Ndio utajiri huo wa kupata viewers auuuu?? Msaidie lara kujibu maana anauliza badala ya kujibu
Kusema kweli YAUKWELI NAYAJUA ILA HASEMWI KAMWE KAMA YAKE NA KISA, MWAMY, ET AL! Ila haya ya online UONGO MTUPU! The good part is HUWAGA ANAJIBU SHUTUMA ZOTE KWENYW BLOG KUANZIA AQUISATION MPAKA FACTS ANAWEKA KAMA WMAIL ZA KUOMBWA URAFIKI ETC.hahaha hiyo sababu ya kuwa mpare haiwezi kuwa ya mSingi!
Ni katika sakata lipi unakubali yanayo semwa juu yake ni kweli?
Unaamini yanayo semwa juu yake ni uongo mtupu? Una kubali kuwa kwa kuwa ni short tempared Kuna uwezekano ana tenda bila kufikiri kwa makini bali ana chukulia kila jambo kwa ubaya?
Je una kubaliana nami Kuna uwezekano anaona hawezi kukosea na kukosolewa?
Hahhaaaa! WEWE SI UNAMSEMA MUMEO WA MWENZIO? Anapenda kuonekana wapi? ULIITWA KWENYE BLOG SI KIRANGA CHAKO KIMEKUPELEKA! Ametoa tangazo katikati ya taafifa ya habari kujielezea alivo juu?suala sio mume wangu yuko wapi
ye mwenywe anapenda kuonekana yupo juu kumbe majalala its oke her dad was rich enhee sasa kampata mzungu hana kitu km jogoo wakuchorwa ndo mana anakpga kwa nje apate pesa za kujikimu.
Kauvaa mkenge watu wanamwaga ugali na maji ya kunywaaa
We cheka tu ila ukweli bosy wako kafulia mwambie arudi bongooo sie tupo tunamsubiri
Kuwa na amani tu, humu tutapeana makavu mpaka mwishooo thread ikifungwa hatuweki vinyongo. Huoni Dinazarde anajificha kwenye mgongo wa LIKES Hahahaaaaa! Ngoma nzito.hapa hamna treni wala bajaj mi nakukubali sana ila hapa leo team tofauti
an eye for an eye makes the world blind...........
huo ubaya kwa ubaya Max angeamua kuufanya si wangefikishana mbali..... silence is the best weapon sometimes. sasa kubwabwaja anakobwabwaja mama yule wa water Mark kuandika gazeti za Rai... kunashangaza......
USHAURI MMEOMBWA.? Si muwashauri ndugu zenu? Kuna ulazima gani nyie kungangania kumshauri mtu asietaka ushauri wenu? Mi hata siwaelewagi.Mimi nashindwa kuelewa anamtetea, halafu anakubali kuwa ana mapungufu ambayo watu wanayaongelea. Unajua wengine tunatoa ushauri tu kama tunavyoona mambo yanavyoenda kwenye mitandao lakini unaonekana nawe ni adui wa Mange.
Lara anatambua sana kama Mange ana madhaifu yake japo hataki kuukubali ukweli, hakuna binadamu hasiye na mapungufu yake.
umewahi kusoma Chemistry....
kuna kitu kinaitwa "catalyst" sasa wewe tunaweza kukuita hivyo kuwa ni "catalyst"
Lara andika kwa herufi ndogo utaeleweka tu hayo ma capital letters yanachosha kusoma....
Kama sio yatima SHUKURU MUNGU SIO KUMSEMA YATIMA WA MUNGU KWAMBA SIO WA KWANZA DUNIANI! Hakupenda awe hivo, aliekupa wewe wazazi ndo kamnyima yeye wazazi wenye maisha marefu.eti yatima wa watu we lara kwani ye ndio kawa wa kwanza kwa huo uyatima hapa duniani????
USHAURI MMEOMBWA.? Si muwashauri ndugu zenu? Kuna ulazima gani nyie kungangania kumshauri mtu asietaka ushauri wenu? Mi hata siwaelewagi.
USHAURI MMEOMBWA.? Si muwashauri ndugu zenu? Kuna ulazima gani nyie kungangania kumshauri mtu asietaka ushauri wenu? Mi hata siwaelewagi.
Asante lara1 kwa Hapo kwenye green!Kusema kweli YAUKWELI NAYAJUA ILA HASEMWI KAMWE KAMA YAKE NA KISA, MWAMY, ET AL! Ila haya ya online UONGO MTUPU! The good part is HUWAGA ANAJIBU SHUTUMA ZOTE KWENYW BLOG KUANZIA AQUISATION MPAKA FACTS ANAWEKA KAMA WMAIL ZA KUOMBWA URAFIKI ETC.
Tatizo wanaomsema HAWANA BASIS YA SHUTUMA ZAO! Ukiuliza umejuaje nimesikia, kilamtu kasikia, HAJATOKEA MTU WA KUSEMA MIMI NASEMA MANGE ABCD KAMAUNABISHA SEMA SUUUU NITOE USHAHIDI, hamnaaaaaaaa! Bla bla bla!
Hahhaaaa! WEWE SI UNAMSEMA MUMEO WA MWENZIO? Anapenda kuonekana wapi? ULIITWA KWENYE BLOG SI KIRANGA CHAKO KIMEKUPELEKA! Ametoa tangazo katikati ya taafifa ya habari kujielezea alivo juu?
MZUNGU KWA MTU KAMA BAKHRESA ANAWEZA SEMA HANA KITU NDIO NDO MAANA NIKAKUULIZA WEWE MUMEO ANA NINI HADI UMUONE MUME WA MWENZIO HANA KITU? Usikute mumeo payroll 800,000 afu busy kwenye social media MZUNGU HANA KITU WAKATI ANAJIACHIA LASVEGAS wakati nyie hata nauli ya las vegas ukute hamna! Doooooh!
FAR PLAY THIBITISHA ULIVONAVI WEWE KBALA HUJAMSEMA MWENZIO TUJUE KAMA UKO QUALIFIED KUTOA ACCUSATION KAMA HIO! Ndo maana mwenye phd ana haki ya kusem mwenye masters hajasoma ila wa sekondari hana hio haki.
ugonjwa gani my dear...
poleni sana
Kuwa na amani tu, humu tutapeana makavu mpaka mwishooo thread ikifungwa hatuweki vinyongo. Huoni Dinazarde anajificha kwenye mgongo wa LIKES Hahahaaaaa! Ngoma nzito.