Who is the best Ronaldo?

Who is the best Ronaldo?

Cr7 ana nn ww??
Hata dafu kwa messi hafui.
Mpaka mshindani wake messi watu wanakufuru na kumuita "God of football" ilhali huyo cr7 wanamwita "just" a king of football.
Matusi makubwa rank ya "God" na "king " ni big gap inakuwepo hapo.
Sijasema mm wazungu hao wanawa term hvyo messi na cr7.
Cr7 hakuwahi kucheza hata fainal ya world cup hao wamba wamebeba Gaucho na Delima.
Skillfull playing ya Gaucho cr7 hata messi waamue waende kwa mganga hawazipati.
He is greatest Skillfull player ever Gaucho.
Na kwa era yake kipind Gaucho yupo ktk soka ni kipindi cha magwiji wengi nadhan unawafaham aisee Delima,Zidane,Thierry Henry n.k n.k.
Nadhan unajua mbungi la hao watu.
Mtoe Gaucho waeke messi na cr7 halafu uone km wangepata ballon dor hata moja .
Messi anajua Ronaldo anajua ila kuwafananisha na legendary Gaucho na Delima ni dhambi mbichi isiyokauka
Daaaah ahaaaaah wacha ni cheke,maaana umeshanza kuwa kituko cha karne, hakuna kama Cr7 na hatakuja kutokea,kama messi ni god of football it's OK,but hawezi kuwa GOD of football,ko bado Cr7 greater than messi ok go and sleep.
 
Hapa hatumzunguzii Messi, Messi habari ingine bwana wala hashindanishwi na yeyote unaemjuwa wewe"The greatest player ever",
Si maradona,
Ferenk puskas,
Alfredo de stefano,
Frank beckenbeuer,
Ubaldo fillol,
R7,
Burruchaga,
Pele,
Mario kempes
Gaucho,zidane
R9
Michel platini, wote hawa hawafui dafu kwa Messi!

So nikiweka ushabiki pembeni na kumtendea haqqi, R7 kawazidi mbali sana hao wabrazili.

R7 na Zidane weka mbali na hao wabrazili


Nikuhakikishie tu kiongozi, mimi ni mkongwe na sijaanza kufatilia mpira enzi za akina Messi na R7.
Wewe mkuu unajua mpira nimeiona cr7 na zizzou hapo , sijaona figo na Michael laudrap hapo
 
Hapa hatumzunguzii Messi, Messi habari ingine bwana wala hashindanishwi na yeyote unaemjuwa wewe"The greatest player ever",
Si maradona,
Ferenk puskas,
Alfredo de stefano,
Frank beckenbeuer,
Ubaldo fillol,
R7,
Burruchaga,
Pele,
Mario kempes
Gaucho,zidane
R9
Michel platini, wote hawa hawafui dafu kwa Messi!

So nikiweka ushabiki pembeni na kumtendea haqqi, R7 kawazidi mbali sana hao wabrazili.

R7 na Zidane weka mbali na hao wabrazili


Nikuhakikishie tu kiongozi, mimi ni mkongwe na sijaanza kufatilia mpira enzi za akina Messi na R7.
Unakosea sana mkuu tena sanaaaa.
Gaucho legendary kaka yani jamaa kashinda ballon dor ktk kundi la magwiji wengi.
Narudia tena mchukue cr7 mrudishe ulimwengu wa kina Gatuso mzee na Zidane uone kama angekwapua sifa yeyote.
Acha masihara kaka.
 
Akikujibu nishtue Mkuu,maana Alves ndio Mchezaji pekee aliechukua makombe mengi kuliko Mchezaji yeyote yule kwenye sayari hii.

hahaha!! Yaani mtu anapima ubora kwa kuangalia idadi ya vikombe halafu hapo hapo anapuuza kikombe kikubwa kama world cup huku akivipa uzito vikombe vingine hasa champions league.

Sasa kwa mantiki yake, kama anabisha Dan Alves sio bora aje atwambie hapa kwanini sio bora kuliko wote maana yeye kachukua kila kitu isipokuwa tu hiyo World cup ambayo jamaa kaamua kuipuuza!
 
Daaaah ahaaaaah wacha ni cheke,maaana umeshanza kuwa kituko cha karne, hakuna kama Cr7 na hatakuja kutokea,kama messi ni god of football it's OK,but hawezi kuwa GOD of football,ko bado Cr7 greater than messi ok go and sleep.
Aiiii pole yako naona unaongea kiuhemko pasi na facts.
Pole sana tena sanaa.
Cr7 atabakia kuwa mchezaji bora ila messi atabakia kuwa Alien of football.
Kamuulize modric alisema nn kuhusu hao watu wawili.
Ova
 
Hivi bro unalinganisha ulimwengu wa kina Gaucho na Ronaldo ??
Acha utani ww.
Huyo Messi mwenyewe angekuwa ktk era ya kina Gaucho angepata ballon dor moja tu.
Na kumbuka Gaucho ana world cup baba la baba.
Kupata ballon dor chache Gaucho ni kwasababu ktk kipindi chake cha soka kulikuwa na magwiji kama kina Zidanne,Delima mwenyewe we unadhani hapo kuna nn tena km sio mtiti??
Huyu Cr7 yupo ktk ulimwengu ambao mpinzan wake ni Messi tu waliobaki wote ushuzi hamna kitu ndio maana wanatamba.
Wangezaliwa kipindi cha ulimwengu wa soka uliotawala magwiji kwa wakati mmoja uone kazi yake.
GAUCHO NI FUNDI MKUU MM SHABIKI WA MESSI ILA MESSI NAMWEKA CHIN HAMWEZ GAUCHO .
WW MTU ANAMPIGA MTU CHENGA MPK KUMTEGUA KIUNO??
ANAVISHA VIDALI WATU WATATU??!!
MKUU TUMEMISS SKILLFULL PLAYING OF GAUCHO KIUKWELI MUCHE APEWE SIFA ZAKE
Nikitaka kuongelea Competition ya akina Gaucho na wataalamu wote enzi hizo kwakuwa umeongelea inatosha.

Tatizo kubwa la Wabrazil ni starehe.
 
Naona hujanielewa, mimi sijamfananisha gaucho na cr7 ni kweli tofauti, ni kweli gaucho ni kipaji kikubwa sikukatalii, cr7 hana kipaji hicho, hebu tutizame kile cr7 kafanya juu ya soka!! Cr7 hana kipaji ila ana juhudi za hali ya juu!! Jitihada zake ndio zimemfikisha hapo, kwa kizazi hiki kuna watu wana kipaji kushinda cr7 tizama wako wapi kwa sasa umbali wao na cr7
Tunamchukia tu cr7 but he is a beast!!

Ndio maana nikasema kwangu wote ni wachezaji bora, tusiangalie kipaji tupu! Tutizame vipi wamelitendea soka, kuna watu wanavipaji lakini wamekufa kina tarabt, Ben arfa.. hivi unadhani mtu kama ben arfa angekuwa na juhudi km za cr7 angekuwa wapi..

So kwangu mimi cr7 ni miongoni mwa wachezaji bora kabisa niliopata kuwashuhudia.
Issue kubwa ya watu wasiofahamu mpira wanahusianisha Mpira na chenga, ndio Tatizo kubwa la humu jukwaani, na Hata huko mitandaoni kwenye site za changanyikeni,

1. Ronaldo katika peak yake kufunga Goli yard 30 ama 40 ni kitu Cha kawaida, na sizungumzii magoli ya kuchop kipa katoka unamchungulia, nazungumzia shuti la nguvu linalomshinda kipa Golini ambaye Hata hajatoka, mechi nyingi amefanya hivi mfano mzuri ni robo fainali UEFA mechi na Porto.
eAtBzM.gif


2. Ronaldo anaruka juu na kunata kwa sekunde, sijawahi ona Mchezaji anayefanya vitu Kama hivi, anaruka juu zaidi kushinda average NBA players, ambao Hawa wa basket Kuruka kwao ni Attribute muhimu.
images



3. Hana weakness ya kufunga, Kuna magoli ya penalty, magoli nje ya 18, Free kick, Goli la mguu wa kushoto, mguu wa kulia, Goli la kichwa, tiki taka etc kila Aina ya Goli linalofungwa na yeye anafunga, complete Forward.

4. Speed ya Ronaldo, ni Unreal, even at Age of 33, mwaka jana Kombe la Dunia jamaa alikuwa ndio fastest player, tulimuona Katika ujana wake akitanguliza mbele Mpira mshindane ujue kakuacha, na sio mbio akiwa katika hio speed anaweza fanya chochote iwe ni kupiga shuti, kupiga chenga etc.
 
Hapa hatumzunguzii Messi, Messi habari ingine bwana wala hashindanishwi na yeyote unaemjuwa wewe"The greatest player ever",
Si maradona,
Ferenk puskas,
Alfredo de stefano,
Frank beckenbeuer,
Ubaldo fillol,
R7,
Burruchaga,
Pele,
Mario kempes
Gaucho,zidane
R9
Michel platini, wote hawa hawafui dafu kwa Messi!

So nikiweka ushabiki pembeni na kumtendea haqqi, R7 kawazidi mbali sana hao wabrazili.

R7 na Zidane weka mbali na hao wabrazili


Nikuhakikishie tu kiongozi, mimi ni mkongwe na sijaanza kufatilia mpira enzi za akina Messi na R7.
Edson Arantes do Nascimento ndie Best and Greatest Footballer of all time mwite PELE sio huyu Pygmy .
 
Issue kubwa ya watu wasiofahamu mpira wanahusianisha Mpira na chenga, ndio Tatizo kubwa la humu jukwaani, na Hata huko mitandaoni kwenye site za changanyikeni,

1. Ronaldo katika peak yake kufunga Goli yard 30 ama 40 ni kitu Cha kawaida, na sizungumzii magoli ya kuchop kipa katoka unamchungulia, nazungumzia shuti la nguvu linalomshinda kipa Golini ambaye Hata hajatoka, mechi nyingi amefanya hivi mfano mzuri ni robo fainali UEFA mechi na Porto.
eAtBzM.gif


2. Ronaldo anaruka juu na kunata kwa sekunde, sijawahi ona Mchezaji anayefanya vitu Kama hivi, anaruka juu zaidi kushinda average NBA players, ambao Hawa wa basket Kuruka kwao ni Attribute muhimu.
images



3. Hana weakness ya kufunga, Kuna magoli ya penalty, magoli nje ya 18, Free kick, Goli la mguu wa kushoto, mguu wa kulia, Goli la kichwa, tiki taka etc kila Aina ya Goli linalofungwa na yeye anafunga, complete Forward.

4. Speed ya Ronaldo, ni Unreal, even at Age of 33, mwaka jana Kombe la Dunia jamaa alikuwa ndio fastest player, tulimuona Katika ujana wake akitanguliza mbele Mpira mshindane ujue kakuacha, na sio mbio akiwa katika hio speed anaweza fanya chochote iwe ni kupiga shuti, kupiga chenga etc.
Wao wanadhani mchezaji bora ni yule mwenye kumiliki mpira, chenga na mbwembwe nyingi!! Ubora wa mchezaji ni zaidi wafikiriavyo wao, lazima tuangalie mchezaji nini kafanyia mchezo wa soka, na ndio maana nikasema kwangu wote ni wachezaji bora.
 
Luis nazario ni namba 9 bora,ni bora akabwe na beki mmoja anaweza akakosa goli,
Lkn akikabwa na mabeki 2 au 3 anakuwa mbaya zaidi na hakosi goli,
 
Ronaldinho.
Ball control,best dribbler with greatest dribbling skills,master pass and amongst playmaker.
Baada yake tumweke Delima.
Christiano Ronaldo wa mwisho kabbisa ktk hii list.
Maana hana uwexo km hao magwiji wawili

Vipi waislamu hamjui kucheza mpira
 
Well said Mkuu,hawa wakina Mesi na Ronaldo wangekuwa kwenye ule ulimwengu ambao mpira ilichezwa na Wanaume wa shoka kama hawa wasingepata hizi sifa hizi wala tuzoView attachment 1164095


Wange, tunge, ninge mara nyingi maneno haya hutumika kwa wabongo tu. Nikuulize swali! Why Messi alipotua pale camp nou jamaa yako Gaucho akaflop once likawa mzigo hata kocha mwenyewe akaamua amuondoe? So Kum-compare Messi na hao vipodozi ni kumvunjia heshima, punguzeni mihemko! Kila kitu kinajionyesha Messi ana vitu vyote ambavyo huvipati kwa mchezaji yeyote yule. Sikatai wako wapiga freeckick, skills, dribling, passes, magoli ya vichwa n.k, But Messi ni wapekee ana kila kitu. I'm so proud of KING MESSI kuwa shabiki wake nitawasimulia na wajukuu zangu kuwa "kulikuwa na mfalme wa mpira ni mmoja tu duniani"

Gaucho na R9 sikatai ni wazuri, lakini linapokuja swala la kuwashindanisha watatu hao R7 kawazidi.

About defences unanichekesha kijana, sijui umeanza lini kuangalia mpira 😀 Messi ameshakutana na akina Roberto Carlos n.k na kawanyanyasa wewe unaongea nini, kama ni chuki sio hivyo tena, Mungu hapendi.

Tazama hiki kipande Messi alivyowanyanyasa akina Cannavaro, Roberto Carlos n.k



Kisha tazama hiki kipande Messi alivyowanyanyasa Nesta, Fabio cannavaro and Roberto Carlos, tena washukuru Mungu wamestaafu na heshima zao kabla mambo hayakuharibika from La Pulga Man.

 
Back
Top Bottom