Who is Shivji mpaka asikosolewe?

Weee nawe jaribu kuficha ujinga wako... umejaribu kumsikiliza Lipumba??? Sasa kabudi na shivji wanautofauti gn??? Umeandika kana boon kwamba umeinamishwa.. pumbavu zako

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
mjibu kwa hoja tujue kweli nae katulisha...ukikimbilia kumsengenya tunajua kawabamiza kweli.
 
Being intelligence doesn't matter but how your intelligence guide your attitude matters a lot.
 
Lipumba ama kabudi walisoma enzi gani mama?
 
Hakuna Maendeleo bila kutoa jasho! Watanzania lazima tujitahidi tujiendeleza sisi wenyewe. "Eti bandarini kuna walaji "- Mamlaka inatakiwa iwashughulikie hawa mchwa ipasavyo. Kuwaleta Wageni ili kuzuia mianya ya ulaji ni kukubali kushindwa, na kutafuta njia nyepesi bila kushughulikia kiini cha tatizo. Hawa wageni wakichezea rasilimali zetu kwa kutumia ujanja wa kalamu ni sawa tu - faida itakuja baada ya miaka michache.
 
Wewe huamni katika uwekezaji? Nchi Gani imeshaendelea bila uwekezaji. Marekani wenyewe wanazunguka nchi zote kutafuta wawekezaji na nchi ndo mwekezaji mkubwa marekani. Tatizo lenu ni elimu tu ndo hamna ndo mana hamjua umnachoongelea
 
Aibu nimeiona mimi kwa ukinga uliouandika,
 
Ukweli kabisa.
 
Nyie watoto hajui hii Tanzania imetoka wapi. Hajui kuwa miaka hiyo kweingia Chuo ilivyokuwa deal. Hivi unajua ni wanafunzi wangapi walikuwa anaingia Chuo Kikuu kwa mwaka. Au ni wanafunzi wangapi walikuwa anaingia form One au form six!?

Hivi unajua kuwa Rais na Waziri Mkuu hawakuweza ufaulu kwenda form five na Chuo Kikuu....!? Hujui kuwa Waziri Mkuu akianza na Cheti cha Ualimu wa Primary school akaunga unga mpaka kupata hiyo degree!?

Hivi Hujui kuwa Maza ni form four leaver aliyejiendeleza na kupata diploma Mzumbe. Wewe unaye dharau Prof Shivji tuambie degree ya Maza ni ipi na alisomea wapi!?

Hata huyo Mwanasheria Mkuu ni mwanafunzi wa Shivji. Jaji Mkuu ni mwanafunzi wa Shivji, Prof Kabudi ni mwanafunzi wa Shivji. Jaribu kuwa na heshima kwenye taaluma.
 
 
Nimekupenda sana usimamizi unatakiwa na sisi wenyewe na siyo mtu kutoka mbali kuja kutuibia kwa kisingizio cha uwekezaji.
 
Mliokua zaman mnaenjoi me hata simjui huyu Babu.
 
Wewe huamni katika uwekezaji? Nchi Gani imeshaendelea bila uwekezaji. Marekani wenyewe wanazunguka nchi zote kutafuta wawekezaji na nchi ndo mwekezaji mkubwa marekani. Tatizo lenu ni elimu tu ndo hamna ndo mana hamjua umnachoongelea
Wewe mwenye elimu umefanya nini zaidi ya kutamani kuolewa na Waarabu.
 
Wewe huamni katika uwekezaji? Nchi Gani imeshaendelea bila uwekezaji. Marekani wenyewe wanazunguka nchi zote kutafuta wawekezaji na nchi ndo mwekezaji mkubwa marekani. Tatizo lenu ni elimu tu ndo hamna ndo mana hamjua umnachoongelea
Wewe unaona sawa watu waliopewa dhamana kukiri kwamba walaji pale bandarini wamewashinda? Sasa kama umeshindwa kumdhibiti raia wako, utaweza kuwadhibiti raia wa kigeni ? Limbukeni wengi wa Elimu wana tatizo - la kukariri mambo/masomo . Wamekarilishwa neno muwekezaji - wanaona faida tu! Tusipende kujiringanisha na nchi kongwe zenye historia ya zaidi ya miaka 200. Sisi tuna miaka 61 tu ya uhuru - bado ni wachanga kwenye nyanja za kimataifa. Tunawezwa danganywa wakati macho yamefunguka. Kutoa maoni ni haki ya msomi na asiyesoma.
 
Mwaka huu usipoookota makopo Niko hapa. Kubali mmeshindwa waje wawasaidie nchi lazima isonge mbereerr
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…