Kwamba spoonfeeding wakati wa Nyerere?Mimi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to JK Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na Kabudi au Lipumba.
Amini akili zako usisafilie nyota za watu. Hawa wameshaiba sana kupitia bandari na wanastrugle ulaji wao usipotee. Jitambue dogo
Amini akili zako usisafilie nyota za watu. Hawa wameshaiba sana kupitia bandari na wanastrugle ulaji wao usipotee. Jitambue dogo
Amini akili zako usisafilie nyota za watu. Hawa wameshaiba sana kupitia bandari na wanastrugle ulaji wao usipotee. Jitambue dogo
Uko kwenye hoja kweli.Hoja hujibiwa kwa hoja.Jibu vipengele vinavyo bishaniwa.siyo kuleta vijembe hapa.Alisoma Wakati wa Nyerere au mkoloni siyo Issue.Tunajadili mkata wa kuingiza nchi Chaka kama vile wote ni mbumbumbuMimi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to JK Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na Kabudi au Lipumba.
MkuuAmini akili zako usisafilie nyota za watu. Hawa wameshaiba sana kupitia bandari na wanastrugle ulaji wao usipotee. Jitambue dogo
Umetumia kilevi Gani?Mimi nawashangaa Sana nyie chadema na wafanyakazi wa bandari mnaohaha na kitetea wizi wenu wa bandarini.
Huyu Shivji ni mtu mdogo sana na alipata uprof enzi hizo za Nyerere ambapo kusoma ilikuwa myeremko na mazingira yalikuwa supportive kusoma siyo siku hizi. Angesoma enzi hizi ambapo hakuna spoon feeding I'm sure angeruka na div four na asingekuwa lecturer. Thanks to JK Nyerere.
Kama ana akili kweli ashindanishwe na Kabudi au Lipumba.
Mbona wanasheria wengi wa Serikali wanazipangua daily. Hata mwanasheria wa bandari amezingua Jana unless kama hutaki kumsikiliza kwa sababu zako tuMkuu
Mimi sifahamu nimeona profesa wa sheria na wanasheria wengi wakiongelea mkataba una tatizo na wakitoa hoja hizo kutoka kwenye mkataba huo
sasa nimeomba wajuzi waseme je profesa shivj na wengine wanajitungia nilihitaji mtu atakayepangua hoja zao kama wao walivyoleta hoja
Hoja siyo kuiba nilihitaji unisaidie kupangua hoja zao
Mkuu naomba unitajie mwanasheria aliyezipangua niende nikaangalie mwenyewe kwa mda wanguMbona wanasheria wengi wa Serikali wanazipangua daily. Hata mwanasheria wa bandari amezingua Jana unless kama hutaki kumsikiliza kwa sababu zako tu
Kila siku mbona hoja za shivji zinapunguliwa moja baada ya nyingine na kumuonesha how kilaza he is!!Umetumia kilevi Gani?
Yaani Kabudi na Lipumba washindanishwe na Shivji ambaye ni Mwalimu wao?
HOJA ya Bandari njia kubwa, mmeiingia bila fikra.
Umetumia kilevi Gani?
Yaani Kabudi na Lipumba washindanishwe na Shivji ambaye ni Mwalimu wao?
HOJA ya Bandari njia kubwa, mmeiingia bila fikra.
Nenda you tube angalia mwanasheria wa bandari Jana alichoongea pia ingia club house ya msigwa uangalie jinsi wanasheria wa serikali walivyoichambuaMkuu naomba unitajie mwanasheria aliyezipangua niende nikaangalie mwenyewe kwa mda wangu
Nisaidie mkuu nijifunze
Kama Shivji atakuwa kilaza basi wewe ni KUNGUNI wa Waarabu.Kila siku mbona hoja za shivji zinapunguliwa moja baada ya nyingine na kumuonesha how kilaza he is!!
Huwezi kumuelewa kwa sababu uelew wako ni mdogo au wakati unamsikiliza tayari una conclusions zako.
Ndugu zangu aliyemuelewa huyu mtu anisaidie
Kajibiwa hapo chini kuhusu IGA, HGA alivyoongelea diplomasia pia hawazungumzi muungano kama unayo nyingine nisaidie mkuu mm nataka nisikilize kote koteHuwezi kumuelewa kwa sababu uelew wako ni mdogo au wakati unamsikiliza tayari una conclusions zako.
Nani kapangua HOJA za Prof Shivji?Kila siku mbona hoja za shivji zinapunguliwa moja baada ya nyingine na kumuonesha how kilaza he is!!