Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Hawa nao sio wa kuwaamini sana,mnakumbuka kipindi Corona imepamba moto walivyosema,na baadaye wakaja kusema nini?!!!,In short waliji contradict wenyewe kwa hiyo ni kuwaacha hivyo hivyo.WHO: Soda na pipi zinaviambata vinavyosababisha kansa, hapa wanapigania na DK mpango aliyesema ni kutumia madawa ya kutunzia maiti.
Report ya shirika la afya duniani limetaja sababu kuu za kupata kansa ni kula nyama nyekundu, kunywa soda, kumung'unya pipi, na kazi za usiku mara kwa Mara
USSR
View attachment 2687513