Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Nakuona mzee wa mitulinga😂😂 mida ya service ya tumbo bwashee acha kuzinguaKwa raha ipi mpka utake kula lunch buddy?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuona mzee wa mitulinga😂😂 mida ya service ya tumbo bwashee acha kuzinguaKwa raha ipi mpka utake kula lunch buddy?
😄😄kwa pesa zipi buddy? Ngoja tule vinywaji changamshi tu buddy.Nakuona mzee wa mitulinga😂😂 mida ya service ya tumbo bwashee acha kuzingua
Na pierre liquid alianzgaga hivi hivi, few moments later "mamaa, nakufaa"😄😄kwa pesa zipi buddy? Ngoja tule vinywaji changamshi tu buddy.
Yule alikua anagida pombe chafu ,hukuona mashavu yalivyo kuwa yametuna bwashee?Na pierre liquid alianzgaga hivi hivi, few moments later "mamaa, nakufaa"
Agiza msosi nalipa isiwe kitimoto tu buddy mwiko
Me kuna watu sina mazoe nao sana ila nawa appreciate na ipo siku huenda tukakutana min -me raraa reree mshamba_hachekwi Poor Brain Vincenzo Jr Red black sawima KENZY na crew ya majobless pro max makutupora Bolotoba Thecoder na Intelligent businessman
👊🏾wanangu sana kina Ushimen, Half american, min -me, Mpaji Mungu, makutupora, binti kiziwi, mshamba_hachekwi Bolotoba, shida nina Wana wengi 😂
Si hizo hizo lager anakunywa?? Au wewe ndo wale mnaletewaga mapombe ya gharama na madada lounge wanasindikiza na vimuli muli.. mmetengwa VVIP meza 500,000 mpaka 1MYule alikua anagida pombe chafu ,hukuona mashavu yalivyo kuwa yametuna bwashee?
Hahahaha,hiyo imezidi aisee hata mzuka hakunaWanawake wote mwisho ni hivyo labda mtu afanye surgery yanasimama mpk anakufa,😂
Sio kwel buddy 😁 sema kwenye kunywa pombe nzuri najitahidi hata kama ni kiduchu.Si hizo hizo lager anakunywa?? Au wewe ndo wale mnaletewaga mapombe ya gharama na madada lounge wanasindikiza na vimuli muli.. mmetengwa VVIP meza 500,000 mpaka 1M
Sikujua una kisu kirefu kias hiko buddy
Buddy bado nasisitiza mlo wa mchana, muda unayoyoma (na huu ndo ushkaji 😂)Sio kwel buddy 😁 sema kwenye kunywa pombe nzuri najitahidi hata kama ni kiduchu.
Hapana mkuu nakula mara moja tu kama mbwa😁Buddy bado nasisitiza mlo wa mchana, muda unayoyoma (na huu ndo ushkaji 😂)
Sio tukaveshee
Mkeo akizeeka utaelewa km mzukaHahahaha,hiyo imezidi aisee hata mzuka hakuna
Hahahaha 🤣 🤣Mkeo akizeeka utaelewa km mzuka
Kidukulilo aka Billugano.
Unazingua 😂bro yaani sera zote ili tu usi nipokee 😂🤣
Tsup buddy
Na wewe pia buddy nilisahau ndo watu ninao wakubali mnooUnazingua 😂
Tsup buddy