#COVID19 WHO kutoa ‘Kadi ya Chanjo ya Corona’ itakayokuruhusu kuingia nchi nyingine

#COVID19 WHO kutoa ‘Kadi ya Chanjo ya Corona’ itakayokuruhusu kuingia nchi nyingine

Huu nao ni upuuzi hiyo ya manjano ilikuwa nn mbona ulijaza
Na cc tutatengeneza ya kwetu .....anyway ....chapa ya mnyama inakuja taratibu .....u will un able to do anything ...to buy or sell without it
 
Hayo ndiyo matunda ya kutokuwekeza katika sayansi,technolojia na tafiti.Usipowekeza katika sayansi lazima tu uburuzwe.

Imagine lile dubwasha la Tanzania kutwa kupiga mayowe majukwaani sijui chanjo hazifai,sijui wazungu wanataka kutuua ,sijui wazungu wana wivu na sisi kwa sababu sisi ni matajiri sana na kadhalika lakini kuburuzwa ipo palepale!Kama sisi ni matajiri sana kwa nini hatuwekezi katika Sayansi,technologia pamoja na tafiti ili tuwe huru kama China?
uanongea kishabiki as if unaishi huko Usa.gonjwa ambalo alijatimiza hata mwaka lenye kuhitaj researches za hali ya juu ambazo kwa nchi nying hazijaweza kufanya tafiti na unaambiwa hata waliofanya hizo bado wana rush tu inahitaji muda kweli sio kukimbilia chanjow unless umeutengeza wew mwenyew ss harak unatoa chanjow unapiga hela.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
... kuna kila dalili ya mtu kutafuna matapishi yake mwenyewe. Wenye akili sio wenzio; hakuna kusafiri hadi upate COVID-19 vaccination certificate/card; sijui Tanzania itachomokaje kwenye hili hususan viongozi wa serikali ambao kusafiri ni sehemu ya majukumu yao. Kweli Profesa Kabudi na maafisa wake mambo ya nje hawatasafiri?

Walikuwa wanatuangalia kwa jicho la dharau na kauli zetu uchwara; eti Tanzania hakuna Corona wakati kupima hampimi! How can you justify this? Sio kila kitu ni siasa; mambo mengne ni ya kisayansi na ni lazima yapelekwe kisayansi. Na bahati nzuri tuna Amiri Jeshi Mkuu mwanasayansi ngazi ya PhD.
Hawa wazungu wanalo jambo, tangu lini tabibu anamulazimisha mgojwa?. Mbona hawatulazimishi kutupa msaada kwenye elimu?. Kwa hili nasimama pamoja na RAIS. Wachichanje wenyewe na cc tupige nyungu zetu na maombi kwa mwenye enzi MUNGU wetu yakiendelea. Naamini mungu ajibuye na aponyaye atatusimamia
 
Hawa wazungu wanalo jambo, tangu lini tabibu anamulazimisha mgojwa?. Mbona hawatulazimishi kutupa msaada kwenye elimu?. Kwa hili nasimama pamoja na RAIS. Wachichanje wenyewe na cc tupige nyungu zetu na maombi kwa mwenye enzi MUNGU wetu yakiendelea. Naamini mungu ajibuye na aponyaye atatusimamia
Kwel mkuuu
 
Poa tutaenda china au napo huko kuingia itakuwa mpaka chanjo uoneshe cheti

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Huko nako ni chanjo tu, hutaki ukifika airport yao tu unabong'oa wanatia kijiti cha inchi mbili huko nyuma kuhakikisha huna Corona ya ajabu ajabu toka Nchi ya kusadikika. The choice is yours bojo🤗
 
Nadhani hatuna hoja za msingi kukataa chanjo.kwasababu huko marekani na ulaya wao wamerekodi vifo vingi sana kutuzidi siye ingawa sisi hatuna records. Lakini tujiulize wao hawapendi kuishi?
Tusiwe na ubishi wa kijinga utadhani chanjo imeanza kutolewa leo hapa Tanzania.
 
Shirika la Afya Duniani WHO linajiandaa kutoa cheti au kadi ya chanjo ya Corona (Covid-19 vaccination certificate) itakayotumika dunia nzima, na huwezi kusafiri au kupata VISA kama hautakuwa umechanjwa. Kwa sasa chanjo inayotakiwa ili usafiri au ukienda kuomba VISA ni chanjo ya homa ya manjano pekee.

===========

COVID-19: WHO races to develop vaccination card

As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a standard framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.

Bernardo Mariano, Director of digital health innovation, WHO, told DW.

Currently, yellow fever is the only disease specified in the World Health Organization's (WHO) International Health Regulations (IHR), which require proof of vaccination for entry to some countries. The yellow fever vaccination certificate is also the only proof of vaccination certified under the IHR.

Vaccination against COVID-19 is not part of the IHR yet, but a country can make a unilateral decision. Some countries already require a negative COVID-19 test to enter, and the next evolution of that will be requiring proof of vaccination, Mariano said.

A COVID-19 vaccination certificate to become compulsory for travel the world over, it would have to be part of the IHR, and that process would take a long time, Mariano said. But there are other avenues.

One such initiative is the CommonPass , a digital framework for verifying COVID-19 tests and vaccination certificates. Some airlines have already been rolling out the app to passengers on select flights.

Ni kweli nchi za wenzetu kukanyaga bila chanjo muhim ni ngum achia mbali chanjo ya covid
 
Ahaaa... Lazima mkachanjwe nyie, jiandae kuchanjwa. WHO imeshasema jiandaeni kupeleka mbaliga hizo mkachanjwe
Lugalo wameugua madaktari na manes 17 mmoja kafariki. Msikitini pale upanga wameswaliwa maiti 50 wiki hii tunaowajua wewe una ropoka na kupayuka tu hapa
 
Hayo ndiyo matunda ya kutokuwekeza katika sayansi,technolojia na tafiti.Usipowekeza katika sayansi lazima tu uburuzwe.

Imagine lile dubwasha la Tanzania kutwa kupiga mayowe majukwaani sijui chanjo hazifai,sijui wazungu wanataka kutuua ,sijui wazungu wana wivu na sisi kwa sababu sisi ni matajiri sana na kadhalika lakini kuburuzwa ipo palepale!Kama sisi ni matajiri sana kwa nini hatuwekezi katika Sayansi,technologia pamoja na tafiti ili tuwe huru kama China?
Una chuki binafsi kubwa sana na Magufuli, halafu akili yako ndogo sana.
Stupid
 
Lugalo wameugua madaktari na manes 17 mmoja kafariki. Msikitini pale upanga wameswaliwa maiti 50 wiki hii tunaowajua wewe una ropoka na kupayuka tu hapa
Hao tu?

Uliza kwa beberu zako USA na Ulaya wamezikwa wangapi mpka muda huu
 
Ni Mara elfu nisichome hiyo kinga ya covid mavacation tutayalia mbugani mwendo wa nyama mwitu
 
[emoji867][emoji867][emoji867]
Akili yako ndogo sana wewe,
Tabia yako ni kama uliolewa halafu ukaachwa sababu ya tabia zako za kishenzi,
Ndio sababu unawachukia wanaume wote sasa akiwemo JPM.
Kutwa unabwabwaja humu JF kwa dharau na kejeli kuhusu JPM ni kama alikupa mimba halafu akakutekeleza
 
Vipi na sisi tukitengeneza chanjo yetu hapa, au mzungu ataleta figisu zake kwamba haijakidhi ubora wa viwango vya kimataifa..
 
Back
Top Bottom