na Hanger, katundika Koti lake na beeb.

Mahakama ikianza anaweka hanger pembeni anatoa koti anavaa beeb anajifunga; akimaliza anarudishia kwenye hanger yake anasepa. Mbwembwe za mawakili hizo.
Siku yake mchukuwe video mkuu utupie hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoto wa Karume amshauri Dk. Shein Ampishe Maalim Seif

Siku nyingine jishughulishe hata kwa kugugo tu Mkuu. Kwa wakati wa sasa, si kila kitu ni cha kuuliza.Kiufupi,Wakili Msomi Fatma Karume ni mtoto wa Rais Mstaafu Amani Abeid Karume na mjukuu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Hayati Abeid Amani Karume. Kuhusu uanachama wa CHADEMA, sijawahi kuiona kadi yake hivyo siwezi kulisemea.
 
Anakuwa na mbwembwe nyingi sana akiwa huko mahakamani, utamkuta anatembea na Hanger, katundika Koti lake na beeb.

Mahakama ikianza anaweka hanger pembeni anatoa koti anavaa beeb anajifunga; akimaliza anarudishia kwenye hanger yake anasepa. Mbwembwe za mawakili hizo.
Joto tu so mbwembwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: B40
Anakuwa na mbwembwe nyingi sana akiwa huko mahakamani, utamkuta anatembea na Hanger, katundika Koti lake na beeb.

Mahakama ikianza anaweka hanger pembeni anatoa koti anavaa beeb anajifunga; akimaliza anarudishia kwenye hanger yake anasepa. Mbwembwe za mawakili hizo.
Mkuu, hakuna kitu tunachovaa Mawakili kinachoitwa beeb. Tuna bibs and robes. Usizungumze usivyovijua
 
Back
Top Bottom