#COVID19 WHO kutoa ‘Kadi ya Chanjo ya Corona’ itakayokuruhusu kuingia nchi nyingine

We ulisikia wapi? Ulisikia wapiiiii hii chanjo imesaidia watu? Majani ya mpera, kifumbasi, malimao, tangawizi ninajitia ndani ya blanket hiyo Chanjo wawape mbwa wanaolilia
sawa hata watoto msiwachome ndui, pepopunda, manjano nk wapeni majani ya mapera watafune.
 
Umeongea point sn watakaokuwa wanasafiri ndio watachanjwa na kwa tz sidhani maana mie ninayo yellow card na sijawahi chanjwa na kusafiri nimesafiri sn
 
Wale ambao hatukupata nafasi ya kwenda ulaya kabla ya korona ulaya tutapasikia tu
 
[emoji867][emoji867][emoji867]
Naona unamwakilisha Tundu hivyo vidole anavyokalia sasa huko kwa bwana zake ulaya.
Pole sana wewe shoga.
Chuki, kejeli na dharau zako kwa JPM, wewe ni sawa na Chura tu, huwezi kuzuia tembo kunywa maji.
 
Naona unamwakilisha Tundu hivyo vidole anavyokalia sasa huko kwa bwana zake ulaya.
Pole sana wewe shoga.
Chuki, kejeli na dharau zako kwa JPM, wewe ni sawa na Chura tu, huwezi kuzuia tembo kunywa maji.
🖕🖕🖕
 
Na cc tutatengeneza ya kwetu .....anyway ....chapa ya mnyama inakuja taratibu .....u will un able to do anything ...to buy or sell without it
Bado sana iyo chapa ya mnyama kiama kiko mbali saana kwa sasa.
Jiandae tu ni vizuri kusali
 
Nimekuelewa sana hapa.
 
Wna Jf, Tatizo cyo chanjo, kinachotakiwa ni wataalamu wetu wachukue hizo dawa na kuzifanyia uchunguzi wa kina(deep proof) ili kuwa na uhakika kwamba hazina madhara kwetu. Kwa kuwa Huenda wao wakatumia chanjo iliyo bora na Sisi wakatuletea yenye madhara. Lakini pia nmeona Madaktar wa Italy wmefanya Postmortem kwa mgonjwa wa Covid na kutoa taarifa kuwa cyo Virus bali ni Bacteria. Hivyo Madaktar wetu inabidi wafanye findings vya kutosha khs Covid na tiba yke. Know there's a new Variant of covid, so take care its danger.

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…