Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Who Is Mange Kimambi? Jua ukweli wenye facts sio grapevine kumhusu huyu mtu, biography and facts!

Status
Not open for further replies.
roho mbaya na ugomvi na kuolewa na mzungu kijana..!!!

pia mwizi wa mawig,na amekiri anaendelea kuiba pics za magauni kutoka websites za wachina,anagawa kabang amekiri pia na hilo,halafu ni mwalimu kwa yeyote anayetaka kujifunza jinsi ya kuwa changudoa aka commercial sex worker.rafiki zake anonymous,anaishi double life hata mume wake hajui kama mke wake ni shangingi.pia jobless kama sie kutwa kushinda kwenye kiblog chake na wale zero brain wake.anasema msomi kutwa kuzurula Chinatown kama machinga
 
Hivi mbona mnamfatilia sana huyu dada kila kitu mpaka mchokonoe

Mie nadhani kila binadamu ana uhuru wa kufanya anavyojisikia na si kwa faida ya wengine aaagh
 
Its time lara 1 uanzishe bloggs yako.....na ukianzisha beef zako huwezi jua..
na ukiweka hata lipshine ya jina lako kwa fans wako huwezi jua........

mimi naona ukiwa na blogg lazima uanzishe beef na mtu..inalipa mno......
watu watakuzungumza na kupitia blogg yako unapata hits zinafuata adverts....the rest is history
kama le mutuz vile......sasa kazi kwako lara 1 ....

Lara fanyia kazi huu ushaur
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaassaa.
Mi nilijua saa hizi ntakua hoi napumulia mashine.
Naona askari wake wamemchukua amiri jeshi mkuu wao kimya kimya hata walipotokomea sipajui.
Nashangaa uwanja mzima wa vita nimesimama peke yangu sioni hsta mjusi akikatiza.
Natumai huko alipo anajipanga,atakapokua tayar kunipa pigo na mm nitakua tayari kupokea pigo.
kws sasa sion la maana hapa.
Tuonane kesho jion,nikishafunga genge.

Adios.

Attention seeker , unaona uki beef na warumi watu wata pay attention n wewe? Ngoja nikupotezee, mashabiki wangu bado wananipenda wamenisihi niachane na wewe attention seeker
 
Ivi wewe kahaba bado hujapataga bwana tu Wa kukutoa uo usaha wa nyege? Endelea kushoboka ntakuonyesha kuwa humu sio fb wala instagram idiot
daah gay utamjua tu wanachojua wao kutukana tu maskini...hutaliona tusi langu we tukana tuuu uwezavyooo aaaahaaaaaa pole kwa malezi mabaya ulopewa na wazazi
 
Hehehehehe Kumbe upo? Nina revision ya notes zilizopita sikuwepo darasa la majobless. Page 43 si mchezo
Nisiwepo mchezo... siku hizi nimeamua niwe napita pita huku ili nizoee kusikiliza na kuuvumilia umbeya ili nitakapovuta jiko, niwe nishazoea... hebu fikiria uwe na mtu kama Dinazarde hapo, na warumi anakuwa ndo kaka ake halafu unaishi nao pampja wakati hujazoea umbeya... si utaugua presha!
 
Last edited by a moderator:
Nisiwepo mchezo... siku hizi nimeamua niwe napita pita huku ili nizoee kusikiliza na kuuvumilia umbeya ili nitakapovuta jiko, niwe nishazoea... hebu fikiria uwe na mtu kama Dinazarde hapo, na warumi anakuwa ndo kaka ake halafu unaishi nao pampja wakati hujazoea umbeya... si utaugua presha!

Acha basii wewee uongo ndio mbaya afadhali umbeaa tena huu wa jamii, wambea tupo wengi humuu
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom