Who is Salim Ahmed Salim?

Who is Salim Ahmed Salim?

-
nadhani makundi yaliokuwa ccm ndio yameweza kumficha salim kwa watanzania kuweza kumjua vizuri na pia sisi watanzania uvivu wa kutaka kujua historia ya viongozi wetu ndio imetunyima kumjua vizuri.na hata kama tungemjua makundi ya viongozi wachafu wa ccm yana nguvu sana ya pesa kuliko wale viongozi wachache wasafi.

- Mwalimu alituficha wananchi kumjua Salim? Makundi ni siasa za kisasa mkuu kweli Obama bila kundi la leftist angeshinda?

Ni the question of what kundi linasimamia kwa sababu hata Salim alikuwa na kundi mkuu yaani kina Butiku, Warioba, Ndejembi na the likes, hata leo ndani ya CCM kuna makundi ambayo hayana ubaya na wananchi, ni wajibu wa anayetaka kutuongoza kujinadi wazi tumjue ni nani na anasimamia nini, si ndio maana ya kampeni au?

Respect.

FMEs!
 
Salim is good. Tena ana uwezo wa kuwa Rais wa Zanzibar au Rais wa Jamhuri ya Muungano. na wapiga kura wakaridhia . Lakini kuna kitu tunaita "Time factor" na ndio maana alikosa katika majaribio yale ya Urais wa Jamhuri.

Lakini hata yeye mwenyewe hakuingia kwa nia ya dhati katika ushindani ule-Anaelewa alama za wakati- and the time is ripe for him now.
 
Politics is a game. If you are on the "right" side you win if not you don't. no matter how intelligent or charismatic you are the first and for most thing is to have a base. Mfano mzuri ni huwa wa Salim na nafasi ya ukatibu mkuu U.N., if he was on the "right" side side he would have on, since he wasn't no matter how qualified he was haku pewa.

Mfano mwingine ni Bush. Most people expected him to lose in 2000, he actually did but on the virtue of being on the "right side he won. 2004 was the same situation but he still won.
 
Salim is good. Tena ana uwezo wa kuwa Rais wa Zanzibar au Rais wa Jamhuri ya Muungano. na wapiga kura wakaridhia . Lakini kuna kitu tunaita "Time factor" na ndio maana alikosa katika majaribio yale ya Urais wa Jamhuri. Lakini hata yeye mwenyewe hakuingia kwa nia ya dhati katika ushindani ule-Anaelewa alama za wakati- and the time is ripe for him now.

When you say the time is now for Salim do you mean Zanzibar 2010 or Muungano 2015?
 
What ever. But Urais wa Muungano is best for him and for sisi

Ok mkuu nili taka tu kuelewa vizuri. What makes you say the time is ripe for him now? What has changed since 2005 to make now the time for Salim? Ni swali tu mkuu kutaka kujua zaidi maana out of all the canditaes 2005 I knew him the least in terms of local politics.
 
What ever. But Urais wa Muungano is best for him and for sisi


keshazeeka huyo, kila siu majina yale yale, hamchelewi kumrudhisha Malecela kuwa waziri mkuu. New names pleeeeease i.e Asha Rose Migiro, Batilda Burian, L Masha, H Mwinyi etc....

Hao kina Salims, Malecelas, Mwapachus, Rupias, Kahamas, etc wapumzike.
 
- Mwalimu alituficha wananchi kumjua Salim? Makundi ni siasa za kisasa mkuu kweli Obama bila kundi la leftist angeshinda? Ni the question of what kundi linasimamia kwa sababu hata Salim alikuwa na kundi mkuu yaani kina Butiku, Warioba, Ndejembi na the likes, hata leo ndani ya CCM kuna makundi ambayo hayana ubaya na wananchi, ni wajibu wa anayetaka kutuongoza kujinadi wazi tumjue ni nani na anasimamia nini, si ndio maana ya kampeni au?

Respect.

FMEs!
sasa kwa mda wote huo mbona tumeachia mbwa huyo huyo anatung`ata tu? viongozi wengi wanaotaka kutetea maslahi ya nchi wengi tumewakuta wanafanyiwa mchezo mchafu mpaka wa kutaka kuwatoa roho na bado sisi watanzania tunawachagua wachafu.labda kwa vile uchaguzi sio wa haki na ndio maana tunaendelea kubuluzwa na viongozi wale wale wanatuangamiza bila huruma.
 
Ok mkuu nili taka tu kuelewa vizuri. What makes you say the time is ripe for him now? What has changed since 2005 to make now the time for Salim? Ni swali tu mkuu kutaka kujua zaidi maana out of all the canditaes 2005 I knew him the least in terms of local politics.
Sasa kama hamumtaki Muungano. He is the best too for Zanzibar. Zile siasa zinabadilika sasa - Time Factor.
 
mie nadhani this is the worst time for him.ccm inanuka mafisadi na watammaliza akifanya mchezo.
 
keshazeeka huyo, kila siu majina yale yale, hamchelewi kumrudhisha Malecela kuwa waziri mkuu. New names pleeeeease i.e Asha Rose Migiro, Batilda Burian, L Masha, H Mwinyi etc....

Hao kina Salims, Malecelas, Mwapachus, Rupias, Kahamas, etc wapumzike.
Napenda hii ya new names. Lakini wako wapi? Watu wapya hatuwaoni hata wakisoma basi ni kupuyanga tu na kucheza mdundiko
 
Sasa kama hamumtaki Muungano. He is the best too for Zanzibar. Zile siasa zinabadilika sasa - Time Factor.

No mkuu sija sema simtaki au namtaka. Nadhani hauja elewa madhumini yangu. You came to the conclusion that the time for Salim is now and all I'm asking is how did you come up with that conclusion whether fact based or a theoretical analyzation.
 
Napenda hii ya new names. Lakini wako wapi? Watu wapya hatuwaoni hata wakisoma basi ni kupuyanga tu na kucheza mdundiko


Waweza kuwa mmoja wa hao wanaopuyanga na kucheza mdundiko, kwa taarifa wapo ila huwajui kwa sababu pengine kucha kutwa wapuyanga na kucheza mdundiko.

Si Salim Ahmed Salim wala Amina Salum Ali, wamechoka wabaki kuwa washauri kama watataka au kutakiwa. Lakini urais, hell no!
 

Waweza kuwa mmoja wa hao wanaopuyanga na kucheza mdundiko, kwa taarifa wapo ila huwajui kwa sababu pengine kucha kutwa wapuyanga na kucheza mdundiko.

Si Salim Ahmed Salim wala Amina Salum Ali, wamechoka wabaki kuwa washauri kama watataka au kutakiwa. Lakini urais, hell no!
Tuletee majina mapya please Islmail Jussa au Juma Duni? Kwani Seif Sharif Hamad naye pia zilipendwa.
 
Tuletee majina mapya please Islmail Jussa au Juma Duni? Kwani Seif Sharif Hamad naye pia zilipendwa.

Huku Tanganyika tuna majina mapya, Asha Rose Migiro, Batilda Burian, L Masha, B Membe, H. Bashe, Z Kabwe. H Mdee, U Maalum etc etc, sijui nchini kwenu visiwa vya marashi ya karafuu.

Kama hamna wapya mje tutawaazima. Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe.
 

Huku Tanganyika tuna majina mapya, Asha Rose Migiro, Batilda Burian, L Masha, B Membe, H. Bashe, Z Kabwe. H Mdee, U Maalum etc etc, sijui nchini kwenu visiwa vya marashi ya karafuu. Kama hamna wapya mje tutawaazima. Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe.
Tabaan. Usiku Mwema yakhe.
 
Mwanafalsafa1,

..sifahamu kwanini Kurt Waldheim aliruhusiwa kugombea term ya 3. UN ni jungu kuu, na kuna mambo mizengwe ya kila aina ktk uendeshaji wake.

..Kurt Waldheim alikwenda kuwa Raisi wa Austria.

..sidhani kama imeandikwa mahala popote ktk 'katiba' ya UN kwamba Ukatibu Mkuu ni nafasi ya mzunguko kwa mabara. nadhani suala hilo hutokea tu kama "uungwana ktk diplomasia za UN" kutoa nafasi kwa mabara ambayo hayajashika nafasi hiyo.

..mwafrika wa kwanza kuwa UN SG alikuwa ni Dr.Botrous Ghali toka Egypt. kumbuka kwamba Butrous alishiriki kwa karibu sana ktk kufanikisha kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Egypt na Israel. mkataba huo unaojulikana kama the camp david accord ndiyo uliopelekea Anwar Sadat na Manaheim Begin kupeana mikono White House Lawn chini ya usimamizi wa Mzee Jimmy Carter.
Katika kuweka kumbukumbu sawa,naamini kipindi cha Dr. Boutrous Ghali ndipo mkataba wa amani wa camp david uliposainiwa na Jenerali Yitzak Rabin akiwa kama Waziri Mkuu wa Israel na Yasser Arafat kama kiongozi wa PLO,tukio la kupeana mikono ya kuashiria amani lilifanyika chini ya Rais William Jefferson Clinton.

I stand to be corrected.
 
Wazee hapa kuna kitu hamjakiweka wazi na kimeulizwa;

Ni kweli mwalimu alikuwa anamsukumia Salimu apate ukatibu mkuu UN ili asirudi akaja kugombea uraisi!? au ni stori tu za kwenye vijiwe vya kahawa?

Maana mie nilitazama azindazi wa kitabu cha Dk Salim kuhusu mwalimu, zaidi ya sifa kem kem alizommwagia hakuna hata sehemu moja alipomlaumu! watu wanayatoa wapi haya?
 
Wazee hapa kuna kitu hamjakiweka wazi na kimeulizwa;
Ni kweli mwalimu alikuwa anamsukumia Salimu apate ukatibu mkuu UN ili asirudi akaja kugombea uraisi!? au ni stori tu za kwenye vijiwe vya kahawa?
Maana mie nilitazama azindazi wa kitabu cha Dk Salim kuhusu mwalimu, zaidi ya sifa kem kem alizommwagia hakuna hata sehemu moja alipomlaumu! watu wanayatoa wapi haya?

Hizo ni habari za kwenye vijiwe tu. Kwa mwaka 1980 kazi ya kuwa katibu mkuu wa UN ilikuwa kubwa kuliko kugombea kuwa rais wa Tanzania. Pia viongozi wengi wa Africa na pia dunia ya tatu walikuwa mbele kumtaka Salim agombee.

Nyerere alifanya juhudi kubwa ili Salim awe katibu mkuu wa UN.

Watu sasa wanatafuta ubaya wa huyu mzee ili wamlaumu; ukweli ni kwamba kwa kiongozi wa miaka ya 60 mpaka early 80, mwalimu alikuwa kiongozi bora sana. tuache kulinganisha na sasa kwenye dunia ya utandawazi. Wakati ule ilikuwa hata ngumu kujua kitu mbali na vile ambavyo wapambe walikuwa wanakuambia.

Ni kweli Nyerere alifanya makosa pia lakini yalikuwa machache ukilinganisha na viongozi wengine wengi.
 
Back
Top Bottom