Duh naskia urwanda napo huingii... hata Rwanda hapo sembuse China hamtaenda bila COVID-19 vaccination card; tena vaccination ambayo ni approved na wao sio "nyungu". No crossing a border without card! Kazi kwenu na mikauli yenu ya kijinga.
.... kinachofanya hali iwe mbaya ni aina mpya ya kirusi cha COVID Chief kilichoanzia SA.Waraka wa maaskofu katoliki ulisema kuwa mwaka jana tulifanikiwa kudhibiti corona na pia watu wengine nao husema corona ilipungua kwa mwaka jana na ndio maana tukaweza kufanya kampeni bila tahadhari zozote kwa sababu maambukizi ya corona yalipungua sana,hili lina ukweli kiasi gani mkuu maana mimi nashindwa kuelewa?
Inawezekana maana rais wetu haishi kutuambia anataka kuifanya Tanzania iwe kama ulaya.Huko ni mbinguni?
Mbona unateseka sana? Nendeni mkachanjwe... hata Rwanda hapo sembuse China hamtaenda bila COVID-19 vaccination card; tena vaccination ambayo ni approved na wao sio "nyungu". No crossing a border without card! Kazi kwenu na mikauli yenu ya kijinga.
Tena kuanzia tuache kutumia smartphone za mabeberu mpk tukatapo tengeneza zetuTunaendelea kuboresha kila kitu, nyie endeleeni kusubiri chanjo mchanjwe
Anasema hivyo ili kuwaweka sawa kisaikolojia maana nyie akili zenu mlishetiwa na kina Lisu kwamba ulaya ndio wanakaa watu ila huku afrika mnakaa nyaniInawezekana maana rais wetu haishi kutuambia anataka kuifanya Tanzania iwe kama ulaya.
Unajuwa kuna watu wakiwa ndani ya Tanzania wanadhani tunajulikana sana ziko sehemu unakwenda na nyingi hawaijui kabisa Tanzania na uhakika ukienda kuweka jina la Zanzibar na Tanzania watasema tunaijuwa Zanzibar zaidi bila kujuwa Zanzibar Tanzania. sitaki kusema nilienda nchi gani naweza ikaonekana kama majivuno nilishtuka hawaijui kabisa Tanzania mpaka kutaja vivutio kama ushawahi kusikia Kilimanjaro au Serengeti basi ndio Tanzania.... Tanzania inaihitaji dunia; dunia haiihitaji Tanzania. Wakielewa kanuni hii rahisi itasaidia sana.
Naona na nilishaona. Kinachoitwa kuboresha kimeshafanyika na hakuna mabadiliko yeyote zaidi ya wananchi kuendlea kunywa maji ya TOPE kama wanyamaSubiri uone,
Itakuwa safi sana.Tena kuanzia tuache kutumia smartphone za mabeberu mpk tukatapo tengeneza zetu
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
... Umesikia kubwa lao wanavyolisuta duniani huko? Litakula matapishi yake ni suala la muda tu sembuse wewe kidagaa?Mbona unateseka sana? Nendeni mkachanjwe
Kwahiyo ni kweli kwamba mwaka jana tulifanikiwa kwenye mapambano dhidi ya corona hivyo tatizo la sasa ni hili wimbi la pili?.... kinachofanya hali iwe mbaya ni aina mpya ya kirusi cha COVID Chief kilichoanzia SA.
ndo maana hukauki chato kumbe!"Bhagosha ndio maana mimi sipendi kwenda huko ubeberuni,safari yangu ndefu ni Dar-Chato
Ahaaa.... Kachanjweni jamani acheni maneno mengi pelekeni miili hiyo mkachanjwe... Umesikia kubwa lao wanavyolisuta duniani huko? Litakula matapishi yake ni suala la muda tu sembuse wewe kidagaa?
... additionally, mwaka jana kulikuwa na measures angalau za kueleweka - watu kuvaa barakoa, kunawa, na general public awareness angalau watu walichukua tahadhari. Sasa hivi sio chanjo tu, hata zile measures za mwaka jana zinabezwa hadharani hadi unajiuliza huyu mtu yuko sawa upstairs?Kwahiyo ni kweli kwamba mwaka jana tulifanikiwa kwenye mapambano dhidi ya corona hivyo tatizo la sasa ni hili wimbi la pili?
Dah Sasa naona unaenda kuwa Mfumo wa Kudumu hii corona Dah ituhurumieShirika la Afya Duniani WHO linajiandaa kutoa cheti au kadi ya chanjo ya Corona (Covid-19 vaccination certificate) itakayotumika dunia nzima, na huwezi kusafiri au kupata VISA kama hautakuwa umechanjwa. Kwa sasa chanjo inayotakiwa ili usafiri au ukienda kuomba VISA ni chanjo ya homa ya manjano pekee.
===========
COVID-19: WHO races to develop vaccination card
As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a standard framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.
Bernardo Mariano, Director of digital health innovation, WHO, told DW.
Currently, yellow fever is the only disease specified in the World Health Organization's (WHO) International Health Regulations (IHR), which require proof of vaccination for entry to some countries. The yellow fever vaccination certificate is also the only proof of vaccination certified under the IHR.
Vaccination against COVID-19 is not part of the IHR yet, but a country can make a unilateral decision. Some countries already require a negative COVID-19 test to enter, and the next evolution of that will be requiring proof of vaccination, Mariano said.
A COVID-19 vaccination certificate to become compulsory for travel the world over, it would have to be part of the IHR, and that process would take a long time, Mariano said. But there are other avenues.
One such initiative is the CommonPass , a digital framework for verifying COVID-19 tests and vaccination certificates. Some airlines have already been rolling out the app to passengers on select flights.
WHO races to develop COVID vaccination card – DW – 01/27/2021
As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.m.dw.com
Mbona wanatufanyia hivyo.Shirika la Afya Duniani WHO linajiandaa kutoa cheti au kadi ya chanjo ya Corona (Covid-19 vaccination certificate) itakayotumika dunia nzima, na huwezi kusafiri au kupata VISA kama hautakuwa umechanjwa. Kwa sasa chanjo inayotakiwa ili usafiri au ukienda kuomba VISA ni chanjo ya homa ya manjano pekee.
===========
COVID-19: WHO races to develop vaccination card
As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a standard framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.
Bernardo Mariano, Director of digital health innovation, WHO, told DW.
Currently, yellow fever is the only disease specified in the World Health Organization's (WHO) International Health Regulations (IHR), which require proof of vaccination for entry to some countries. The yellow fever vaccination certificate is also the only proof of vaccination certified under the IHR.
Vaccination against COVID-19 is not part of the IHR yet, but a country can make a unilateral decision. Some countries already require a negative COVID-19 test to enter, and the next evolution of that will be requiring proof of vaccination, Mariano said.
A COVID-19 vaccination certificate to become compulsory for travel the world over, it would have to be part of the IHR, and that process would take a long time, Mariano said. But there are other avenues.
One such initiative is the CommonPass , a digital framework for verifying COVID-19 tests and vaccination certificates. Some airlines have already been rolling out the app to passengers on select flights.
WHO races to develop COVID vaccination card – DW – 01/27/2021
As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.m.dw.com
Ila wakati mwengine ni uelewa wa hao watu wenyewe.Unajuwa kuna watu wakiwa ndani ya Tanzania wanadhani tunajulikana sana ziko sehemu unakwenda na nyingi hawaijui kabisa Tanzania na uhakika ukienda kuweka jina la Zanzibar na Tanzania watasema tunaijuwa Zanzibar zaidi bila kujuwa Zanzibar Tanzania. sitaki kusema nilienda nchi gani naweza ikaonekana kama majivuno nilishtuka hawaijui kabisa Tanzania mpaka kutaja vivutio kama ushawahi kusikia Kilimanjaro au Serengeti basi ndio Tanzania.
Huna ulijualo wewe . Unaropoka na kupayuka tu kama yule mropokaji mkuu. Subir uone mziki wake. Unafikiri ni rahisi kama kuiba KURA za NEC???Ahaaa.... Kachanjweni jamani acheni maneno mengi pelekeni miili hiyo mkachanjwe
Miaka 60 bado mnaboresha, kama madawati tu yamewashinda kugundua chanjo itawachukua miaka 200.Tunaendelea kuboresha kila kitu, nyie endeleeni kusubiri chanjo mchanjwe