Who is next ?

Who is next ?

e
Hivi ninyi nyumbu mbona mnasahau haraka? Mwaka 2015 hamkusema lazima mabadiliko yatokee hata kwa kuchagua jiwe? Ikawaje? Endelea kutamba kwakuwa uchaguzi bado uko mbali, lakini baada ya uchaguzi, jipange kwa hoja za kuibiwa kura na tumezizoea pia.
Kwani Jiwe alishinda 2015 ?
 
Jiwe ajiue mwenyewe maana analipeleka taifa zima shimoni chato
 
Mbunge alimiminiwa risasi akiwa kwenye shughuli za bunge. Sii bunge wala serikali iliyojihusisha kujua wahalifu wa kiwango hiki cha kulibaka taifa ni kina nani.
Badala yake waliwekeza nguvu ya kumwondolea ubunge mhanga wa risasi baada ya Mungu kuwakatalia kuiondoa roho.
Tusipoitaka haki kama taifa, mawe yatainuka yaitetee.
Ndio hiki tunacho anza kukisguhudia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inamaana Marekani inmuogopa Makonda? Yaani Secretary of the State wa Marekani ndio anatoa tamko la kumzuia Makonda, RC wa Dar es Salaam asiende Marekani? Yaani Secretary of the State anamuogopa RC Makonda? Je, angeambiwa atangaze kumzuia Jiwe? Si angeukimbia Usecretaty of the State? Ahahahahah! Nacheka kwa dharau!
Jichekeshe tu...afu rudi usome tena na tena ulichoandika...kuna Jambo utalibaini ktk andiko lako... Pompeo hili jina sio jina kama la Pombe Rais wako...

Tafakari.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Je ni nani ?
Unashangilia anayekuzuia kuwa shoga kuzuiwa kuingia USA!
 
Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!

Na yeye Awafukuze eti ? 🤣🤣🤣, unadhan marekan ni mkoa wa Songwe si ndio ? ivi nyie majamaa na hizi siasa zenu za kipuuz mnaharibu hii nchi, hata gadafi alikuwa anamaneno kama wewe wakampiga ambush moja hatari sana...we unaona Bos wa CIA kusema vile ni kawaida tu ? Muwe mnafikiria mkuu, mambo yanaanzaga mdogo mdogo ivyo ivyo mwishoni unakuja kushtuka tayari mambo yameharibika, wameshindwa kina Osama bin laden tutaweza sisi ?




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Je ni nani ?

Mimi sina taarifa zozote za chini kwa chini lakini mara tu niliposoma hizi taarifa za mtu kuzuiwa kuingia US akilini mwangu niliwaza moja kwa moja huko mjengoni! Mhimili huo umepotoshwa sana na katika hili la mkopo unaendelea kujikoroga.
 
Back
Top Bottom