laptop90
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,829
- 2,294
Wakala wa shetani ni mpinga vacineNyie manyumbu ni mawakala wa shetani, nani hajui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakala wa shetani ni mpinga vacineNyie manyumbu ni mawakala wa shetani, nani hajui
mzungu akuue masikini ili imsaidie nini sasa??Kama kuua watauwa wengi, wameshapania, ila bora kuchagua chanjo za nchi za binadam.
Mbunye? Mbona mbunye tamu? AaghhNyumbu akili zao kama mbunye tu
Mapunguani hua kazi yao ni kuita wazungu mabeberu.wakati bila hao mabeberu yangekua yanavaa magamba ya miti hata leo, yamesoma kwa vitabu vya sayansi vilivyoandikwa na kuvumbuliwa na wazungu leo wanajifanya kunyanyua mikia na maneno ya kijinga ya kwenye khanga za uswahilini.Hayo ndiyo matunda ya kutokuwekeza katika sayansi,technolojia na tafiti.Usipowekeza katika sayansi lazima tu uburuzwe.
Imagine lile dubwasha la Tanzania kutwa kupiga mayowe majukwaani sijui chanjo hazifai,sijui wazungu wanataka kutuua ,sijui wazungu wana wivu na sisi kwa sababu sisi ni matajiri sana na kadhalika lakini kuburuzwa ipo palepale!Kama sisi ni matajiri sana kwa nini hatuwekezi katika Sayansi,technologia pamoja na tafiti ili tuwe huru kama China?
😂😂😂 Facts zimeisha umeanza matusi😂😂Nyumbu ni hio "O" yako huko nyuma.
New World Order.....Na cc tutatengeneza ya kwetu .....anyway ....chapa ya mnyama inakuja taratibu .....u will un able to do anything ...to buy or sell without it
... kuna kila dalili ya mtu kutafuna matapishi yake mwenyewe. Wenye akili sio wenzio; hakuna kusafiri hadi upate COVID-19 vaccination certificate/card; sijui Tanzania itachomokaje kwenye hili hususan viongozi wa serikali ambao kusafiri ni sehemu ya majukumu yao. Kweli Profesa Kabudi na maafisa wake mambo ya nje hawatasafiri?
Walikuwa wanatuangalia kwa jicho la dharau na kauli zetu uchwara; eti Tanzania hakuna Corona wakati kupima hampimi! How can you justify this? Sio kila kitu ni siasa; mambo mengne ni ya kisayansi na ni lazima yapelekwe kisayansi. Na bahati nzuri tuna Amiri Jeshi Mkuu mwanasayansi ngazi ya PhD.
Kwahiyo nikiwaita mbunye hawa vijana wajinga nitakuwa nimewatendea mema?Mbunye? Mbona mbunye tamu? Aaghh
The agent of abyss is at work promoting the 'Mark of the Best" at any cost taking course through the global recognized conventions whereas eventually there shall be declared that no country is legible to buy and import anything for failure to heed WHO guidance.Shirika la Afya Duniani WHO linajiandaa kutoa cheti au kadi ya chanjo ya Corona (Covid-19 vaccination certificate) itakayotumika dunia nzima, na huwezi kusafiri au kupata VISA kama hautakuwa umechanjwa. Kwa sasa chanjo inayotakiwa ili usafiri au ukienda kuomba VISA ni chanjo ya homa ya manjano pekee.
===========
COVID-19: WHO races to develop vaccination card
As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a standard framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.
Bernardo Mariano, Director of digital health innovation, WHO, told DW.
Currently, yellow fever is the only disease specified in the World Health Organization's (WHO) International Health Regulations (IHR), which require proof of vaccination for entry to some countries. The yellow fever vaccination certificate is also the only proof of vaccination certified under the IHR.
Vaccination against COVID-19 is not part of the IHR yet, but a country can make a unilateral decision. Some countries already require a negative COVID-19 test to enter, and the next evolution of that will be requiring proof of vaccination, Mariano said.
A COVID-19 vaccination certificate to become compulsory for travel the world over, it would have to be part of the IHR, and that process would take a long time, Mariano said. But there are other avenues.
One such initiative is the CommonPass , a digital framework for verifying COVID-19 tests and vaccination certificates. Some airlines have already been rolling out the app to passengers on select flights.
![]()
WHO races to develop COVID vaccination card – DW – 01/27/2021
As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.m.dw.com
Sana! Labda tigoKwahiyo nikiwaita mbunye hawa vijana wajinga nitakuwa nimewatendea mema?
Umechanjwa lakini?Kama sisi tunatoa vitambulisho vya wamachinga,wacha tu na WHO watoe hizo kadi.
Mnaokataa chanjo, Ulaya na Marekani hamtakanyaga.
Zipo nchi tofauti zinatengeneza chanjo, wao wanatoa kwa chanjo ya nchi gani?Shirika la Afya Duniani WHO linajiandaa kutoa cheti au kadi ya chanjo ya Corona (Covid-19 vaccination certificate) itakayotumika dunia nzima, na huwezi kusafiri au kupata VISA kama hautakuwa umechanjwa. Kwa sasa chanjo inayotakiwa ili usafiri au ukienda kuomba VISA ni chanjo ya homa ya manjano pekee.
===========
COVID-19: WHO races to develop vaccination card
As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a standard framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.
Bernardo Mariano, Director of digital health innovation, WHO, told DW.
Currently, yellow fever is the only disease specified in the World Health Organization's (WHO) International Health Regulations (IHR), which require proof of vaccination for entry to some countries. The yellow fever vaccination certificate is also the only proof of vaccination certified under the IHR.
Vaccination against COVID-19 is not part of the IHR yet, but a country can make a unilateral decision. Some countries already require a negative COVID-19 test to enter, and the next evolution of that will be requiring proof of vaccination, Mariano said.
A COVID-19 vaccination certificate to become compulsory for travel the world over, it would have to be part of the IHR, and that process would take a long time, Mariano said. But there are other avenues.
One such initiative is the CommonPass , a digital framework for verifying COVID-19 tests and vaccination certificates. Some airlines have already been rolling out the app to passengers on select flights.
![]()
WHO races to develop COVID vaccination card – DW – 01/27/2021
As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.m.dw.com
Mkuu, Umewahi kuwapiga changa la macho wazazi Kwa kuwaonesha ni kama unatupia kidonge mdomoni, kumbe unazitupa nyuma yako na Kisha kunywa maji ukajipigapiga na kifua kana kwamba umekunywa kidonge??Haya CCM. Kazi kwenu. Mzee wa kaya hataki chanjo. Chafueni zoezi zima kwa kuwa mna ujuzi wa kufanya hivyo.
Mkuu, Umewahi kuwapiga changa la macho wazazi Kwa kuwaonesha ni kama unatupia kidonge mdomoni, kumbe unazitupa nyuma yako na Kisha kunywa maji ukajipigapiga na kifua kana kwamba umekunywa kidonge??
Kama swala la kuingia nchi za wengine ni Hadi uwe na Kadi la chanjo, basi kuna watu watatumia Mbinu hiyo
Itakuwa ni chanjo ya kiini macho tu kumbe ni bomba lililo tupu na Kadi mtu anapewa
Schanjwi na Kadi nitaipata
Hiyo ni WHO dada.Zipo nchi tofauti zinatengeneza chanjo, wao wanatoa kwa chanjo ya nchi gani?
Nchi nyingi zimepoteza imani kwa who