WHO wailaumu Tanzania kwa kuficha uchunguzi wa muathrika aliyeshukiwa kuugua Ebola - Reuters

WHO wailaumu Tanzania kwa kuficha uchunguzi wa muathrika aliyeshukiwa kuugua Ebola - Reuters

Check Aljazeera, BBC na vyombo vya habari vya kimataifa wanavyowasema kuhusu kugoma kwenu kuwapa WHO ushirikiano. Haya yote yasingekua yanasemwa kama mngekua mumeweka kiburi chini na kuwaskliza.
Same attitude these Tanzanians have against IMF wanapika data zao kiuchumi tu .Wajuaji sana lakini vitu zitarudi ku-bite them hard.
 
Watz ni washamba kupindukia, yaani mnaikejeli WHO, shirika la kimataifa la afya wakati hamna hata uwezo wa kupambana na malaria tu. Misaada ya mabeberu, sio WHO, ndio inawalipa madaktari wenu na manesi pia alafu mnajifanya mpo level ya U.K au China? Mnaingiza majungu na uchoyo hadi kwenye ugonjwa wa Ebola? [emoji15]
Kama unaupenda Sana huo ugonjwa wa ebola nenda kachukua vimelea Kongo peleka kwenye banda lako hapo GOROKOCHO

Kama Taifa tuna haki ya kukataa haupo Wala haujawahi tokea .

Hao wazungu unaowaona wa maana ndio hao hao wasambazaji wakubwa wa haya magonjwa ya milipuko ili watengeneze pesa kwa kuuza madawa yao .

Japo huwa sikubalini na mambo yanayoendeshwa na serikalo ya nchi yangu

Lakini kwa hili nitalipigania Taifa langu
 
Wale ni wataalam na ikumbukwe hawajasema ugonjwa upo au haupo, wanahoji usiri wenu kwenye hili.
Kuna mikataba hutiwa saini likija suala la ugonjwa wenye utemi kama Ebola, maana mkurupuko wake unaweza ukaangamiza bara wacha hata nchi, unaweza ukasambaa na kuwakuta hata hao mabeberu, hivyo huwa wanakua makini sana wakiskia umetajwa au kushukiwa sehemu, na watawafuata na kuwapigia makelele hadi wazae na nyie.
Mtaendelea kuwajibu kwa hisia Kali Kali na madongo lakini hawataachia hadi wajiridhishe.
Wanaweza kuwa wataalamu ila nyuma yao kuna wafanyabiashara wa madawa na mambo ya tiba

Think aloud

Usimeze kila unapishwa
 
Same attitude these Tanzanians have against IMF wanapika data zao kiuchumi tu .Wajuaji sana lakini vitu zitarudi ku-bite them hard.
Taja kitu kimoja isharudi kutu bite us hard, those are your ill wishes, waswahili husema, dua la kuku halimpati mwewe.
 
Hii inahitaji hekima, kuna uwezekano mkubwa isiwe ni Ebola, ila kuzidi kuonyesha kiburi dhidi ya hawa WHO ni hatari sana.
Kweli kabisa, kuna ile nyingine ambayo inaitwa maburg, ni hatari pia kama ebola. Hawa watu wanatueka hatarini kwa kiburi chao cha peni mbili. Najua sasa hivi wanawaza watakavowasingizia upinzani kwa kuleta magonjwa hatari nchini na kuwa'snitch' kwa WHO. Akili zao wanazielewaga wao wenyewe.
 
Tungelegea tuu!!

Naomba tujilinde haswa kwa national elections. wasijepenyeza mambo yao.
 
Dogo kitu usichokijua ni kwamba serikali ya tz ina mahesabu makali sana,huwa hatukulupuki kama hao viongozi wenu,tulijifunza kwa malaria na hatutakubali turudie makosa,ile malaria ni miradi ya watu na tunaipunguza kwa kasi ya ajabu sana...ebu fikiri ebola is an outbreak shit..how can you hide an outbreak??
Umesoma taarifa, au unakurupuka tu? WHO hawajasema chochote kuhusu 'outbreak'. Mahesabu makali ya serikali ya Tz ndio nini sasa? Chikungunya yenyewe hamuwezi kuidhibiti sembuse ebola. Au mnadhani mtatumia jwtz kupambana na ebola kama walivowatumia kubangua korosho?
 
Nategemea kusikia Serikali ikikanusha hii statement: "Identified contacts of the deceased were unofficially reported to be quarantined in various sites in the country,”
 
Umesoma taarifa, au unakurupuka tu? WHO hawajasema chochote kuhusu 'outbreak'. Mahesabu makali ya serikali ya Tz ndio nini sasa? Chikungunya yenyewe hamuwezi kuidhibiti sembuse ebola. Au mnadhani mtatumia jwtz kupambana na ebola kama walivowatumia kubangua korosho?
 
Acha usenge una wajua wazungu au unawasikia... Wanataka kuanzisha makelele ili wachafue image ya nchi... Kwan wanajua wakisema kuna ebola utalii utashuka watu wataogopa kuja bongo... Wanajua nchi itashuka kiuchumi...
As matter of fact wao hawakuepo kumpma huyo mgonjwa kuhakikisha...
As if walimtuma.....


Sasa kama mnajua haupo mbona mnagoma kuwaachia wakague wao, mumetia saini mikataba ya uwazi likija kwenye suala la magonjwa kama haya, watapiga sana haya makelele na mtashangaa kwa Watanzania wanaosafiri kwenda nje ya nchi yaani mnapokelewa na kupitishwa kwenye ukaguzi wa hali ya juu.
Yaani ile unasema umetokea Tanzania jamaa wanachakarika balaa.
 
Dogo kitu usichokijua ni kwamba serikali ya tz ina mahesabu makali sana,huwa hatukulupuki kama hao viongozi wenu,tulijifunza kwa malaria na hatutakubali turudie makosa,ile malaria ni miradi ya watu na tunaipunguza kwa kasi ya ajabu sana..
Hebu naomba uielezee kidogo hili jambo la malaria kuwa dili za watu.
 
Check Aljazeera, BBC na vyombo vya habari vya kimataifa wanavyowasema kuhusu kugoma kwenu kuwapa WHO ushirikiano. Haya yote yasingekua yanasemwa kama mngekua mumeweka kiburi chini na kuwaskliza.
Sasa wanataka ushirikiano au wanataka kuiingiza Ebola??

Unadhani Ebola Uganda Iliingiaje??

Hapa hatunag Upuuzii

Ingekuweko Ebola basi ingeonekana bila hata Uchunguzi waO UCHWARA
 
Acha usenge una wajua wazungu au unawasikia... Wanataka kuanzisha makelele ili wachafue image ya nchi... Kwan wanajua wakisema kuna ebola utalii utashuka watu wataogopa kuja bongo... Wanajua nchi itashuka kiuchumi...
As matter of fact wao hawakuepo kumpma huyo mgonjwa kuhakikisha...
As if walimtuma.....

Unawalaumu wazungu kwamba wanataka kuzuia watalii, hivi unafahamu hao hao wazungu ndio watalii? Au unafikiria Mswahili kama wewe ndiye una jeuri ya kuwa mtalii.
 
Unawalaumu wazungu kwamba wanataka kuzuia watalii, hivi unafahamu hao hao wazungu ndio watalii? Au unafikiria Mswahili kama wewe ndiye una jeuri ya kuwa mtalii.
Kwani mkenya kama wewe una jeuri ya kuwa mtalii.?

Ushaambiwa hakuna ebola we unataka nini cha ziada ?

Una washwa washwa Sana na mambo ya Tz why?
 
Kwani mkenya kama wewe una jeuri ya kuwa mtalii.?

Ushaambiwa hakuna ebola we unataka nini cha ziada ?

Una washwa washwa Sana na mambo ya Tz why?

Tunahitaji WHO wapewe ushirikiano ili watoe tamko kwamba yote shwari, la sivyo kwa kiburi hicho cha uccm mtatuangamiza sote bara hili.
 
Back
Top Bottom