Hii yote ni kumsafishia njia nguli wa siasa Tz mh. Tundu Antipas Lissu, kuja kuchukua nchi kiulaini, hawataamini jinsi kete zinavyochezwa kwa ajili kubwaTaarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Je ni nani ?
Ni mwezi wa maumivu kwa chama LA mbogomboga, beberu kawanyima hela za kunua wapinzani,na kuvuruga uchaguzi, hamjakaa sawa kawatandika na entry ban.Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Unachukulia vitu kwa wepesi sana kama unaomba fedha ya pedi kwa bwanaakoKwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Kwani hayo unayoyaita makubwa yakija yatakubagua wewe kwasababu ni nyumbu wa Ufipa?Kwakuwa vichwa vyenu vimejaa uji, basi lazima akili yako igote hapa ila subirini kuna makubwa yanakuja
Katika wote walionijibu pamoja na wewe hakuna aliyejenga hoja. Na nakihakikishia, hili litapita tu.
Na yako serious ile mbayatulikosea sana kuyaita haya madau ''Mababeru''.
sasa yameanza ubeberu wao.
yaani kumkatalia mtu asiingie nchini kwao tu, nchi inataka kusimama mitandaoni
Mkuu umenena vyema na nakuunga mkono. Nafikiri Serikali ingeanza na hawa maadui wa ndani kuwashughulikia. Lakini, naamini Jiwe yuko imara na katika hili atashinda na Tanzania itasinda!Lengo sio Makonda lengo lao ni kuchochea vurugu Tanzania. Na hivi sasa wamewapata watanzania wenzetu ambao wako tayari kufanya nankazi, basi hapo sasa ndiyo furaha yao. Huwa wanaanzaga hivi hivi.
Dalili.mbona zinajulikana. Wewe ukiona watu kama akina Maxence Melo kupata tuzo Amerika kutoka kwa Mike Pence, kwa lipi hasa? Hapo ujue tayari wamesha waingiza watu wao kwenye System yetu.
Nimshauri Rais Magufuli na Mawaziri wote nchini kuwa makini na watumishi wote wa wizara zao. Matatizo yako kwenye wizara zetu. Ukosefu wote huu wa kutokuwa na nidham na kuto fanya kazinkwa uadilifu kwa watumishi wa umma, chanzo chake ni watumishi wa umma wizarani. Ni watu wa kuwa angalia sana myenendo yao.
Ningekuwa mimi ndiyo Rais ningefukuza NGOs zote. Haya mashirika ndiyo yanayo changia kwa kiasi kikubwa kuharibu Taswira ya Afrika.
Hizi pics kwa mfano ndiyo baadhi ya picha wanazo tumia NGOs wa ujerumani kuombea donation kwa wananchi wao na serikali zao.
Maana yake ni;
"Mkate kwa ajili ya Ulimwengu"
Utafikiri kama sisi ndiyo walaji mkate kweli!
Watanzania mnaona hao watu mnao wasujudu wanavyo tuanika sisi huko kwao? Ni wanyama sana hawa watu. Halafu hela zenyewe wanazopata matokeo yake yenyewe hatuyaoni, badala yake ni wao kula life at our expence. Kila wakati utakutana nao kwenye mandege yao na kuhadithiana mambo ya Zanzibar. Washenzi sana hawa watu. Mimi siwapendi! Natamani kama Alshababu wange kuwa wanawalipua mara kwa mara mpaka wakome kuja kwetu. View attachment 1342783View attachment 1342785
Sent using Jamii Forums mobile app
Kigogo2014 Kasema Next Week Mambo ni Moto ngoja tusikilizie PINI ya Nne......MKUU ****** apigwe PINI na yeye.Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Je ni nani ?
Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Je ni nani ?
Wewe ndio unaona hivyo. Sasa subiri Oktoba, ndio utaijua CCM ni NAMBARI WANI!Ni mwezi wa maumivu kwa chama LA mbogomboga, beberu kawanyima hela za kunua wapinzani,na kuvuruga uchaguzi, hamjakaa sawa kawatandika na entry ban.
Unachukulia vitu kwa wepesi sana kama unaomba fedha ya pedi kwa
Bila shaka wewe unayachukulia serous kama pesa unayopewa baada ya kugegedwa guest bubu sio?
Atashinda nini na anashindana na nani?Lakini, naamini Jiwe yuko imara na katika hili atashinda
Wewe huna akili na waliokuzaa wana hasara sana...Inamaana Marekani inmuogopa Makonda? Yaani Secretary of the State wa Marekani ndio anatoa tamko la kumzuia Makonda, RC wa Dar es Salaam asiende Marekani? Yaani Secretary of the State anamuogopa RC Makonda? Je, angeambiwa atangaze kumzuia Jiwe? Si angeukimbia Usecretaty of the State? Ahahahahah! Nacheka kwa dharau!
Hao huwa wanaanza hivyo wakitoka hapo wanaenda level za askari, Mawaziri nkInamaana Marekani inmuogopa Makonda? Yaani Secretary of the State wa Marekani ndio anatoa tamko la kumzuia Makonda, RC wa Dar es Salaam asiende Marekani? Yaani Secretary of the State anamuogopa RC Makonda? Je, angeambiwa atangaze kumzuia Jiwe? Si angeukimbia Usecretaty of the State? Ahahahahah! Nacheka kwa dharau!
Tumeshazoea maana haya mnapoongiza ninyi sisi ni shida, kuuawa na kutekwa kama kawaida. Hivyo kwetu itakuwa kawaida. Kama hujui watu wanateseka kamuulize KabenderaKwani hayo unayoyaita makubwa yakija yatakubagua wewe kwasababu ni nyumbu wa Ufipa?
Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Je ni nani ?