Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Hawa nao sio wa kuwaamini sana,mnakumbuka kipindi Corona imepamba moto walivyosema,na baadaye wakaja kusema nini?!!!,In short waliji contradict wenyewe kwa hiyo ni kuwaacha hivyo hivyo.WHO: Soda na pipi zinaviambata vinavyosababisha kansa, hapa wanapigania na DK mpango aliyesema ni kutumia madawa ya kutunzia maiti.
Report ya shirika la afya duniani limetaja sababu kuu za kupata kansa ni kula nyama nyekundu, kunywa soda, kumung'unya pipi, na kazi za usiku mara kwa Mara
USSR
View attachment 2687513
Kunywa maziwa mkuu , Kwa afya BoraSasa tunywe Nini sasa nimeamua kuokoka zangu napiga tu soda na maji nimeacha bia
Mmeanza kunichanganya tena
Sio viwanda vya soda tu,kuna sigara mkuu,WHO wanasema Sigara ni hatari kwa afya lkn hawafungi viwanda vya sigara wala kukomesha kilimo cha tumbaku.Hawa ni wahuni kama wahuni wengine tu.Kwann wasitoe amri sasa viwanda vya soda vifungwe
Yale marangi rangi tokea utotoni tulikuwa tunasema yanaenda kupaka rangi utumbo [emoji3]
Snoothies aka juice isiyochujwaSasa tunywe Nini sasa nimeamua kuokoka zangu napiga tu soda na maji nimeacha bia
Mmeanza kunichanganya tena
Upuuzi mtupu.....hakuna kifo bila sababu....usipokufa kwa Kansa,utakifa malaria presha nk......acheni watu wafurahie maisha......WHO: Soda na pipi zinaviambata vinavyosababisha kansa, hapa wanapigania na DK mpango aliyesema ni kutumia madawa ya kutunzia maiti.
Report ya shirika la afya duniani limetaja sababu kuu za kupata kansa ni kula nyama nyekundu, kunywa soda, kumung'unya pipi, na kazi za usiku mara kwa Mara
USSR
View attachment 2687513
Maziwa ni chanzo cha TBKunywa maziwa mkuu , Kwa afya Bora
Simba huko porini Huwa hawapokei vitoweo vyaoMara nyingi nyama ya kuchomwa haivi vizuri, ndo maana ni hatari
SmoothieSnoothies aka juice isiyochujwa
Ni mixer 🍻Hivi kitimoto ni white meat au red meat?
Hata maji unaambiwa sio mazuriMmeanza kunichanganya tena
Nyama saratani ya ubongoSoda na pipi naweza kuepuka, mtihani ni nyama