WHO: Soda, nyama na pipi vyanzo vikuu vya saratani

WHO: Soda, nyama na pipi vyanzo vikuu vya saratani

Kazi gn za usiku?
anamaanisha kukosa muda wa kulaka hasa usiku, miili ya mwanadamu inazalisha tala nyingi sana ifanyaoo kazi, moja ya taka izo ni free radicals kama peroxides ambazo zikiwa nyi gi kwenye celi huwa ni mwanzo wa cancer,
unaoolala mwiji hufanya kazi ya kutoa hizi taka zisijaribu cell kwa kutumia antoxdants vitamins kama vitamin C na E tocopherol kuyeyusha superoxide ziwe hydroperoxide ili ziwez kudiffuse na kutoka nnje ya celi
 
Kwangu mm vyakula vingi vya viwandani aka artificial nisumu sn mwilini nahasa wanavyouza supermarket. ..ndio mana wanaoshinda kwenye AC wanashida sn
 
WHO: Soda na pipi zinaviambata vinavyosababisha kansa, hapa wanapigania na DK mpango aliyesema ni kutumia madawa ya kutunzia maiti.

Report ya shirika la afya duniani limetaja sababu kuu za kupata kansa ni kula nyama nyekundu, kunywa soda, kumung'unya pipi, na kazi za usiku mara kwa Mara

USSR
View attachment 2687513
Akili yako mbovu kwani hao WHO wamesema hivyo ndio vyanzo pekee?
 
Back
Top Bottom