#COVID19 WHO kutoa ‘Kadi ya Chanjo ya Corona’ itakayokuruhusu kuingia nchi nyingine

#COVID19 WHO kutoa ‘Kadi ya Chanjo ya Corona’ itakayokuruhusu kuingia nchi nyingine

... hata Rwanda hapo sembuse China hamtaenda bila COVID-19 vaccination card; tena vaccination ambayo ni approved na wao sio "nyungu". No crossing a border without card! Kazi kwenu na mikauli yenu ya kijinga.
Duh naskia urwanda napo huingii
Nako[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Waraka wa maaskofu katoliki ulisema kuwa mwaka jana tulifanikiwa kudhibiti corona na pia watu wengine nao husema corona ilipungua kwa mwaka jana na ndio maana tukaweza kufanya kampeni bila tahadhari zozote kwa sababu maambukizi ya corona yalipungua sana,hili lina ukweli kiasi gani mkuu maana mimi nashindwa kuelewa?
.... kinachofanya hali iwe mbaya ni aina mpya ya kirusi cha COVID Chief kilichoanzia SA.
 
... hata Rwanda hapo sembuse China hamtaenda bila COVID-19 vaccination card; tena vaccination ambayo ni approved na wao sio "nyungu". No crossing a border without card! Kazi kwenu na mikauli yenu ya kijinga.
Mbona unateseka sana? Nendeni mkachanjwe
 
Inawezekana maana rais wetu haishi kutuambia anataka kuifanya Tanzania iwe kama ulaya.
Anasema hivyo ili kuwaweka sawa kisaikolojia maana nyie akili zenu mlishetiwa na kina Lisu kwamba ulaya ndio wanakaa watu ila huku afrika mnakaa nyani
 
... Tanzania inaihitaji dunia; dunia haiihitaji Tanzania. Wakielewa kanuni hii rahisi itasaidia sana.
Unajuwa kuna watu wakiwa ndani ya Tanzania wanadhani tunajulikana sana ziko sehemu unakwenda na nyingi hawaijui kabisa Tanzania na uhakika ukienda kuweka jina la Zanzibar na Tanzania watasema tunaijuwa Zanzibar zaidi bila kujuwa Zanzibar Tanzania. sitaki kusema nilienda nchi gani naweza ikaonekana kama majivuno nilishtuka hawaijui kabisa Tanzania mpaka kutaja vivutio kama ushawahi kusikia Kilimanjaro au Serengeti basi ndio Tanzania.
 
Mbona unateseka sana? Nendeni mkachanjwe
... Umesikia kubwa lao wanavyolisuta duniani huko? Litakula matapishi yake ni suala la muda tu sembuse wewe kidagaa?
 
.... kinachofanya hali iwe mbaya ni aina mpya ya kirusi cha COVID Chief kilichoanzia SA.
Kwahiyo ni kweli kwamba mwaka jana tulifanikiwa kwenye mapambano dhidi ya corona hivyo tatizo la sasa ni hili wimbi la pili?
 
... Umesikia kubwa lao wanavyolisuta duniani huko? Litakula matapishi yake ni suala la muda tu sembuse wewe kidagaa?
Ahaaa.... Kachanjweni jamani acheni maneno mengi pelekeni miili hiyo mkachanjwe
 
Kwahiyo ni kweli kwamba mwaka jana tulifanikiwa kwenye mapambano dhidi ya corona hivyo tatizo la sasa ni hili wimbi la pili?
... additionally, mwaka jana kulikuwa na measures angalau za kueleweka - watu kuvaa barakoa, kunawa, na general public awareness angalau watu walichukua tahadhari. Sasa hivi sio chanjo tu, hata zile measures za mwaka jana zinabezwa hadharani hadi unajiuliza huyu mtu yuko sawa upstairs?
 
Shirika la Afya Duniani WHO linajiandaa kutoa cheti au kadi ya chanjo ya Corona (Covid-19 vaccination certificate) itakayotumika dunia nzima, na huwezi kusafiri au kupata VISA kama hautakuwa umechanjwa. Kwa sasa chanjo inayotakiwa ili usafiri au ukienda kuomba VISA ni chanjo ya homa ya manjano pekee.

===========

COVID-19: WHO races to develop vaccination card

As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a standard framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.

Bernardo Mariano, Director of digital health innovation, WHO, told DW.

Currently, yellow fever is the only disease specified in the World Health Organization's (WHO) International Health Regulations (IHR), which require proof of vaccination for entry to some countries. The yellow fever vaccination certificate is also the only proof of vaccination certified under the IHR.

Vaccination against COVID-19 is not part of the IHR yet, but a country can make a unilateral decision. Some countries already require a negative COVID-19 test to enter, and the next evolution of that will be requiring proof of vaccination, Mariano said.

A COVID-19 vaccination certificate to become compulsory for travel the world over, it would have to be part of the IHR, and that process would take a long time, Mariano said. But there are other avenues.

One such initiative is the CommonPass , a digital framework for verifying COVID-19 tests and vaccination certificates. Some airlines have already been rolling out the app to passengers on select flights.

Dah Sasa naona unaenda kuwa Mfumo wa Kudumu hii corona Dah ituhurumie
 
Shirika la Afya Duniani WHO linajiandaa kutoa cheti au kadi ya chanjo ya Corona (Covid-19 vaccination certificate) itakayotumika dunia nzima, na huwezi kusafiri au kupata VISA kama hautakuwa umechanjwa. Kwa sasa chanjo inayotakiwa ili usafiri au ukienda kuomba VISA ni chanjo ya homa ya manjano pekee.

===========

COVID-19: WHO races to develop vaccination card

As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a standard framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.

Bernardo Mariano, Director of digital health innovation, WHO, told DW.

Currently, yellow fever is the only disease specified in the World Health Organization's (WHO) International Health Regulations (IHR), which require proof of vaccination for entry to some countries. The yellow fever vaccination certificate is also the only proof of vaccination certified under the IHR.

Vaccination against COVID-19 is not part of the IHR yet, but a country can make a unilateral decision. Some countries already require a negative COVID-19 test to enter, and the next evolution of that will be requiring proof of vaccination, Mariano said.

A COVID-19 vaccination certificate to become compulsory for travel the world over, it would have to be part of the IHR, and that process would take a long time, Mariano said. But there are other avenues.

One such initiative is the CommonPass , a digital framework for verifying COVID-19 tests and vaccination certificates. Some airlines have already been rolling out the app to passengers on select flights.

Mbona wanatufanyia hivyo.

Ajenda yao ni nini?


[emoji35][emoji34]
 
Unajuwa kuna watu wakiwa ndani ya Tanzania wanadhani tunajulikana sana ziko sehemu unakwenda na nyingi hawaijui kabisa Tanzania na uhakika ukienda kuweka jina la Zanzibar na Tanzania watasema tunaijuwa Zanzibar zaidi bila kujuwa Zanzibar Tanzania. sitaki kusema nilienda nchi gani naweza ikaonekana kama majivuno nilishtuka hawaijui kabisa Tanzania mpaka kutaja vivutio kama ushawahi kusikia Kilimanjaro au Serengeti basi ndio Tanzania.
Ila wakati mwengine ni uelewa wa hao watu wenyewe.
 
Back
Top Bottom