Gwallo
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 3,408
- 4,392
Kwani Ulaya au Marekani ni Mbinguni???Kama sisi tunatoa vitambulisho vya wamachinga,wacha tu na WHO watoe hizo kadi.
Mnaokataa chanjo, Ulaya na Marekani hamtakanyaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Ulaya au Marekani ni Mbinguni???Kama sisi tunatoa vitambulisho vya wamachinga,wacha tu na WHO watoe hizo kadi.
Mnaokataa chanjo, Ulaya na Marekani hamtakanyaga
Na cc tutatengeneza ya kwetu .....anyway ....chapa ya mnyama inakuja taratibu .....u will un able to do anything ...to buy or sell without it
Aache kufananisha mbunye na vitu vya ajabu 🤣🤣🤣Mbunye? Mbona mbunye tamu? Aaghh
Wewe uliyechanjwa umekanyaga?!Kama sisi tunatoa vitambulisho vya wamachinga,wacha tu na WHO watoe hizo kadi.
Mnaokataa chanjo, Ulaya na Marekani hamtakanyaga.
uanongea kishabiki as if unaishi huko Usa.gonjwa ambalo alijatimiza hata mwaka lenye kuhitaj researches za hali ya juu ambazo kwa nchi nying hazijaweza kufanya tafiti na unaambiwa hata waliofanya hizo bado wana rush tu inahitaji muda kweli sio kukimbilia chanjow unless umeutengeza wew mwenyew ss harak unatoa chanjow unapiga hela.Hayo ndiyo matunda ya kutokuwekeza katika sayansi,technolojia na tafiti.Usipowekeza katika sayansi lazima tu uburuzwe.
Imagine lile dubwasha la Tanzania kutwa kupiga mayowe majukwaani sijui chanjo hazifai,sijui wazungu wanataka kutuua ,sijui wazungu wana wivu na sisi kwa sababu sisi ni matajiri sana na kadhalika lakini kuburuzwa ipo palepale!Kama sisi ni matajiri sana kwa nini hatuwekezi katika Sayansi,technologia pamoja na tafiti ili tuwe huru kama China?
Hawa wazungu wanalo jambo, tangu lini tabibu anamulazimisha mgojwa?. Mbona hawatulazimishi kutupa msaada kwenye elimu?. Kwa hili nasimama pamoja na RAIS. Wachichanje wenyewe na cc tupige nyungu zetu na maombi kwa mwenye enzi MUNGU wetu yakiendelea. Naamini mungu ajibuye na aponyaye atatusimamia... kuna kila dalili ya mtu kutafuna matapishi yake mwenyewe. Wenye akili sio wenzio; hakuna kusafiri hadi upate COVID-19 vaccination certificate/card; sijui Tanzania itachomokaje kwenye hili hususan viongozi wa serikali ambao kusafiri ni sehemu ya majukumu yao. Kweli Profesa Kabudi na maafisa wake mambo ya nje hawatasafiri?
Walikuwa wanatuangalia kwa jicho la dharau na kauli zetu uchwara; eti Tanzania hakuna Corona wakati kupima hampimi! How can you justify this? Sio kila kitu ni siasa; mambo mengne ni ya kisayansi na ni lazima yapelekwe kisayansi. Na bahati nzuri tuna Amiri Jeshi Mkuu mwanasayansi ngazi ya PhD.
Nikwel kwa hii halNa cc tutatengeneza ya kwetu .....anyway ....chapa ya mnyama inakuja taratibu .....u will un able to do anything ...to buy or sell without it
Kwel mkuuuHawa wazungu wanalo jambo, tangu lini tabibu anamulazimisha mgojwa?. Mbona hawatulazimishi kutupa msaada kwenye elimu?. Kwa hili nasimama pamoja na RAIS. Wachichanje wenyewe na cc tupige nyungu zetu na maombi kwa mwenye enzi MUNGU wetu yakiendelea. Naamini mungu ajibuye na aponyaye atatusimamia
Huko nako ni chanjo tu, hutaki ukifika airport yao tu unabong'oa wanatia kijiti cha inchi mbili huko nyuma kuhakikisha huna Corona ya ajabu ajabu toka Nchi ya kusadikika. The choice is yours bojo🤗Poa tutaenda china au napo huko kuingia itakuwa mpaka chanjo uoneshe cheti
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ni kweli nchi za wenzetu kukanyaga bila chanjo muhim ni ngum achia mbali chanjo ya covidShirika la Afya Duniani WHO linajiandaa kutoa cheti au kadi ya chanjo ya Corona (Covid-19 vaccination certificate) itakayotumika dunia nzima, na huwezi kusafiri au kupata VISA kama hautakuwa umechanjwa. Kwa sasa chanjo inayotakiwa ili usafiri au ukienda kuomba VISA ni chanjo ya homa ya manjano pekee.
===========
COVID-19: WHO races to develop vaccination card
As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a standard framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.
Bernardo Mariano, Director of digital health innovation, WHO, told DW.
Currently, yellow fever is the only disease specified in the World Health Organization's (WHO) International Health Regulations (IHR), which require proof of vaccination for entry to some countries. The yellow fever vaccination certificate is also the only proof of vaccination certified under the IHR.
Vaccination against COVID-19 is not part of the IHR yet, but a country can make a unilateral decision. Some countries already require a negative COVID-19 test to enter, and the next evolution of that will be requiring proof of vaccination, Mariano said.
A COVID-19 vaccination certificate to become compulsory for travel the world over, it would have to be part of the IHR, and that process would take a long time, Mariano said. But there are other avenues.
One such initiative is the CommonPass , a digital framework for verifying COVID-19 tests and vaccination certificates. Some airlines have already been rolling out the app to passengers on select flights.
![]()
WHO races to develop COVID vaccination card – DW – 01/27/2021
As countries start to develop their own vaccination passports, the WHO is racing to develop a framework for coronavirus vaccination certificates that can be used worldwide to ensure standards are met.m.dw.com
Lugalo wameugua madaktari na manes 17 mmoja kafariki. Msikitini pale upanga wameswaliwa maiti 50 wiki hii tunaowajua wewe una ropoka na kupayuka tu hapaAhaaa... Lazima mkachanjwe nyie, jiandae kuchanjwa. WHO imeshasema jiandaeni kupeleka mbaliga hizo mkachanjwe
Una chuki binafsi kubwa sana na Magufuli, halafu akili yako ndogo sana.Hayo ndiyo matunda ya kutokuwekeza katika sayansi,technolojia na tafiti.Usipowekeza katika sayansi lazima tu uburuzwe.
Imagine lile dubwasha la Tanzania kutwa kupiga mayowe majukwaani sijui chanjo hazifai,sijui wazungu wanataka kutuua ,sijui wazungu wana wivu na sisi kwa sababu sisi ni matajiri sana na kadhalika lakini kuburuzwa ipo palepale!Kama sisi ni matajiri sana kwa nini hatuwekezi katika Sayansi,technologia pamoja na tafiti ili tuwe huru kama China?
Hao tu?Lugalo wameugua madaktari na manes 17 mmoja kafariki. Msikitini pale upanga wameswaliwa maiti 50 wiki hii tunaowajua wewe una ropoka na kupayuka tu hapa
Wewe una kichwa cha panzi mkuu. Kama hujanielewa bado basi unashida kichwaniHao tu?
Uliza kwa beberu zako USA na Ulaya wamezikwa wangapi mpka muda huu
🖕🖕🖕Una chuki binafsi kubwa sana na Magufuli, halafu akili yako ndogo sana.
Stupid
Akili yako ndogo sana wewe,[emoji867][emoji867][emoji867]