Who is the best Ronaldo?

Who is the best Ronaldo?

Alkua natafta hela ale chini mzee [emoji28][emoji28]

Kama mlipenda career yake fresh
Kasema niwape hi

Hafu mwache kumdiscuss
Kweli kabisa kiongozi maana naskia jamaa kajiolewa mabinti wawili anaishi nao[emoji23][emoji23]. Ila kiukweli tumeumiss mpira kama wa dinho!
 
Nikimtoa mchezaji ambae hakuwahi kutokea hapa ulimwenguni The G.O.A.T/LEO10.
And so Nikiweka ushabiki pembeni CR7 kawazidi wote hao japo si shabiki wake.
Tuacheni mapenzi jamani na tuweke fact za maana. Cr7 amekuwa kwenye mafanikio kwa miaka mingi kidogo ukilinganisha na Gaucho aliedumu kwa miaka mi3 ama mi4 tu akadrop, na vile vile hakuipa mataji ya kutosha tim yake, na hata ballon de or wamezidiwa mbali sana na Cr7. Ukiangalia hata statistics Cr7 kawachana mbali sana hao wabrazili.
Ndo kitu nilichotaka kuandika mkuu sema umeniwahi,,CR7 kadumu sana kwenye game kwa uwezo mkubwa,ukiangalia ata timu alizopita zote kazisaidia pakubwa sana ingawa kaenda Juve umri umemtupa ila bado anaokana kabisa anavo'fightBuenosAires, post: 32288561, member: 346308
 
Ronaldinho ni Ronaldo pia, Maana ya Ronaldinho anamaanisha ronaldo mdogo, alipewa jina hilo ili kumpisha De lima pale katika timu ya taifa ya brazil apewe heshima yake, yeye akaamua kujiita ronaldo mdogo
Anaitwa Ronaldo De Asis Moreira
 
Back
Top Bottom