Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #101
Kwani Jiwe alishinda 2015 ?e
Hivi ninyi nyumbu mbona mnasahau haraka? Mwaka 2015 hamkusema lazima mabadiliko yatokee hata kwa kuchagua jiwe? Ikawaje? Endelea kutamba kwakuwa uchaguzi bado uko mbali, lakini baada ya uchaguzi, jipange kwa hoja za kuibiwa kura na tumezizoea pia.
Erythrocyte una nini cha kujihisi tajiri? Au umesahau ule msemo wa maskini akipata matako ulia mbwata? Umepata simu yenye Internet unajiita tajiri? Pumbavu!Tafuteni kazi ya kufanya , nchi ndio tayari ishakombolewa , masikini wakubwa nyie !
Hapana. Alishinda babaako!Kwani Jiwe alishinda 2015 ?
😆😆😆😆Hapana. Alishinda babaako!
Inasemekana anayefuatia ni ..........iTaarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Je ni nani ?
Umeandika kama mtu mmoja mpumbavu sana hasiyejua nini kinaendelea.Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Ni mjinga aliyevunja rekodiUmeandika kama mtu mmoja mpumbavu sana hasiyejua nini kinaendelea.
Wewe ndiye mpumbavu mbwege mtozeni. Kuna zaidi ya watu 1000 waliozuiliwa kuingia Marekani. Umeishasikia wamepungukiwa kitu? Watu washamba kama ninyi ndio mnashoboka na Marekani!Umeandika kama mtu mmoja mpumbavu sana hasiyejua nini kinaendelea.
😆😆😆😆😆😆Labda !
Kama mamaako alivyovunja rekodi kuzaa na babaako aliyejulikana mtaa mzima kuwa ni kichaa!Ni mjinga aliyevunja rekodi
mbona wewe unashabikia vichaa ?Kama mamaako alivyovunja rekodi kuzaa na babaako aliyejulikana mtaa mzima kuwa ni kichaa!
Jichekeshe tu...afu rudi usome tena na tena ulichoandika...kuna Jambo utalibaini ktk andiko lako... Pompeo hili jina sio jina kama la Pombe Rais wako...Inamaana Marekani inmuogopa Makonda? Yaani Secretary of the State wa Marekani ndio anatoa tamko la kumzuia Makonda, RC wa Dar es Salaam asiende Marekani? Yaani Secretary of the State anamuogopa RC Makonda? Je, angeambiwa atangaze kumzuia Jiwe? Si angeukimbia Usecretaty of the State? Ahahahahah! Nacheka kwa dharau!
Nani Zitto? Au Lissu? Mimi? Abadan!!mbona wewe unashabikia vichaa ?
Unashangilia anayekuzuia kuwa shoga kuzuiwa kuingia USA!Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Je ni nani ?
Wewe ndio usome yangu uelewe. Hujaelewa unakurupuka!Jichekeshe tu...afu rudi usome tena na tena ulichoandika...kuna Jambo utalibaini ktk andiko lako... Pompeo hili jina sio jina kama la Pombe Rais wako...
Tafakari.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Je ni nani ?