Who is Shivji mpaka asikosolewe?

POINT😉
Haya mkuu tunasubiri jibu kutoka kwako
 
Unafikiri alipotunukiwa PhD ya heshima na Chuo Kikuu cha London hiyo ilikuwa spoon feeding?
Alipoalikwa kufundisha katika vyuo vikuu vya South Africa, UK, India, Mexico, Canada etc hiyo ni spoon feeding?
Acha kuropoka mkuu
 

Mwizi si mpaka athibitishwe? Nani anamuibia nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…