Kweli kabisa kiongozi maana naskia jamaa kajiolewa mabinti wawili anaishi nao[emoji23][emoji23]. Ila kiukweli tumeumiss mpira kama wa dinho!Alkua natafta hela ale chini mzee [emoji28][emoji28]
Kama mlipenda career yake fresh
Kasema niwape hi
Hafu mwache kumdiscuss
Ndo kitu nilichotaka kuandika mkuu sema umeniwahi,,CR7 kadumu sana kwenye game kwa uwezo mkubwa,ukiangalia ata timu alizopita zote kazisaidia pakubwa sana ingawa kaenda Juve umri umemtupa ila bado anaokana kabisa anavo'fightBuenosAires, post: 32288561, member: 346308Nikimtoa mchezaji ambae hakuwahi kutokea hapa ulimwenguni The G.O.A.T/LEO10.
And so Nikiweka ushabiki pembeni CR7 kawazidi wote hao japo si shabiki wake.
Tuacheni mapenzi jamani na tuweke fact za maana. Cr7 amekuwa kwenye mafanikio kwa miaka mingi kidogo ukilinganisha na Gaucho aliedumu kwa miaka mi3 ama mi4 tu akadrop, na vile vile hakuipa mataji ya kutosha tim yake, na hata ballon de or wamezidiwa mbali sana na Cr7. Ukiangalia hata statistics Cr7 kawachana mbali sana hao wabrazili.
Jina halisi:Ronaldo De Asis Moreira.Gaucho sio Ronaldo ni Ronaldinho.
Anaitwa Ronaldo De Asis MoreiraRonaldinho ni Ronaldo pia, Maana ya Ronaldinho anamaanisha ronaldo mdogo, alipewa jina hilo ili kumpisha De lima pale katika timu ya taifa ya brazil apewe heshima yake, yeye akaamua kujiita ronaldo mdogo
Ndio maana nikasema ni ronaldo piaAnaitwa Ronaldo De Asis Moreira
CR7 ndo mkali wao.Kabeba Epl,kabeba Laliga ,kabeba série A kabeba Uefa 5 na Baron D'or 5 ufungaji bora ligi ngapi cjui na euro ,n'a ligi ya mataifa ya ulaya.De Liuma