Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
We kitobo unayefanya kazi unafuata nn humu? Eti ma jobless hyo jobful yako iko wap mpak sasa ivi unahaha kutafuta dudu humu? yani we kahaba Wa kizee nitafungua account mia kwa ajili yako ili tu nikuonyeshe hii sio blog ya mmachinga wenu, upuuz wenu peleken uko kweny blog yake

Wee si uachane naee khaa kwani lazima umquote anachangamsha jukwaaa bana achanq nae
 
Kweli umaarufu unatafutwa kwa namna yeyote, nakumbuka ticha wangu mmoja alikuwa anatushauri
"vijana jitahidini kutafuta umaarufu, jamba hata mbele za watu uwe maarufu"

Kuna mmoja alijisaidiaa roundabout wee alikua maarufu balaaa
 
Did i hear you calling urself famous?
Sasa huo umaarufu wako ws jf umekusaidia kusaini mikataba mingapi ya kuwa brand ambassador hadi mm niutake?
HUo umaarufu wako unakuingizia ngapi kwa mwezi hadi niutake?
huo umaarufu wako umekusaidia kununua bikini ngapi za kuvaa ukiwa unatoa matured coments kwenye thread zinazohusu mambo ya beach?

Nakukumbusha tena,ww mwenyewe ndo ulinifata,ukaanza kuleta dharau,sasa ulivyo quote coment ambayo sikuelekeza kwako si ilimaanisha unataka majibishano na mm?sasa mbona nikikujibu unaleta udictator wakutaka kutaka nikae kimya?

Hizo reputation power zako pelela bank basi uka exchange upate pesa!!

Majobless bana.
Mtaji simu mapato liles.
m.z.x
aaaaahaaaaaa nimecheka mno wallah
 
Eti tunawaita majobless halafu tunashinda hapa na nyie!!Nani ashinde hapa na majobless!!angarien vizur muda wenye shughuli zetu tumeingia na muda nyie majobless mmelala jana na muda mmeingia hapa leo.Eti Gmt,sasa nyie mnafanya kaz/biashara saa ngap ilhal,jana nzima mko hapa hadi usiku,na leo tena hao mmejikusanya mmeshinda hapa na mtalala hapa na mtsamkia hapa,au nyie siku moja ina 72 Hours,maana kama n 24 hrs bas mmh ujobless ni mzigo.
Sishangai mkitumia muda mwingi kuharibia wenzenu shughuli zao sbb nyie niii
Mtaji Simu mapato likes.
Mtoa mada tafuta kazi ufanye hata Mange akijulikana ni maskini haitakufanya ww tajiri.
Mtaji simu........

Jobless @ work

Unajisikiaje kurumbana na ma jobless? Unapata experience gan kwa mfano ikiwa wewe ni mfanya kazi labda? Bora mbea kuliko wewe MNAFIK na MCHAWI mkubwa.
 
Eti tunawaita majobless halafu tunashinda hapa na nyie!!Nani ashinde hapa na majobless!!angarien vizur muda wenye shughuli zetu tumeingia na muda nyie majobless mmelala jana na muda mmeingia hapa leo.Eti Gmt,sasa nyie mnafanya kaz/biashara saa ngap ilhal,jana nzima mko hapa hadi usiku,na leo tena hao mmejikusanya mmeshinda hapa na mtalala hapa na mtsamkia hapa,au nyie siku moja ina 72 Hours,maana kama n 24 hrs bas mmh ujobless ni mzigo.
Sishangai mkitumia muda mwingi kuharibia wenzenu shughuli zao sbb nyie niii
Mtaji Simu mapato likes.
Mtoa mada tafuta kazi ufanye hata Mange akijulikana ni maskini haitakufanya ww tajiri.
Mtaji simu........

Mbona Povu Da Mangeee...
 
Mimi kama rais wa majobless wamenituma nikueleze kwanza wako very proud kuwa majobless, ila bundle zao ni monthly subscribe unlimited bundle.

Bundle zina speed ya 4g point something, sasa wewe mjasiariamali unayetumia bundle za jero za promotion free 50mb ziko limited speed na time so that u cant enjoy the taste of internet.

Pia kuna ujumbe wako kutoka kwa majobless kwamba wengine wamefanikiwa kuajiliwa hapahapa jf baada ya jf kutangaza ajira za umoderator, kwahiyo majobless wanakutumia tu ujumbe wewe ndio loser maana wenzio wanaenjoy mtandao huku wanalipwa na jf kwa kazi yao ya umoderator.

Last but list, hili niangalizo nakupa mimi sijui hata umejiunga lini utakapoanza kulambwa ban za mwezi mpaka miezi mitatu ndio utaijuwa power of majobless.

Maana majobless wapo ndani chombo cha maamuzi, ogopa sana majobless popote pale uwakutapo, majobless kina kawawa waliokuwa wapiga gumzo mnazi mmoja ndio walileta uhuru wa Tanganyika.

Makubwa haya,ujumbe mreefu umejaa vapour,sasa kama nyie ni mods mbona mnalambwa ban.

Sasa kwa taarifa yako,mm nikipigwa ban hata ya milele humu jf wateja wataendelea kuja gengen mwangu kama kawa.
Kazi kwenu nyie mtaji simu mapato like.
Hata ukipigwa ya siku moja lazima uumwe sbb huna kingine mfanyacho hspa dunian zaid ya kuwekeza kwenye likes hapa jf.

Afu usisahau kuja kwenye interview.
 
Wee si uachane naee khaa kwani lazima umquote anachangamsha jukwaaa bana achanq nae

Ngoja nilete ubuyu binamu nimuonyeshe huyu kipapa u jobless Wang, huyu lazima agongwe online binamu, anajiongeza sana mm nammudu huy binamu , ebu nishike ntaua mtu nipewe ban ya maisha
 
Jobless @ work

Unajisikiaje kurumbana na ma jobless? Unapata experience gan kwa mfano ikiwa wewe ni mfanya kazi labda? Bora mbea kuliko wewe MNAFIK na MCHAWI mkubwa.

Najisikia raha kunako mtima.
Kuhusu swali lako la napata mfsno gan,jibu ni napata mfano wa example.
Swali jingine?
Ukiuliza usisahau kunirushia katusi japo kamoja,natanguliza shukrani.
Hahahahaaaaaaa
 
poa binamu.....

nakuona tu kuna sehem nimekugongea like umenichekesha sana.....

Aaaa aaaah wapi uko binamu? Ebu nikumbushe?

Hao vibaraka Wa mange(angeitwa walau Beatrice tungekoma) kama wamelipwa na mange waje kumpa sifa za kijinga bas watalima lami humu, warudishe tu pesa JF no corruption/ rushwa only facts allowed, akahonge kwa shigongo( nimesahau kumbe GPL alishaharibu) dah mbona ana kazi kote kaaribu huyu zombie alivyokuwa ana laana , hakubariki mbinguni wala jehanamu
 
Matusi yako ya jana yakinitengezea mod kinoma,naomba leo usirudie yale ya jana,leo nipe ambayo hayajawahi kutumika.mm nikitukanwa huwa najisikia rsha kweli,naomba unitukane tena mkuu.

Yani Jana I did sacrifice my ID simply because of you, n thanks God now my heart is clean , ya Jana was just a trialer n was just a promo, ule ulikuwa utambulisho tu ndugu, if you want to know me more just dare me n continue to dig me in my forest, u will suffer the consequences
 
Nani bingwa wa matusi aje atumie itsalam wake anitukaneeee weeeee,napenda sana.
Mtaji simu mapato likes.
 
Yani Jana I did sacrifice my ID simply because of you, n thanks God now my heart is clean , ya Jana was just a trialer n was just a promo, ule ulikuwa utambulisho tu ndugu, if you want to know me more just dare me n continue to dig me in my forest, u will suffer the consequences

I dare you.
Nasubiri hilo movie.
Mtaji simu mapato likes.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom