Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
Achana na ukereketwa na chuki za kidini na kikabila. Kila mTanzania anayo haki ya kuchagua na kuchaguliwa, awe ni muislamu au mkristo. Tuangalie wasifu wa mhusika na sio dini au kabila lake.
Jibu swali: mnamuhitaji wewe na nani?