santos da silva
Member
- Sep 12, 2018
- 30
- 86
Kuna movie moja ya billy Drago aliongea wakati kakamatwa "nilizaliwa siku moja nitakufa siku moja "Rest in paradise [emoji25] Billy Drago[emoji3][emoji3] Carlos (Billy Drago)mzee wa nyodo nguvu zenyewe hakana.
Bila kumsahau Amrish puli R.i.p[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3] Carlos (Billy Drago)mzee wa nyodo nguvu zenyewe hakana.
Bila kumsahau Amrish puli R.i.p[emoji3][emoji3]
Naseerudin ShahHii ni kwa wale wapenda movie huwa tumezoe kuona wengi huwapenda sana mahero/starring kwenye movie kushinda maadui mm ni mmoja kati ya watu ambao wanaopenda sana maadui kushinda mahero/starring katika movie huwa nafurahi sana kuwaona hawa mastarring/mahero wakiteseka.Yupi kwako ni adui au maadui wako bora uliwafurahia katika movie ulizoziona.
Ulitaka kusema Nasserudin Shah (Mzee wa shamba) au?Narshal Dimishaa, Amrish pur,
Bila kumsahau Amjad Khan aka Mwanaume.
Hatari sana mule.Tagawa nilimuelewa sana kwenye mortal kombat.
Den umkute na San deo[emoji23][emoji23]
Shamba la Bibi ni movie ya makaretika waliokuwa maarufu sana Tanga...Shamba la bibi sijaliona asee.. labda unihadithie..
Unazungumzia ile muvi inayoitwa Prey??