MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Soda mbona iko wazi hata ukiachana na hao WHO? hakuna kitu pale ila unaweza endelea kunywaHawa nao sio wa kuwaamini sana,mnakumbuka kipindi Corona imepamba moto walivyosema,na baadaye wakaja kusema nini?!!!,In short waliji contradict wenyewe kwa hiyo ni kuwaacha hivyo hivyo.