Who is Salim Ahmed Salim?


You are getting the picture!
 

Je Reagan alim chukia Nyerere simply because ya tofauti za ideology au basi tu simply because Nyerere wa African basi alikua anam dharau? It seems Nyerere was a big time player in international politicsenzi hizo.
 
jokaKuu,
Gharama zote za kampeni ya Salim zililipwa na sisi. Saudi Arabia ilimsaidia pia lakini we bore the brunt of the expenses.
 
Mwanafalsafa1,

..sifahamu kwanini Kurt Waldheim aliruhusiwa kugombea term ya 3. UN ni jungu kuu, na kuna mambo mizengwe ya kila aina ktk uendeshaji wake.

..Kurt Waldheim alikwenda kuwa Raisi wa Austria.

..sidhani kama imeandikwa mahala popote ktk 'katiba' ya UN kwamba Ukatibu Mkuu ni nafasi ya mzunguko kwa mabara. nadhani suala hilo hutokea tu kama "uungwana ktk diplomasia za UN" kutoa nafasi kwa mabara ambayo hayajashika nafasi hiyo.

..mwafrika wa kwanza kuwa UN SG alikuwa ni Dr.Botrous Ghali toka Egypt. kumbuka kwamba Butrous alishiriki kwa karibu sana ktk kufanikisha kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Egypt na Israel. mkataba huo unaojulikana kama the camp david accord ndiyo uliopelekea Anwar Sadat na Manaheim Begin kupeana mikono White House Lawn chini ya usimamizi wa Mzee Jimmy Carter.
 
jokaKuu,
Gharama zote za kampeni ya Salim zililipwa na sisi. Saudi Arabia ilimsaidia pia lakini we bore the brunt of the expenses.

Unajua I never knew kuna costly campaigns hata U.N. I thought nafasi ya SG simply nchi inampendekeza mtu wao then kuna kuwa na vetting process kisha mtu ana pitishwa au la. lakini kama their is money involved lazima tu kuta kuwa na under handed tactics.
 
Mwanafalsafa,
Reagan alikuwa very imperialistic. Yeye aliamini kuwa Marekani ndiyo supreme power na ninyi wengine ni vinchi vidogo vidogo vinavyopaswa kufuata mkumbo wa Marekani. Nasikia kwenye mkutano wao kule Cancun, walibishana sana juu ya "the magic of the free market."

Nyerere akamkumbusha Reagan kuwa Marekani ililazimika kutumia watumwa kutoka Afrika kuijenga hiyo magic. Sasa sisi Waafrika twende wapi kupata watumwa?" Tangu siku hiyo Reagan never forgave this African man who dared talk like that to the leader of the free world.
 

Je mkuu unaonaje hawa permanent members wenyewe veto power? Mimi naona kama hiyo siyo demokrasia nchi tano ziwe permanent members halafu ziwe na veto power. Nadhani mataifa makubwa wanai tumia sana hii kuserve interest zao.

At least hivyo vitu permanent vingekuwa continental representation au kwa format ya rotation kama baraza la usalama inge kuwa sasa. Ama kweli nchi masikini sisi tuna endeshwa tu. the little power they give us from time to time to give as a feel of being peers ni changa la macho tu.
 

Mimi naona Marekani ni kuji kweza tu. Huo kuwa "leader of the free world" wameji chagua wenyewe. Unajua hata wananchi wa kawaida Marekani wana negative attitude towards other countires? Especially sisis "dunia ya tatu".
 
Kwa wana CCM Kikwete anafaa zaidi kuliko Salim A. Salim!

Tunakoenda lazima kizazi cha sasa kitatukanwa waziwazi na wajukuu zetu!

Ni makosa yaliyofanyika kumtosa Salim na kumchagua Jakaya and we shall live to regret sisi na vizazi vijavyo;

Mkapa ataishia pabaya kwani kwa kukiuka taratibu za uteuzi ndio Jakaya akaweza kushinda wenziwe; Kikwete analipa fadhila za mizengwe hiyo kwa kumlinda Mkapa!! Inashangaza kuwa katika karne hii CCM bado wanasema wanautaratibu waliojiwekea kuwa mgombea wao wa Urais ni lazima amalize vipindi viwili; utaratibu wa namna hii una kasoro kwani maana yake ni kwamba hata kama huyo Rais hajaperform au ni zumbukuku ili mradi alishapata kipindi cha kwanza ni lazima apate miaka mingine mitano!

Busara ya chama hiki defeats logic kwani,kumpa mtu kipindi cha pili ni lazima awe supported na performance nzuri ambayo inapatikana baada ya review ya utendaji wake katika kipindi husika.

Kuna umuhimu wa wadanganyika kubadilika kwani kumuongezea Rais kipindi kingine on the basisi ya kuchekacheka tu haiwezi kutuletea maendeleo!!
 

Mkuu Jasusi,

Kuna sehemu kweli nimeandika Nyerere aliwahi kuwa pamoja na Reagan UN? Nafikiri umenielewa vibaya.

Sikumbuki ni mkutano gani lakini haikuwa UN wakati Thatcher na Reagan walipokuwa wanacheka wakati Nyerere anaongelea madeni na kusema nchi maskini zisilipe. Nimeshindwa kukumbuka ilikuwa mkutano gani lakini for sure haikuwa UN.
 
Mtz,
Labda nimekuelewa vibaya. Nilidhani nimesoma post ukisema kuwa Reagan na Thatcher walimgeuzia mgongo wakati anahutubia UN. If not, then my bad!
 

ina maana wewe umezaliwa miaka ya 90?

kama ni kweli basi ishakuwa tatizo lakini bora sasa nishajua...

duh!
 


Hiyo ya raisi aliyepo madarakani kugombea mara ya pili siyo tatizo. Maana hata Marekani ambao wana one of the best check and balance systems duniani almost always raisi alliyepo madarakani ata tetea kiti chake.

Chama hakiwezi kupima performance ya raisi wao ni wananchi wa kufanya hivyo. Kama CCM wakimpa raisi ovyo agombee mara ya pili ni jukumu letu sisi wananchi kusema no na kumuangusha katika kura.
 
ina maana wewe umezaliwa miaka ya 90?

kama ni kweli basi ishakuwa tatizo lakini bora sasa nishajua...

duh!

Hongera knowlege is power. To answer your question I'm an 80's child, use the information as you wish. tatizo siyo umri wangu tatizo iwe hoja zangu. Kama mtu mzima hovyo una toa hoja mbofu mbofu nita sema.
 

- Mkuu Bulesi, heshima mbele maneno yako ni mazito sana lakini nina wasi wasi kwamba yamekuja too late, Muungwana amekua waziri kwa karibu miaka 15 kwa mantiki yako basi tulitakiwa kuangalia perfomance yake kabla hata ya kumpa urais in the first place, maana tukianza kuuliza saa hizi nina wasi wasi tunakuwa tumechelewa tena sana.

- Halafu ukiangalia vizuri historia ya uongozi wetu, perfomance haijawahi kuwa dhana muhimu katika kuwapa madaraka, ni sisi wananchi ndio huwa tunawapa kura zetu wanakuwa marais, sio CCM. CCM wanaweza ksuema anything cha muhimu ni katiba yetu ya jamhuri inasema nini haisemi kuhusu kupewa bure term ya pili, ni sisi wananchi ndio tunawapa term ya pili, once in while tuwe tunakubali wajibu wetu, kuliko kila siku kulaumu wengine, hili la kumchagua rais term ya pili bila perfomance review ni letu wananchi sio CCM.

- Kuhusu Salim, huenda ni kiongozi mzuri lakini Tanzania wananchi wengi wapiga kura wa sasa hatuku-experience ubora wa uongozi wake, na hatukuwahi kumsikia anywhere akionyesha msimamo wake ulipo katika local ishus muhimu kwa mwananchi wa kawaida, ilimchukua Muungwana miaka karibu 15 kujitayarisha na urais, na wote tulijua lakini Salim tulimsikia dakika za mwisho sana, kampeni yake haikuwa strong, kambi yake haikuwa na credible people, na the worst of all hakuwa na hela za kutosha kama siasa za sasa zinavyotaka, ninaamini sana kwamba he was the best huko kwenye International Community, lakini hata huko pia ties zake na Cuba ndizo zilimletea matata sana na Reagan na kushindwa SG - UN kwa sababu CIA wanazo records zake toka akiwa anasomea ukomandoo kule, kitu ambacho kwetu kilitakiwa kuwa siri nzito sana. Halafu ni lazima tukubali kwamba wananchi wa Tanzania hatukumjua vizuri Salim na mpaka leo hatumjui vizuri, I mean who is Salim? na how did he raise to the power

Respect.

FMEs
 

Du,

Wenyewe wameshaamka...

Wacha wengine tujiandae kulala.

omarilyas
 
ni kweli kabisa mwanafalsafa.cha ajabu huyo huyo salim ahmed salim hana nafasi ya kuwa raisi kwenye nchi kwa vile watu wanamchezo mchafu kwenye chama chake.mimi swali langu moja.inakuwaje wakina kingunge wana cheo mpaka leo na salim ahmed salim hayupo serikalini?
 
- Kuhusu Salim, huenda ni kiongozi mzuri lakini Tanzania wananchi wengi wapiga kura wa sasa hatuku-experience ubora wa uongozi wake, na hatukuwahi kumsikia anywhere akionyesha msimamo wake ulipo katika local ishus muhimu kwa mwananchi wa kawaida, ilimchukua Muungwana miaka karibu 15 kujitayarisha na urais, na wote tulijua lakini Salim tulimsikia dakika za mwisho sana, kampeni yake haikuwa strong, kambi yake haikuwa na credible people, na the worst of all hakuwa na hela za kutosha kama siasa za sasa zinavyotaka, ninaamini sana kwamba he was the best huko kwenye International Community, lakini hata huko pia ties zake na Cuba ndizo zilimletea matata sana na Reagan na kushindwa SG - UN kwa sababu CIA wanazo records zake toka akiwa anasomea ukomandoo kule, kitu ambacho kwetu kilitakiwa kuwa siri nzito sana. Halafu ni lazima tukubali kwamba wananchi wa Tanzania hatukumjua vizuri Salim na mpaka leo hatumjui vizuri, I mean who is Salim? na how did he raise to the power

Respect.

FMEs[/QUOTE]
nadhani makundi yaliokuwa ccm ndio yameweza kumficha salim kwa watanzania kuweza kumjua vizuri na pia sisi watanzania uvivu wa kutaka kujua historia ya viongozi wetu ndio imetunyima kumjua vizuri.na hata kama tungemjua makundi ya viongozi wachafu wa ccm yana nguvu sana ya pesa kuliko wale viongozi wachache wasafi.
 
- Weye bwana weye acha hizo ndugu yangu, Bwa! ha! ha! njoo tukate ishus mkuu! si ndio demokrasia hii mawazo tofauti, au?

Respect.

FMEs!


BWA HAHA HA AHAAAA

mzee unanimaliza kichizi

BWA HAHA HAA

kwenye thread hii huna mpinzania

BWA HAHA HAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…