Who is next ?

Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Je ni nani ?
Hii yote ni kumsafishia njia nguli wa siasa Tz mh. Tundu Antipas Lissu, kuja kuchukua nchi kiulaini, hawataamini jinsi kete zinavyochezwa kwa ajili kubwa
 
Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Ni mwezi wa maumivu kwa chama LA mbogomboga, beberu kawanyima hela za kunua wapinzani,na kuvuruga uchaguzi, hamjakaa sawa kawatandika na entry ban.
 
Kazi tunayo mwaka huu. Ndani ya siku moja, vitu vinamwagika kedekede. Kweli hii ni funga mwezi.
 
M Mkuu umenena vyema na nakuunga mkono. Nafikiri Serikali ingeanza na hawa maadui wa ndani kuwashughulikia. Lakini, naamini Jiwe yuko imara na katika hili atashinda na Tanzania itasinda!
 
Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Je ni nani ?
Kigogo2014 Kasema Next Week Mambo ni Moto ngoja tusikilizie PINI ya Nne......MKUU ****** apigwe PINI na yeye.
 
Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Je ni nani ?

Wamarekani hawafanyi kazi kihivyo. Ukiona wanafanya kitu tayari wamejihakikishia
 
Ni mwezi wa maumivu kwa chama LA mbogomboga, beberu kawanyima hela za kunua wapinzani,na kuvuruga uchaguzi, hamjakaa sawa kawatandika na entry ban.
Wewe ndio unaona hivyo. Sasa subiri Oktoba, ndio utaijua CCM ni NAMBARI WANI!
 
Dola milion tank USD 500 million piga pini, mtoto wa baba kwenda USA completley STOP na kizazi chake.
Online lottery to USA stop for Tanzanian


Mtanyooka na utawala wa mabavu just the matter of time

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe huna akili na waliokuzaa wana hasara sana...

Huo ni Ujumbe kwa dunia nzima na wanaomtuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao huwa wanaanza hivyo wakitoka hapo wanaenda level za askari, Mawaziri nk
 
Kwani hayo unayoyaita makubwa yakija yatakubagua wewe kwasababu ni nyumbu wa Ufipa?
Tumeshazoea maana haya mnapoongiza ninyi sisi ni shida, kuuawa na kutekwa kama kawaida. Hivyo kwetu itakuwa kawaida. Kama hujui watu wanateseka kamuulize Kabendera
 
Freeman Mbowe 🏌🏼‍♀️
 
Ukitaka kuangusha mbuyu hukati matawi unaanza na mizizi... Kila mzizi unaokatwa ni pigo kwa mbuyu
Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Je ni nani ?

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…