tulikosea sana kuyaita haya madau ''Mababeru''.
sasa yameanza ubeberu wao.
yaani kumkatalia mtu asiingie nchini kwao tu, nchi inataka kusimama mitandaoni
Ni umasikini tu, faida gani itakayopata Dunia kwa kuzuia stigler? Wao wako tayari kubadili chochote kwaajili ya faida ya wao na vizazi vyao tu.Ni matokeo ya kiburi cha jiwe, mabeberu walimwambia asijenge stigler goji kwa faida ya dunia akang'ang'ania kujenga.
Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Kwani hayo unayoyaita makubwa yakija yatakubagua wewe kwasababu ni nyumbu wa Ufipa?
Jinga wewe, nambari one wakati bado watoto wanakaa chini mashuleniWewe ndio unaona hivyo. Sasa subiri Oktoba, ndio utaijua CCM ni NAMBARI WANI!
Kuna fursa RC anazikosa. Bado kijana mwenye ndoto, leo akipata ubunge /uwaziri /urais maana yake majukumu kama yatahitaji akafanye ndani ya US basi hawezi tena. So tuwe makini badala ya kumpotosha.Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
mmm hapo unahitaji akili za kuvukia barabra tu! lakini atakwenda Asia huko wana matibabu mazuri. pia mzingira ya upigaji yako poaTaarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .
Je ni nani ?
Sanaaa
Njoo ufanyiwe maombiWewe ndiye mpumbavu mbwege mtozeni. Kuna zaidi ya watu 1000 waliozuiliwa kuingia Marekani. Umeishasikia wamepungukiwa kitu? Watu washamba kama ninyi ndio mnashoboka na Marekani!
Anahitaji maombiNi mjinga aliyevunja rekodi
Afu itakua vzr inabidi tuwaondoe wamarekani woteKwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!
Kwani Makonda asipoenda USA anapjngukiwa nini? Mbona hao Wamarekani bado wamejazana kwenye mkoa unaoongozwa na huyo Makonda? Si waondoke hapo Dar? Wapumbavu tu hao!