Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Huyu kishachukua Umarekani hahitaji tena kuomba awe mkimbizi.

We unatafuta sababu ya kupata ukimbizi wa kisiasa kwa madai ya kuikosoa serikali. Tafuta mzungu mwingine uolewe huko, maana hii ya kutukana imebuma
 
acha a endelee kutukana maana wkt wa kampeni alimtukana sana mzee nywele nyeupe wakawa wanafurahia n.a. bado
 
Nini lengo la thread hii?
 
Hapo miaka ya nyuma kulikuwa na hadithi ya 'Akana ka Nsungu' wale watu wazima watakua wamenielewa. Ilikua inapatikana kwenye vitabu Fulani vya kiingereza kabla havijaanza kutumika vile vya akina 'Neema and Mussa, Mr and Mrs Daudi'. Age vitabu vya kina Neema and Mussa vinatumika, kile kingine kikawekwa pembeni, kikawa kinaitwa 'Kitabu cha Kiingereza cha zamani'
The Boss aliwahi kuniomba nimsimulie kisa cha 'Akana ka Nsungu' nikasahau kufanya hivyo.
Ukisoma kisa cha 'Akana ka Nsungu' huwezi ukampuuza Mange Kimambi.
 
Sasa ni haki gani hiyo unayodai unaipenda?
Afu sikuelewi ujue!
Mimi nadai haki hapa? Sidai haki yoyote..
Ila ya kaisari mpeni kaisari..
Mumemuanza wenyewe kaja msiempenda mnakuja kulia lia tulieni awanyooshe. Ili mkimtia jela sawa lakini kawafunua ufuska wenu wote
 
Binadamu wa kawaida hawezi kuporomosha matusi kihivyo bila kuwa na hofu ya Mungu, serikali ni chombo kikubwa nitashangaa km itashughulika na Mange labda kwa kumsaidia tu nikumpeleka kwenye nyumba ya vichaa
 
Heshima yako..
Aisee kumbe hukumsimulia ... Tuwekew hicho kisa cha huyu jamaa.. Kuna member humu ndani anatumia hilo jina
 
Mtoa mada ukute mange in hasimu wako so unamchongea atumbuliwe ili wakusaidie kulipa kisasi chako
 

Kaanza zamani hata kabla ya hapo kutukana watu.
 
Mi nilikua najiuliza Mange kimambi ni nani hasa!! Maana amekua hana brake kwa mdomo!! Na in short namwona insta !! She is real starbon !!fearless!! Ni dhahir sirikari inamwogopa coz hana cha kuficha wala staha !! Yy anachokifikiria ndo anaandika!!
 
Mtoa mada ukute mange in hasimu wako so unamchongea atumbuliwe ili wakusaidie kulipa kisasi chako

Mange ana maadui kila kona, hata likimtokea jambo mtu akiwa smart haitajulikana ni nani ksamua kumzima kivyovyote.
 

Mbona ana mu attack hadi muheshimiwa? Ila nahisi anafuatiliwa kimya kimya na siku zake zina hesabika
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…