Who is next ?

Who is next ?

Huyo atakuwa ni Ndugai aliyeandaa risala ya kusomwa kwenye msiba wa mtu aliyekuwa bado hai.

Sasa je, alitabirije kifo cha mtu huku huyo mtu akingali mzima wa afya????

Ndugai is a threat to the American foreign policy interests and he deserves the travel restriction.
 
Huyo atakuwa ni Ndugai aliyeandaa risala ya kusomwa kwenye msiba wa mtu aliyekuwa bado hai.

Sasa je, alitabirije kifo cha mtu huku huyo mtu akingali mzima wa afya????

Ndugai is a threat to the American foreign policy interests and he deserves the travel restriction.
Aiseee !!!
 
Hatariiiiii !!!!!
Sasa mkuu wewe na wengine muwege wazi basi . Mtuambiage nani huyo anayefuatia.
Kwa dhati kabisa wamarekani na wadau wengine wa haki za binadamu wametusaidia sana kipindi hiki otherwise wengi tungeokotwa kwenye viroba huko coco beach.
Zamani humu ndio tulikuwa tunapata habari za mwanzo kabisa. Sasa siku hizi wadau mnaenda na codes, hata hatuelewi yaani.
 
Sasa mkuu wewe na wengine muwege wazi basi . Mtuambiage nani huyo anayefuatia.
Kwa dhati kabisa wamarekani na wadau wengine wa haki za binadamu wametusaidia sana kipindi hiki otherwise wengi tungeokotwa kwenye viroba huko coco beach.
Zamani humu ndio tulikuwa tunapata habari za mwanzo kabisa. Sasa siku hizi wadau mnaenda na codes, hata hatuelewi yaani.
Endelea kuwemo jf
 
Taarifa za chini chini zinadokeza kwamba anayefuatia kupigwa pini na USA anatokea ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

Je ni nani ?
Simple sana Corona imemaliza kz kubwa ya luxuries Dubai I sasa wote humu humu
 
Mamaako ni faida kwa Taifa. Hongera sana!
Kuwa na kitufe Cha kuiajust hasira ndugu! Mama za watu waachwe Kama alivyoachwa mamako kwenye mjadala huu! Tujizuie sana kuwaingiza kwenye mijadala kwani ni watu muhimu sana kwa wengine, sijui wako unamchukuliaje! Tuwaheshimu tu!
 
Kuwa na kitufe Cha kuiajust hasira ndugu! Mama za watu waachwe Kama alivyoachwa mamako kwenye mjadala huu! Tujizuie sana kuwaingiza kwenye mijadala kwani ni watu muhimu sana kwa wengine, sijui wako unamchukuliaje! Tuwaheshimu tu!
An eye for an eye! Nami sikuwa na sababu ya kutukanwa.
 
Back
Top Bottom