Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
n

Mm nimejiajiri nauza genge,hua naingia humu nikishafunga mahesabu.Angalia muda nilioingia hapa leo hlf uangalie na muda ambao nyie majobless mmeingia humu.Najua mtajitetea kua mko nchi tunapishana na bongo,hata kama mtakua ughaibun bado naamin hamna kaz za kufanya.Tafuten shughul mfnye sio pakikucha tu mko hapa,hivi mnapataga hata muda wa kuoga kweli??

hizi ndio sababu zilizofanya Tanzania kuwa ranked in top 10 poor iq's population kwa sababu taifa limezalisha watu mazuzu kama huyu asiyejielewa.

kwamba ili uwe bize badi uee muuza genge, mtu ksma huyu ukimwambia unatengeneza pesa online hawezi kukuelewa na sidhani kama anajuwa hata freelancer ni kitu gani? bora kufuga nguruwe kuliko kuwa na viumbe mizigo kama hawa.
 
Hahhhhhhhhhaaaaaa AISEEE JAMANI TUPIGE KURA UPANDE WA LARA NA WA KWETU TUPATE NANI MSHINDII? ??
PIA NI WA NGAPI WAPO UPANDE WA LARA NA MANGE POST ZIHESABIWE TU YAAN LEO LARA UMEPATA LIKES 9 PAGE ZOTE HIZIIII DUUU NDO UJUE UMEDODAA NA MANGE WAKO WALIOMTETEA MANGE HAWAZID 6 PAMOJA NA LARA MWENYEWEE
Upande wenu lazima ushinde sbb nyie majobless na ss tunaingia huku tukishatoka tunakojishughulisha.
HONGEREN KWA USHINDI lol.
 
Haki ya Dinazarde a.k.a muke ya musukumaa,hadi wa ulaya wana sheeeeedaaaaaa warud tu bongo hata wajengee Us kujenga hakuna ni kununua makazi hiyo pesaa sasa heeeee kwa bongo nyumba mbilii au tati,we shogerr achaaa
Hahaa hilo neno tu MUKE YA....kalianzisha Mange MUKE YA MUZUNGU..Mange kawa affect kila sehemu lazima mshinde humu kumsakama.Chukua basi break kidogo ukasafishe ikulu ubadil na kuful ndo uje uendeleze majungu.
 
Last edited by a moderator:
Upande wenu lazima ushinde sbb nyie majobless na ss tunaingia huku tukishatoka tunakojishughulisha.
HONGEREN KWA USHINDI lol.

Hatuhitaji kujua kua unaingia na kutoka umekua mbo.o we unaingia na kutoka,hebu rudi mtaan kwenu huko
 
mwenzetu unawezaje kumjuwa jobless? by the way kazi yako inamsaidia yeyote humu?

mimi nimefikia conclusion kwamba wewe huna elimu yoyote unadhani member wa jf wapo manzese, arusha na mwanza tu.

kwa mfano unaelewa lolote kuhusu gmt? je unajuwa Japan ngapi saa hizi? vipi kuhusu Perth Australia? una elewa lolote kuhusu port moresby Papua new guinea? unajuwa brunei ni saa ngapi saa hizi? kazi uliyonayo bwana bize man umeshawahi kufika Alaska? vipi Montreal Quebec city saa hizi ni lunch au dinner? au ni breakfast time? unapajuwa bogota?

subiri siku utakayo pata bahati ya kupanda ndege safari ya masaa 8, utatoka kwenu asubuhi na utafika asubuhi pia huendako nadhani ndio utaanza to think like a man.

Duuu aisee #matola shikamoo
Sina cha kuongea zaid umeeonesha how much uko positive aisee
 
Hahaa hilo neno tu MUKE YA....kalianzisha Mange MUKE YA MUZUNGU..Mange kawa affect kila sehemu lazima mshinde humu kumsakama.Chukua basi break kidogo ukasafishe ikulu ubadil na kuful ndo uje uendeleze majungu.

Hilo neno lilikuwepo toka enzi za mababu we ndio umelijulia kwa Mangee shutuuuuuuu, nenda akanyonye vizuriii badoo sanaaaa weweee subiri mgao wa chupi zakee alizovaaa
 
Yaan binamu mimi leo kwenye hii thread sitajadili tena kuhusu Mange hana jipyaa tunaongelea makuukuu watu tuna detail hadi mmewe anapofanyia kazii, mbona angekua na mapene ingejulikanaa tu Mange tenaa,tukija kwa shost yake Wema ndio hana lolote kazi kubadili madera na kuhudhuria vigodoro, sitamjadili tenaa leo namaliziaa hii sred ya mwishooooo

Hongera kwa kuachana na kundi la majobless.Na Allah atakubariki.Ukijiuliza umepata faida gani tokea ujiunge na majobless jibu litakua ni likes,hao uliokua ukishinda humu kuwapikia majungu ukijiuliza wamepungukiwa na nini,jibu hakuna.
Time is money,tumia muda wako kuboresha life yako,kama hupendi tabia za mtu fanya uwezalo usizionr,kama ni Mange kumkwepa ni rahis,usiingie U turn.
UKIHITAJI AJIRA KARIBU GENGEN KWANGU,NSHITAJI MTU WA KWENDA KUNUNUA BIDHAA ZA KUUZA GENGENI.
 
Hahaa hilo neno tu MUKE YA....kalianzisha Mange MUKE YA MUZUNGU..Mange kawa affect kila sehemu lazima mshinde humu kumsakama.Chukua basi break kidogo ukasafishe ikulu ubadil na kuful ndo uje uendeleze majungu.

Kinachokuwasha ni nini? Hata mtu akikaa toka asubuhi mpaka kesho yake wewe kinakuuma nini? Au we ndo Mange mwenyewe?
 
mange mwehu tu...!wenzie hata hawajalk et dare me...niweke picha zako za utupu..!???
nyie twendeni tu hapa anguko lako linakuja Mungu wenu mnaemnyenyekea afu tuone...!
Kweli wee mwanga,umekazaniaa anguko lake,anguko lake,sasa akianguka ndo ww utasimama!!
Umekaa na popcorn unasubiri walioko juu waanguke badala yakufikiria namna utakavojisimamisha na ww.
KWANZA WANAOANGUKA NI WATU WSLIOKO JUU,WW KUSEMA ANGUKO LAKE TAYARI USHAKIRI MANGE YUKO JUU,NA NDIO KINACHOWSTOA ROHO,MNATAMAN
 
Shangaaa atuwaaacheeeeee ye akalee uzee wake tuuu mfyuuuuu tuwashushe tuliwazaaa sieee akuuuuuuuu haaaahhhhhhaaaaaa umeuaa warumiii eti wazeee wenziee nyooo sie bado badooi
WAZEE WENZANGU NILIMAAANISHA WANAUME WENZANGU,
hahaha Majobless bana.
 
Kweli wee mwanga,umekazaniaa anguko lake,anguko lake,sasa akianguka ndo ww utasimama!!
Umekaa na popcorn unasubiri walioko juu waanguke badala yakufikiria namna utakavojisimamisha na ww.
KWANZA WANAOANGUKA NI WATU WSLIOKO JUU,WW KUSEMA ANGUKO LAKE TAYARI USHAKIRI MANGE YUKO JUU,NA NDIO KINACHOWSTOA ROHO,MNATAMAN

SIONGEI NA MFUGO NAONGEA NA WENYE MFUGO.....SAWAAAA...?!!!!
Pole sana mamytoooo...!!
ALIYEKUTUMA MWAMBIE HUJANIKUTA...!!!!
DOMO LA UDAKU WEEEE...!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom