Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #101
Kwani Jiwe alishinda 2015 ?e
Hivi ninyi nyumbu mbona mnasahau haraka? Mwaka 2015 hamkusema lazima mabadiliko yatokee hata kwa kuchagua jiwe? Ikawaje? Endelea kutamba kwakuwa uchaguzi bado uko mbali, lakini baada ya uchaguzi, jipange kwa hoja za kuibiwa kura na tumezizoea pia.