Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
Ni upuuzi wa wale wanaoaminiwa na kupewa majukumu ndio wanamfanya huyu dada kupata sifa na kufanya yale anayofanya lakini hakuna kitu cha ajabu hapo
Kwa kuwa hao wanaoamiwa hawakupi wewe hizo taarifa ndiyo maana wengine wanamuona anafanya 'kitu cha ajabu'
 
Habarini wanajamvi,

Nimekuwa nikimsikia mwanadada Mange Kimambi kama Mwanamama na Mwanaharakati Wakitanzania anayeishi nchini Marekani anaefanya harakati zake kwa njia ya Mitandao ya Kijamii kama vile INSTAGRAM na FACEBOOK.

Mwanamama huyo amekuwa akitoa hoja mbali mbali ziwe hasi au chanya zinazohusu Serikali, Taasisi na hata watu binafsi na anaonekana kupata mashabiki wengi hasa vijana wanaotumia mitandao hiyo ya kijamii.

Je? Mwendelezo wa harakati hizi unaweza kuwa na athari gani kwa vijana na watu wa rika zote wanaomfuatilia?
 
Athari itakayo kuja kurokea kwa vijana ni kuporomoka kwa maadili katika upande wa matumizi ya lugha ya staha na badala yake wataona matusi ni jambo LA kawaida tu na unaweza kutukana bila shida.

Pili, vijana wanamezeshwa mbaya sana ya kutokuthamini juhudi za serikali na matokeo yake watakuwa watu wa kulalamikia tu serikali na kutaka vitu vinavyofanywa na serikali vifanyike haraka haraka au ghafla Bini vuu.

Vijana kutokuwa na hashima kwa viongozi wao wa serikali hivyo kufanya na kuzungumza watakavyo au wanavyofikiria bila kukumbuka kuwa mbona mange haongelei hapa nchini yuko marekani ndo anatupa madongo kwa mbali kama yeye jasiri kweli si angeongelea hapahapa.

Kwa Leo niongee hayo mafupi kwanza.
 
Athari itakayo kuja kurokea kwa vijana ni kuporomoka kwa maadili katika upande wa matumizi ya lugha ya staha na badala yake wataona matusi ni jambo LA kawaida tu na unaweza kutukana bila shida.

Pili, vijana wanamezeshwa mbaya sana ya kutokuthamini juhudi za serikali na matokeo yake watakuwa watu wa kulalamikia tu serikali na kutaka vitu vinavyofanywa na serikali vifanyike haraka haraka au ghafla Bini vuu.

Vijana kutokuwa na hashima kwa viongozi wao wa serikali hivyo kufanya na kuzungumza watakavyo au wanavyofikiria bila kukumbuka kuwa mbona mange haongelei hapa nchini yuko marekani ndo anatupa madongo kwa mbali kama yeye jasiri kweli si angeongelea hapahapa.

Kwa Leo niongee hayo mafupi kwanza.
Aje kuongelea hapa hapa kwani yy hana kazi ya kufanya marekani? tambua yy ni mkazi wa huko lazima aongelee huko huko alipo kwani ujasiri lazima uwepo Tanzania? Watanzania wangapi wapo nje wanakerwa na udikteta wa kumkumbatia Daud bashite lakini hawathubutu kusema kitu, Vijana hawajawadharau viongozi bali tabia zao za kukumbatia Uovu ndizo huwafanya kudharaulika, heshima zipo kwa wale viongozi wanaojiheshimu tu, isipowaheshimu watanzania hakuna atakayekuheshimu dawa ya moto ni moto, wameamua kumkumbatia Daud bashite asiye na vyeti huku wafanyakazi wengine wakiwa wamefukuzwa kazi wanateseka mitaani alafu mnataka mheshimiwe kwa lipi? Ebu mfukuzeni Daud bashite muone heshima zenu zitavyorejeshwa kwa kasi.
 
Athari itakayo kuja kurokea kwa vijana ni kuporomoka kwa maadili katika upande wa matumizi ya lugha ya staha na badala yake wataona matusi ni jambo LA kawaida tu na unaweza kutukana bila shida.

Pili, vijana wanamezeshwa mbaya sana ya kutokuthamini juhudi za serikali na matokeo yake watakuwa watu wa kulalamikia tu serikali na kutaka vitu vinavyofanywa na serikali vifanyike haraka haraka au ghafla Bini vuu.

Vijana kutokuwa na hashima kwa viongozi wao wa serikali hivyo kufanya na kuzungumza watakavyo au wanavyofikiria bila kukumbuka kuwa mbona mange haongelei hapa nchini yuko marekani ndo anatupa madongo kwa mbali kama yeye jasiri kweli si angeongelea hapahapa.

Kwa Leo niongee hayo mafupi kwanza.
Na, wewe ni walewale waliokunywa uji wa mgonjwa akafa.
Jaribu kujitambua basi
 
Nani mjinga zaidi Mange au watu wanaomchukulia Mange seriously.!?
Wajinga ni wale wasiojirekebisha baada ya kukosolewa na mange, mfano issue ya kununua ndege wakati wagonjwa Muhimbili wanalala chini, shule hazina walimu wa kutosha na nyumba za kuishi watumishi wa shule na madaktari huku wasio na vyeti wakifukuzwa kazi lakini Daud bashite yy kabakia kazini, ni aina ya mifano inayompa nafasi mange kupata wafuasi zaidi kwani amethubutu kusema ukweli ingawa Serikali imeziba masikio hawataki kusikia kitu.
 
Bashite angekuwa kwetu Uganda siku nyingi wangezaa nae ni ingekuwa story ingawa mnasema ni mchawi sana lakini hizo hirizi zake zingetenguliwa haraka na angelazwa chali atulie hospital kama miaka 4 hivi, huko Dsm naona mnamuogopa sana ilitakiwa mda huu awe kijijni koromije anavua samaki.
 
Aje kuongelea hapa hapa kwani yy hana kazi ya kufanya marekani? tambua yy ni mkazi wa huko lazima aongelee huko huko alipo kwani ujasiri lazima uwepo Tanzania? Watanzania wangapi wapo nje wanakerwa na udikteta wa kumkumbatia Daud bashite lakini hawathubutu kusema kitu, Vijana hawajawadharau viongozi bali tabia zao za kukumbatia Uovu ndizo huwafanya kudharaulika, heshima zipo kwa wale viongozi wanaojiheshimu tu, isipowaheshimu watanzania hakuna atakayekuheshimu dawa ya moto ni moto, wameamua kumkumbatia Daud bashite asiye na vyeti huku wafanyakazi wengine wakiwa wamefukuzwa kazi wanateseka mitaani alafu mnataka mheshimiwe kwa lipi? Ebu mfukuzeni Daud bashite muone heshima zenu zitavyorejeshwa kwa kasi.
Nadhani we we unafata mkumbo hebu ingia kwenye account yake uniambie anafanya kazi gani zaidi ya kulelewa na mzungu tu na mpaka mzungu kamchosha.
 
Bashite angekuwa kwetu Uganda siku nyingi wangezaa nae ni ingekuwa story ingawa mnasema ni mchawi sana lakini hizo hirizi zake zingetenguliwa haraka na angelazwa chali atulie hospital kama miaka 4 hivi, huko Dsm naona mnamuogopa sana ilitakiwa mda huu awe kijijni koromije anavua samaki.
Bashite akitoka ndiyo mtapata maji au umeme na huduma zingine? Matter of fact Bashite kafanya mambo ya msingi na makubwa ikiwemo ku initiate hospital ya kina Mama na watoto wakati wenye vyeti hawajahi kufanya chochote.

Mnaongozwa na Mange hadi mmekua kama mazezeta
 
Hebu ingia kwenye mita 18 zake , kama watu hawataelezwa korodani zako ni nyeusi au kijani
So mtu akikwambia korodani zangu za kijani unamuamini just like that!! Hii akili au matope

Uelewa wa watanzania wengi bado Mdogo sana kila siku nasema, wao hawaitumii muda kufikiri thoroughly validity ya madai yeyote yale ilimradi yamejaa negativity na malalamiko basi wanaamini. Smh
 
Athari itakayo kuja kurokea kwa vijana ni kuporomoka kwa maadili katika upande wa matumizi ya lugha ya staha na badala yake wataona matusi ni jambo LA kawaida tu na unaweza kutukana bila shida.

Pili, vijana wanamezeshwa mbaya sana ya kutokuthamini juhudi za serikali na matokeo yake watakuwa watu wa kulalamikia tu serikali na kutaka vitu vinavyofanywa na serikali vifanyike haraka haraka au ghafla Bini vuu.

Vijana kutokuwa na hashima kwa viongozi wao wa serikali hivyo kufanya na kuzungumza watakavyo au wanavyofikiria bila kukumbuka kuwa mbona mange haongelei hapa nchini yuko marekani ndo anatupa madongo kwa mbali kama yeye jasiri kweli si angeongelea hapahapa.

Kwa Leo niongee hayo mafupi kwanza.
We mwenyewe unaongelea humu jf ambapo all ur infos are confidential,unadhani kuikosoa serekali publically ni kazi rahisi???
Esp awamu hii ya wateka nyara???
Charity begins at home,anza ww ulioko hapa tz tuone ujasiri wako then ndio uje umshambulie Mange,usikute unemfollow kabisa na anakupasha habari vzr kuliko hata vyombo vya habari hapa nchini vinavyopindisha habari kwa kuiogopa serekali!
 
Athari itakayo kuja kurokea kwa vijana ni kuporomoka kwa maadili katika upande wa matumizi ya lugha ya staha na badala yake wataona matusi ni jambo LA kawaida tu na unaweza kutukana bila shida.

Pili, vijana wanamezeshwa mbaya sana ya kutokuthamini juhudi za serikali na matokeo yake watakuwa watu wa kulalamikia tu serikali na kutaka vitu vinavyofanywa na serikali vifanyike haraka haraka au ghafla Bini vuu.

Vijana kutokuwa na hashima kwa viongozi wao wa serikali hivyo kufanya na kuzungumza watakavyo au wanavyofikiria bila kukumbuka kuwa mbona mange haongelei hapa nchini yuko marekani ndo anatupa madongo kwa mbali kama yeye jasiri kweli si angeongelea hapahapa.

Kwa Leo niongee hayo mafupi kwanza.
Kama ni hivyo hata wewe sio jasiri, mbona unajiita e2n? Jina gani lina namba?
 
K
Wajinga ni wale wasiojirekebisha baada ya kukosolewa na mange, mfano issue ya kununua ndege wakati wagonjwa Muhimbili wanalala chini, shule hazina walimu wa kutosha na nyumba za kuishi watumishi wa shule na madaktari huku wasio na vyeti wakifukuzwa kazi lakini Daud bashite yy kabakia kazini, ni aina ya mifano inayompa nafasi mange kupata wafuasi zaidi kwani amethubutu kusema ukweli ingawa Serikali imeziba masikio hawataki kusikia kitu.
Kwa hiyo mkuu ulitaka ndege zisinunuliwe hadi dawa ziwepo hospitali, wanafunzi wawe na madawati nk. Hii kali
 
Athari itakayo kuja kurokea kwa vijana ni kuporomoka kwa maadili katika upande wa matumizi ya lugha ya staha na badala yake wataona matusi ni jambo LA kawaida tu na unaweza kutukana bila shida.

Pili, vijana wanamezeshwa mbaya sana ya kutokuthamini juhudi za serikali na matokeo yake watakuwa watu wa kulalamikia tu serikali na kutaka vitu vinavyofanywa na serikali vifanyike haraka haraka au ghafla Bini vuu.

Vijana kutokuwa na hashima kwa viongozi wao wa serikali hivyo kufanya na kuzungumza watakavyo au wanavyofikiria bila kukumbuka kuwa mbona mange haongelei hapa nchini yuko marekani ndo anatupa madongo kwa mbali kama yeye jasiri kweli si angeongelea hapahapa.

Kwa Leo niongee hayo mafupi kwanza.
Umeeleweka vizuri sana...
 
  • Thanks
Reactions: e2n
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom