cute datty
JF-Expert Member
- Jul 11, 2014
- 583
- 277
Dah ama mnampandisha chati huyo mange kuwa kumjadili mpotezeeni tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I dare you.
Nasubiri hilo movie.
Mtaji simu mapato likes.
I like the courage, let the battle begin now..
Im ready beibe.
Haya nimalize.
Hahaha aaa.
Nakuona mwenyewe
nikitulia ntakupa info kwa PM
Miss youuuu
U are too soft sweetheart, I pitty u
Huyu mpapa mpaka nizae nae mwaka huu
Hahaaaaaa.
Shida yangu mchumba ni nina hamu unitukane tena,jana ulinifurahisha sana.
Mimi kama rais wa majobless wamenituma nikueleze kwanza wako very proud kuwa majobless, ila bundle zao ni monthly subscribe unlimited bundle.
Bundle zina speed ya 4g point something, sasa wewe mjasiariamali unayetumia bundle za jero za promotion free 50mb ziko limited speed na time so that u cant enjoy the taste of internet.
Pia kuna ujumbe wako kutoka kwa majobless kwamba wengine wamefanikiwa kuajiliwa hapahapa jf baada ya jf kutangaza ajira za umoderator, kwahiyo majobless wanakutumia tu ujumbe wewe ndio loser maana wenzio wanaenjoy mtandao huku wanalipwa na jf kwa kazi yao ya umoderator.
Last but list, hili niangalizo nakupa mimi sijui hata umejiunga lini utakapoanza kulambwa ban za mwezi mpaka miezi mitatu ndio utaijuwa power of majobless.
Maana majobless wapo ndani chombo cha maamuzi, ogopa sana majobless popote pale uwakutapo, majobless kina kawawa waliokuwa wapiga gumzo mnazi mmoja ndio walileta uhuru wa Tanganyika.
Binamu taratibuu...wakikuban na ID hii tutakumiss ujue....
Mpotezeee
Wala sikutukani , naona unajisikia raha mwenyew beefing with warumi eeh? Unaona fahar mwenyewe?, aya ngoja nikupe kampani baby wangu maana sina kazi
Me too ma love mwaaaah
Sema hakyamungu baby mama.
Hilo la kazi hata tusiliongelee mana lishakua tatizo sugu.
Siku ukinizalia hao twins uloniahid itabid nikuachie kijiwe cha kuchomes mahind kikusaidie huduma za madogo mm ntabaki na genge langu.