Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
sawa hata watoto msiwachome ndui, pepopunda, manjano nk wapeni majani ya mapera watafune.We ulisikia wapi? Ulisikia wapiiiii hii chanjo imesaidia watu? Majani ya mpera, kifumbasi, malimao, tangawizi ninajitia ndani ya blanket hiyo Chanjo wawape mbwa wanaolilia
Magufuli hawezi kufuta kauli yake kwa Sababu ya kadi ya covid-19. Uwepo wa kadi hiyo hauwezi kuifanya Tanzania itekeleze mpango wa wazungu wa massive vaccination. Watu watakaohitaji hiyo kadi ili wasafiri nje haizidi hata robo ya population nzima. Kitachofanyika hizo vaccine zitakuwepo kwa wale wataohitaji kusafiri nje tu. Ni kama vaccine za yellow fever, ukiitisha watu wenye kadi hizo ni wachache mno.
.......😂😂😂😂amna mkuu CIO msabatoWe we utakua msabato. Mnamafundisho ya ajabu kwelikweli
Hakuna kitu kama hichoMambo ya chapa ya mnyama yamekaribia sasa 666 hakuna kuuza wala kununua kama huna chapa hiyo.
Naona unamwakilisha Tundu hivyo vidole anavyokalia sasa huko kwa bwana zake ulaya.[emoji867][emoji867][emoji867]
🖕🖕🖕Naona unamwakilisha Tundu hivyo vidole anavyokalia sasa huko kwa bwana zake ulaya.
Pole sana wewe shoga.
Chuki, kejeli na dharau zako kwa JPM, wewe ni sawa na Chura tu, huwezi kuzuia tembo kunywa maji.
Pole sana,[emoji867][emoji867][emoji867]
Bado sana iyo chapa ya mnyama kiama kiko mbali saana kwa sasa.Na cc tutatengeneza ya kwetu .....anyway ....chapa ya mnyama inakuja taratibu .....u will un able to do anything ...to buy or sell without it
Nimekuelewa sana hapa.Hayo ndiyo matunda ya kutokuwekeza katika sayansi,technolojia na tafiti.Usipowekeza katika sayansi lazima tu uburuzwe.
Imagine lile dubwasha la Tanzania kutwa kupiga mayowe majukwaani sijui chanjo hazifai,sijui wazungu wanataka kutuua ,sijui wazungu wana wivu na sisi kwa sababu sisi ni matajiri sana na kadhalika lakini kuburuzwa ipo palepale!Kama sisi ni matajiri sana kwa nini hatuwekezi katika Sayansi,technologia pamoja na tafiti ili tuwe huru kama China?
🖕🖕🖕Pole sana,
Huna hoja wewe shoga
Wewe ni shoga tu.[emoji867][emoji867][emoji867]
🖕🖕🖕Wewe ni shoga tu.
Wewe ni shoga tu[emoji867][emoji867][emoji867]
🖕🖕🖕Wewe ni shoga tu
Wewe shoga tu, huna lolote.[emoji867][emoji867][emoji867]
🖕🖕🖕Wewe shoga tu, huna lolote.