Who is the best Ronaldo?

Who is the best Ronaldo?

Wewe jiulize timu yako inahitaji mchezaj mmoja wa mwisho, hapo utamchukua nani kilaka?
 
Tukubali tukatae talent ni muhimu sana wazee japo inatakiwa uongezee na hard working kidogo tu mambo yanajipa

Hawa watu watatu wapo vizuri ila wabrazil wawili wanavipaji enzi zao walifanya mpira uonekane rahisi, kuna mambo walikuwa wanayafanya mpaka unajiuliza wamewezaje wezaje Flavor muhimu Aisee kwenye Football huwezi kupata burudani kama mtu unapiga piga mashuti hovyo hovyo

Huyu Ronaldo wa ureno ni mpambanaji sana, yeye kazi kazi muda wote anafanya sana mazoezi Hongera zake, lakini hawezi kuwafikia hao wawili wenye vipaji
 
Kwa show game uwanjani kwa kweli mpaka leo sijaona kama gaucho sio messi wala cr7 anamkaribia ila ni vile tu alipendelea sana chini kuliko carrier yake, ukija kwenye mafanikio na kudumu kwenye ubora kwa muda mrefu basi hao wote hawajamfikia CR7!!
 
Vipi waislamu hamjui kucheza mpira
Dah bro unapenda kuropoka.
LIST YA MUSLIMS PROFESSIONAL PLAYERS;
1)Mohamed Salah liverpool.
2)Paul Pogba Manchester United.
3)Riyad Mahrez Manchester United.
4)Nabir Fekir.
5)Nuri Sahin.

Hao wanakutosha.
 
Wange, tunge, ninge mara nyingi maneno haya hutumika kwa wabongo tu. Nikuulize swali! Why Messi alipotua pale camp nou jamaa yako Gaucho akaflop once likawa mzigo hata kocha mwenyewe akaamua amuondoe? So Kum-compare Messi na hao vipodozi ni kumvunjia heshima, punguzeni mihemko! Kila kitu kinajionyesha Messi ana vitu vyote ambavyo huvipati kwa mchezaji yeyote yule. Sikatai wako wapiga freeckick, skills, dribling, passes, magoli ya vichwa n.k, But Messi ni wapekee ana kila kitu. I'm so proud of KING MESSI kuwa shabiki wake nitawasimulia na wajukuu zangu kuwa "kulikuwa na mfalme wa mpira ni mmoja tu duniani"

Gaucho na R9 sikatai ni wazuri, lakini linapokuja swala la kuwashindanisha watatu hao R7 kawazidi.

About defences unanichekesha kijana, sijui umeanza lini kuangalia mpira 😀 Messi ameshakutana na akina Roberto Carlos n.k na kawanyanyasa wewe unaongea nini, kama ni chuki sio hivyo tena, Mungu hapendi.

Tazama hiki kipande Messi alivyowanyanyasa akina Cannavaro, Roberto Carlos n.k



Kisha tazama hiki kipande Messi alivyowanyanyasa Nesta, Fabio cannavaro and Roberto Carlos, tena washukuru Mungu wamestaafu na heshima zao kabla mambo hayakuharibika from La Pulga Man.

Umemaliza kaka
 
Issue kubwa ya watu wasiofahamu mpira wanahusianisha Mpira na chenga, ndio Tatizo kubwa la humu jukwaani, na Hata huko mitandaoni kwenye site za changanyikeni,

1. Ronaldo katika peak yake kufunga Goli yard 30 ama 40 ni kitu Cha kawaida, na sizungumzii magoli ya kuchop kipa katoka unamchungulia, nazungumzia shuti la nguvu linalomshinda kipa Golini ambaye Hata hajatoka, mechi nyingi amefanya hivi mfano mzuri ni robo fainali UEFA mechi na Porto.
eAtBzM.gif


2. Ronaldo anaruka juu na kunata kwa sekunde, sijawahi ona Mchezaji anayefanya vitu Kama hivi, anaruka juu zaidi kushinda average NBA players, ambao Hawa wa basket Kuruka kwao ni Attribute muhimu.
images



3. Hana weakness ya kufunga, Kuna magoli ya penalty, magoli nje ya 18, Free kick, Goli la mguu wa kushoto, mguu wa kulia, Goli la kichwa, tiki taka etc kila Aina ya Goli linalofungwa na yeye anafunga, complete Forward.

4. Speed ya Ronaldo, ni Unreal, even at Age of 33, mwaka jana Kombe la Dunia jamaa alikuwa ndio fastest player, tulimuona Katika ujana wake akitanguliza mbele Mpira mshindane ujue kakuacha, na sio mbio akiwa katika hio speed anaweza fanya chochote iwe ni kupiga shuti, kupiga chenga etc.
Ila sijaona akifunga hata magoli 80 ktk kalenda ya mwaka maisha yake yote ya soka.
 
Ukipewa option ya Mchezaji anafunga 80 kwa mwaka na msimu mwengine anafunga 40 na mwengine anafunga 60 kwa mwaka kwa miaka 6 mfululizo utachagua yupi?
Mimi nimemtolea mfano wa messi.
Messi kila mwaka anashinda magoli 40 kwenda juu ambaye ni mshindani wa R7 na messi ameweka record ya kufunga magoli 91 ktk kalenda ya. Mwaka kitu ambacho Ronaldo hakuwahi na hatowahi.
Umenipata hapo ??
Kama kuhusu magoli 40 messi anashinda 50+ na ni kila mwaka akipungua 40+ ila sijui mwaka huu cr7 kimempata kipi hata kuwa top scorer kwenye league ya vilema Serie A kashindwa .
 
Mimi nimemtolea mfano wa messi.
Messi kila mwaka anashinda magoli 40 kwenda juu ambaye ni mshindani wa R7 na messi ameweka record ya kufunga magoli 91 ktk kalenda ya. Mwaka kitu ambacho Ronaldo hakuwahi na hatowahi.
Umenipata hapo ??
Kama kuhusu magoli 40 messi anashinda 50+ na ni kila mwaka akipungua 40+ ila sijui mwaka huu cr7 kimempata kipi hata kuwa top scorer kwenye league ya vilema Serie A kashindwa .
Kwa kuzifunga Malaga na getafe? Tuekee Basi idadi ya Magoli against elites.

Na uzi huu haumhusu Hata Huyo jamaa ila kuonyesha uwezo wenu wa kujenga Hoja lazma mtoke nje ya Mada.
 
Kwa kuzifunga Malaga na getafe? Tuekee Basi idadi ya Magoli against elites.

Na uzi huu haumhusu Hata Huyo jamaa ila kuonyesha uwezo wenu wa kujenga Hoja lazma mtoke nje ya Mada.
Ahahaha real Madrid getafe??
Man united getafe??
Atletico madrid getafe??
Acha zako ww .
 
Back
Top Bottom