Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Ila binamu una mitusi mweee....manake jana uliimwaga hatari..nikajua ban itakuhusu...
Baadae uchukue maziwa kwa Mangi usukutulie mdomo...bili ntaclear binamu yako....

Dah nilijua ban itanihusu na nilijiandaa kabisa binamu, maana Jana nilivurugwa vibaya nashukur mungu kila kitu kimeenda kama nilivyopanga binamu
 
Namshangaa tu kutwa kupiga domo wakat huu mda wa kazi, simuelewi aseme tu kama na yeye ni mwanachama tuendeleze vigodor sio kuleta mambo ambayo hata, au anatuonea wivu sie ma jobless?

Anatuonea wivu atuwachee,binam next week nakwea pipa to America yo yo yo, nikuletee zawad gani nikurudii, naenda kujifungua binam kwenye hospital aliyojifungulia beyonce mtanitaka ( jot's voice
 
Haya na siku nikirudii sili mihogo,viazi,ugali si unajua ntakua nishzoea mabaga, pizza u know za bongo sio zina nyama ya kitimotoo

Hivi huko hamnaga mchunga,mnavu wala matembele.Hivi mchunga kwa kiingereza unaitwaje.
 
Ye alivyowakosoa hadi wale marehemu wasio na hatia aliwahi kuumba hata kidole?
Kwa pale nilimshusha....na ukweli usemwe mwanae mbayaaaaaaa!

daah...!!!Mange amejuta mwaka huu..!!
Muacheni jamani ashakoma watoto...!!!
kweli watoto wake wabaya mana yule bhoke hana mbele hana nyuma na wale wengine washukuru weupe tuu...!!
Ila mpotezeeni bas mnama umaarufu bure mjini!
 
Asante ila bado not hajawa na hako kauceleb kuna vitu still alishawahi fanya.mbona Ney wa mitego anawadis mastaa wenzake ila sio hot cake kama huyu Mange.
 
Asante ila bado not hajawa na hako kauceleb kuna vitu still alishawahi fanya.mbona Ney wa mitego anawadis mastaa wenzake ila sio hot cake kama huyu Mange.

Jamani ana MBA ya Dubai
 

Ahaha ahah bahat mbaya sijawahi kuishi uswazi kama mange ila matusi yote ya uswazi apa ndo mwalimu. Sasa apo ndo ujiulize akina mange watoto wa Mbezi beach uswazi wameutoa wapi

Binamu Mimi naishi Mbezi africana kwa kina mange sema Mimi nipo kwa chini uku karibu na kwa zena kawawa mi ndo nipo mitaa hii
 
Nshaaribu zaman binamu, na sas ivi wameniweza mwez mzima, kwan mi najali? Watajijua wenyew na mabalaa yao min nipo kama ifuatavyo waifunge mwez mwaka watajiju sina habaree

Binamu umetisha inabidi wakupe zawadi nahisi mpaka mwaka uishe utakuwa unaongoza kwa kupata ban
 
Tatizo lenu watu wa mujini mnakariri sana mnajua kazi kuajiriwa serikalini, benki,kampuni za simu na mwisho kujiajiri kwenye maboutique na udalali.Mkishindwa sana mnatafutiwa safari za Brazil na Pakistan.

Pakistan wananyonga kama china, ukienda Brazil wakati unarudi na nyeupe, usithubutu kupanda ndege itakayopita transit Madrid, Spain
 
Pakistan wananyonga kama china, ukienda Brazil wakati unarudi na nyeupe, usithubutu kupanda ndege itakayopita transit Madrid, Spain

Ndo vijana wengi wa mujini wanapenda maisha ya fastafasta siku hizi nasikia wanafanyishwa mazoezi ya safari hizo kwa kutumia mbilimbi.
 

Kumbe binamu nawe wa kishuaa,/?/? ,
 
Kumbe binamu nawe wa kishuaa,/?/? ,

mbezi beach viwanja havikuwa dili wala havikuwa na bei na tatizo barabara ya bagamoyo rd ilifanya washuwa wengi ambao hawakuona mbali kuachana na mbezi beach.

mfano our family tulikuwa na two plots mbezi beach moja baharini kabisa alinunuwa mzungu yuko hapo hadi leo.
 
Ndo vijana wengi wa mujini wanapenda maisha ya fastafasta siku hizi nasikia wanafanyishwa mazoezi ya safari hizo kwa kutumia mbilimbi.

wala si ajabu hata kama wanafanyishwa zoezi kwa dushelele na ky jery. wanataka kudrive na kurushia mapicha instagram.
 

hayo maswala ya baba yake tumuachie mwenyewe na kweli waliomtukania baba yake hawakufanya jema. ilaaaa me naongelea lile swala la kuwatukana watu wakati kweli kaiba pic na kufuta trade mark hafu anajifanya ajaiba. sasa kwani huyo souzy hapo alimtukania baba yake, n kusema wenzie wabaya kawaumba yeye. sasa ye si anasema anawafundisha adabu ngoja na sie tumfunde kidogo ajue kubehave like holder wa MA ya dubai.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…